Latest Posts
Rais Samia, TANROADS okoa watu Dar – Morogoro
Na Deodatus Balile Wiki iliyopita nimesoma habari ya kuanza kwa mchakato wa ujenzi wa njia nne katika Barabara ya Morogoro. Ujenzi huu unaelezwa kuwa utaanzia Kibaha Maili Moja hadi Morogoro kwa urefu wa kilomita 158. Taarifa hizi zimetolewa na Mkuu…
Mbunge amnusuru diwani uhujumu uchumi
BUSEGA Na Mwandishi Wetu Mbunge wa Busega, Simon Songe, amemnusuru Diwani wa Mkula, Goodluck Nkalango, kupewa kesi ya uhujumu uchumi. Nkalango na viongozi kadhaa wa Kijiji cha Kijilishi wanadaiwa kutorosha fedha za umma takriban Sh milioni 7.8. Mkuu wa Wilaya…
Dk. Mwinyi: Uchumi wa Buluu utaboresha sheria
Dodoma Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema ana matumaini kuwa iwapo dhana ya Uchumi wa Buluu itaeleweka vema kutakuwa na nafasi nzuri ya kurekebisha na kuboresha sheria na taratibu…
Mulamula: Ni muhimu Warundi kurudi kwao
Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula, amesema Tanzania na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) wataendelea kushirikiana katika kuwarejesha nyumbani wakimbizi wa Burundi….
Sababu mazungumzo ya Marekani, Iran kusuasua
Na Nizar K Visram Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Antonio Guterres alitangaza hivi karibuni kuwa Iran imechelewa kulipa mchango wake, kwa hiyo haki yake ya kupiga kura inasimamishwa. Mwakilishi wa Iran katika UN alieleza kuwa uchelewashaji huo umetokana…
Tuchukue tahadhari za mvua zinazoendelea kunyesha
Jumamosi ya wiki iliyopita Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ilitoa tahadhari ya matarajio ya hali mbaya ya hewa kwa siku tano. TMA ilitoa tahadhari ya mvua kubwa kwa siku tano mfululizo kuanzia Jumamosi hadi kesho kwa maeneo machache…





