Latest Posts
Kwa sasa Urusi inapigana vita mbili
Na Mwandishi Wetu Urusi kwa sasa inaongoza duniani kwa kuwa na vikwazo vingi vya kiuchumi, nafasi inayoiweka kwenye shaka ya kuporomoka kiuchumi. Marekani na mataifa ya Ulaya wanazidi kubuni vikwazo vipya ambapo hivi karibuni wameiwekea vikwazo 2,778 na kuifanya kuwa…
Ubaguzi, unafiki vita ya Urusi Vs Ukraine
Na Nizar K Visram Limekuwa jambo la kawaida kwa vyombo vya habari na serikali zao za Magharibi kuilaani Urusi, wakisema ni uhalifu wa sheria ya kimataifa kwa nchi moja kuivamia nchi nyingine. Lakini sheria hiyo hutiwa kapuni pale nchi za…
Hotuba ya Dk. Mwinyi kwa wahariri
Ifuatayo ni hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, katika uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Sita wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), aliyoitoa kwenye Ukumbi wa Idris Abdul Wakil, Zanzibar,…
SIKU YA WANAWAKE Binti mwendesha mitambo avutia wengi
ARUSHA Na Zulfa Mfinanga Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani (IWD) hufanyika Machi 8 ya kila mwaka tangu yalipoanza kuadhimishwa kimataifa mwaka 1911. Ni zaidi ya miaka 25 sasa tangu kufanyika kwa Mkutano wa Beijing ulioweka bayana makubaliano ya msingi…
Yawaze maisha ya Simba, Yanga bila ‘Abramovich’
Dar es Salaam NA MWANDISHI WETU Mashabiki wa soka duniani wanafahamu kwamba kwa sasa Klabu maarufu ya Chelsea ya Uingereza inapita katika wakati mgumu sana. Wanakopita Chelsea kwa sasa kunafahamika kwa Kiitaliano kama ‘Vea De ra Rosa’ (yaani njia ya…
‘Serengeti Festival yabadili sura Bongo Fleva’
DAR ES SALAAM Na Christopher Msekena Mwishoni mwa wiki jijini Dodoma lilifanyika tamasha kubwa la Serengeti, lililofanikiwa kukata kiu ya mashabiki na wapenzi wa Bongo Fleva kwa siku mbili mfululizo (Jumamosi na Jumapili). Tamasha hilo limefanyika katika msimu wa pili…





