Latest Posts
Vifahamu viwanja nane zitakapochezwa michuano ya kombe la Dunia
Zikiwa zimesalia siku chache michano ya kombe la Dunia ianze kutimua vumbi huko mashariki ya kati, unaweza ukawa unavuta picha michuano ya msimu huu itakuwaje! Hivi ndivyo viwanja nane ambavyo michuano hiyo itachezewa hapo nchini Qatar kuanzia Novemba 20, 2022…
Kocha wa Simba na wenzake 9 wadakwa na dawa za kulevya
Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya Tanzania (DCEA), Gerald Kusaya ametangaza watuhumiwa tisa wakiongozwa na Mmiliki wa Kambiaso Sports Academy, Alhaj Kambi Zubeir Seif pamoja na Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Mwalami…
Halmashauri Mji Kibaha yakadiria kukusanya bil.45/-
Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Kibaha Halmashauri ya Mji wa Kibaha, Mkoani Pwani, imekadiria kukusanya sh. bilioni 45.8 kutokana na vyanzo mbalimbali vya mapato yake katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha wa 2022/2023. Akisoma taarifa ya bajeti kwenye kikao…
Serikali:Uchunguzi ajali ya ndege kukamilika ndani ya mwaka mmoja
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imetoa maelekezo kwa wataalamu wa ndani ya nchi kushirikiana na wataalamu kutoka nje ya nchi kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini chanzo cha ajali ya ndege iliyotokea Bukoba. Taarifa hiyo imetolewa leo Novemba 14,2022 jijini Dodoma…
Wanaotupa taka hovyo sasa kuanza kuzomewa Dar
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla, amesema licha ya uwepo wa sheria na kanuni za kuwadhibiti wachafuzi wa mazingira hususani wanaotupa taka hovyo ni vyema pia ikaenda sambamba na kuwazomea kama sehemu ya kuwafanya…





