Latest Posts
Sijajua Watanzania tunachotaka
Mwalimu Julius Nyerere aliamini katika dhana ya maendeleo ya watu, na si maendeleo ya vitu. Dhana hii imepewa tafsiri nyingi. Wapo wanaoamini kuwa Mwalimu hakutaka kuona barabara, majengo makubwa makubwa na miradi mingine yenye thamani ya mabilioni ya fedha. Lakini…
Vijana ni wajenzi, wachafuzi wa nchi
Vijana ni nguvu kazi na viongozi wa taifa lolote duniani. Ni walinzi na wana utamaduni wa nchi yoyote duniani. Sifa ambazo wanazo tangu zama hadi sasa. Lakini kihistoria na kisiasa inaeleweka wajenzi wakubwa wa dunia ni vijana na wachafuzi wakubwa…
Yah: Polisi msipokwenda na wakati kazi itakuwa ngumu sana
Kwanza nianze kwa kuwashukuru kwa kusoma waraka wangu na niwatakie siku njema ya leo na ikawe na baraka kwenu nyote. Mimi si mtu wa kusali sana, lakini ninajua kuwa Mungu yupo na anatulinda sana. Kwa sisi wachache ambao tumefanikiwa kuishi…
Mafanikio katika akili yangu (18)
Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: Meninda akiwa chumbani kwake alikuwa amesikia kengele iliyokuwa ikiita, akatoka hadi sebuleni. “Huyu atakuwa ni Mariana, si mwingine,’’ alisema Meninda huku akienda kufungua mlango wa kutoka nje ili kwenda kumfungulia geti. “Dada Meninda…
Banana kama baba yake (1)
Wahenga wana misemo mingi na moja ya misemo hiyo ni: “Mtoto wa nyoka ni nyoka.” Usemi huu umejidhihirisha wazi kwa mwanamuziki wa kizazi kipya, Banana Zorro, anayefanya muziki kama alivyo baba yake mzazi, Zahir Alli Zorro. Zahir ni mmoja kati…
Kuna kazi ngumu
Serikali ya Hispania imefanya mabadiliko ya sheria ya haki za matangazo ya uonyeshaji wa mechi za soka kupitia vituo vya runinga. Ilipofika mwaka 2016, timu zote za Hispania zilikuwa na haki sawa kwenye suala la malipo ya haki za mechi…