JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tanzania kupokea balozi wa amani duniani

Na Grace Semfuko,JamhuriMedia Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa ujio wa Balozi wa Amani Duniani na Kiongozi wa kidini kutoka nchini India Bw. Gurudev Sri Sri Ravi Shankar…

Nchemba awataka wananchi kutoa taarifa sahihi kwa makarani

Na Peter Haule,JamhuriMedia,Singida Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amewataka wananchi wote ambao hawajafikiwa na zoezi la sensa kuendelea kutenga muda na pia wakifikiwa watoe ushirikiano kwa makarani wa sensa kwa kutoa taarifa sahihi Dkt.Nchemba ameyasema hayo…