JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Ufisadi aliouona Muhandiki KCU 1990 Ltd wadhihirika

Misemo ya wahenga ina mengi ya kufundisha, na mingi hutabiri yanayotokea kwenye jamii. Mfano, msemo kwamba panapofuka moshi chini kuna moto, una maana yake.  Msemo huo umejionyesha ndani ya Chama Kikuu cha Ushirika mkoani Kagera, KCU (1990) Ltd baada ya mwanachama…

Naibu Waziri acharukia mashamba pori

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dk. Angelina Mabula, amezitaka idara za Ardhi katika halmashauri nchini kuyabaini mashamba yote yasiyoendelezwa (mashamba pori) na kupeleka wizarani mapendekezo ya kufutwa kwa hati zake. Dk. Mabula amesema hayo wiki iliyopita…

NINA NDOTO (40)

Ndoto inahitaji uthubutu “Ili uwe mtu ambaye hujawahi kuwa lazima ufanye mambo ambayo hujawahi kuyafanya,” anasema mhamasishaji Les Brown. Kufanya mambo ambayo hujawahi kufanya ni kuthubutu. Kamusi ya Kiswahi Sanifu (TUKI) imetafsiri neno “thubutu” kwamba ni kuwa na ujasiri wa…

ATCL isirudie makosa, itakufa

Mwishoni mwa wiki iliyopita serikali ilipokea ndege mpya kubwa aina ya Boeing Dreamliner 787-800 ambayo imenunuliwa na serikali na kukodishwa kwa ATCL, ikiwa ni ndege ya nane kununuliwa na Serikali ya Awamu ya Tano tangu iingie madarakani. Ujio wa ndege…

Ana kwa ana na Rais Nyerere (3)

Ana kwa ana ni tafsiri ya mahojiano baina ya Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius K. Nyerere, na mwandishi wa gazeti, David Martin. Mahojiano haya yalichapishwa katika Gazeti la Kiingereza, New Internationalist, toleo la Mei, 1973.  David Martin ni…

Dar tunahitaji mapafu ya uhakika tupumue vizuri

Awali ya yote namshukuru Mwenyezi Mungu, Muumba wa Mbingu na Dunia na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana. Kipekee alituumba sisi wanadamu tumiliki na kuvitawala vyote: majini, nchi kavu na angani. Ndiyo maana baadhi ya mataifa yenye nguvu kiuchumi yanathubutu kwenda kuchunguza…