JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia safi TANESCO

Wiki iliyopita Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa kuboresha Shirika la Umeme nchini (Tanesco).  Amemteua Omari Issa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Tanesco. Amemteua Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco. Kabla ya uteuzi huo Chande alikuwa Mkurugenzi…

Mkurugenzi Mtendaji MOI aikomboa Nyangao

Lindi Na Aziza Nangwa Uongozi wa Hospitali ya St. Walburg’s Nyangao mkoani Lindi umeamua kupeleka huduma za kibingwa za upasuaji wa mifupa baada ya kuona kuna changamoto kubwa ya huduma hiyo kutokana na ajali za pikipiki na mamba, JAMHURI limeambiwa….

Vyama vinataka madaraka, si kuikomboa jamii 

Na Nassoro Kitunda Ni dhahiri siasa zetu zimekuwa zinasukumwa zaidi na shauku ya kutafuta madaraka kuliko ukombozi wa jamii. Ndiyo maana ninakubaliana na Dk. Bashiru Ally aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliposema katika moja ya mihadhara…

Lupaso baada ya Mzee Mkapa

Mwaka 2004 tukiwa katika ziara ya Waziri wa Maji na Mifugo, Edward Lowassa, tulizuru kwa mara ya kwanza Kijiji cha Lupaso kilichopo Masasi mkoani Mtwara. Lupaso ndipo alipozaliwa Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa. Umaarufu wa Lupaso hautofautiani…

Amwokoa mwanaye mdomoni mwa fisi

KARATU Na Bryceson Mathias Mkazi wa Kijiji cha Bassodowish kilichopo Karatu, Arusha, Paskalina Ibrahimu (36), amefanikiwa kupambana na fisi na hatimaye kumnusuru mwanaye kuuawa. Hata hivyo, pamoja na mapambano hayo, fisi alifanikiwa kunyofoa pua ya mwanaye huyo, Daniel Paskali, mwenye…

Mvutano mkali waibuka  nyongeza chanjo ya corona

Washington, Marekani Jopo la washauri wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC) limekumbana na mvutano mkali wakati wa kupitisha mapendekezo ya kuanza kutolewa kwa nyongeza ya chanjo ya corona (Covid-19) kwa waliochanjwa chanjo ya aina ya Pfizer nchini Marekani….