Latest Posts
Mbaroni kwa tuhuma za kutaka kuwauza wanaye albino Msumbiji
Baba ambaye anadaiwa kutaka kuwauza watoto wake watatu albino alikamatwa nchini Msumbiji wakati wakijadiliana kuhusu bei, Polisi wamesema. Mwanamume huyo (39) na kaka yake (34), walikamatwa katika Jimbo la Tete Magharibi.Wamekanusha shtaka hilo, kwa mujibu wa Polisi. Watu wenye ualbino…
Watalii 35 kutoka Israel watua Rombo
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Rombo KIKUNDI cha Upendo Group kutokea nchini Israel kimewasili katika Wilaya ya Rombo kwa wiki mbili kuanzia Julai 26 hadi Agosti 6, mwaka huu. Pamoja na kufanya utalii, lakini kikundi hicho kitakarabati madarasa mawili ya shule ya msingi…
Kesi ya aliyekuwa kigogo PSSSF na wenzake yaahirishwa tena
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kesi ya aliyekuwa kigogo wa Mfuko wa Pensheni kwa watumishi wa Umma(PSSSF),Rajabu Kinande na wenzake Ashura Kapera (36), Farida Mbonaheri (33), Mohamed Miraji (47) na Msafiri Raha walikuwa wakikabiliwa na mashitaka manne likiwemo wizi imeahirishwa tena Chanzo…
Serikali,TUCTA wakutana kujadili malalamiko ya nyongeza ya mishahara
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imekutana na uongozi wa Shirikisho la vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) kutokana na malalamiko ya wafanyakazi juu ya nyongeza ya mishahara ya kima cha chini. Akizungumza na waandishi wa habari leo mara baada ya kumalizika kwa kikao…





