Latest Posts
Waziri Bashe awataka wakulima kununua mbolea kulingana na mahitaji
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amewataka wakulima kununua mbolea kulingana na mahitaji yao kwani hakutakuwa na upungufu wa bidhaa hiyo kwa msimu wote wa kilimo wa 2022/2023. Ametoa kauli hiyo jana Septemba 2, 2022 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari…
Jedwali la uchambuzi wa sheria ndogo lakabidhiwa kwa Simbachawane
Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu George Simbachawene amepokea Jedwali la Uchambuzi wa Sheria Ndogo zilizowasilishwa katika Mkutano wa Bunge wa Saba kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Ramadhani Suleiman….
Rais Dkt.Mwinyi aridhia kujiuzulu kwa Mkurugenzi Mkuu wa ZAECA
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt.Hussein Ali Mwinyi leo amekubali barua ya kujiuzulu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA), ACP Ahmed Khamis Makarani. Hayo ni kwa…
Afariki kwa kuchomwa visu tumboni na mumewe
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Geita JESHI la Polisi mkoani Geita linamtafuta mchimbaji wa madini ya dhahabu Mashaka Jeremia kwa tuhuma za kumchoma mkewe visu sehemu mbalimbali ya mwili wake na kusababisha kupoteza maisha . Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Ally Kitumbu…
Balozi Mulamula akutana na mkurugenzi Mkazi wa Shirika la IOM
Na Mwandishi Maalum,JamhuriMedia,Dar Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana na kuzungumza na Mwakilishi Mkazi mpya wa Shirika la Kimataifa la Uhamaji (IOM) Bw. Maurizio Busatti ambaye amejitambulisha rasmi kwa Mhe. Waziri…
Serikali yatoa bil.3/-kujenga sekondari ya wasichana Ruvuma
Na Mwandishi Wet,JamhuriMedia, Ruvuma Serikali imetoa shilingi bilioni tatu kutekeleza mradi wa shule ya sekondari ya wasichana ya Mkoa wa Ruvuma ambayo inajengwa katika eneo la Migelegele wilayani Namtumbo. Akizungumza baada ya kukagua mradi huo,Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali…





