JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Maana ya Chuo Kikuu Huria inapotea’

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Profesa Elifas Bisanda, amezungumza na Gazeti la JAMHURI kuhusu historia, mafanikio, changamoto na hatima ya chuo hicho. Sehemu iliyopita alieleza namna OUT ilivyosambaa nchini kote. Sehemu hii anaelezea kuhusu mtandao huo…

MAISHA NI MTIHANI (6)

Kusubiri ni mtihani. Mtihani mgumu sana maishani ni kuwa na subira ya kungoja wakati muafaka. “Ni vigumu kuwa na subira, lakini ni jambo baya mno kukosa zawadi za subira,” alisema Abu Bakr. Subira hata kwa mtu mwema ina mpaka. Mvumilivu…

Namna ya kuishinda hasira yako (1)

Unaweza kutumia miaka 20 kujenga haiba yako mbele ya jamii lakini sekunde tano tu zinatosha kukiharibu kile ulichokijenga kwa miaka 20.                                                                                  Mtu mmoja alikuwa akisafiri kutoka Yerusalemu kwenda Yeriko. Akiwa njiani kwenda Yeriko aliona kaburi moja limeandikwa: “Njia ya Mungu…

Uongozi Hospitali ya Amana haukumtendea haki marehemu

Kumetokea jambo ambalo nimejitahidi nibaki nalo moyoni lakini nafsi imegoma kabisa. Nafsi imegoma kwa sababu naamini kulinyamazia kutahalalisha matukio mengine mengi ya aina hii yaendelee kufanywa. Wiki iliyopita tulipata taarifa ya msiba wa mtu tunayemfahamu. Hana umaarufu, lakini ni binadamu…

Yah: Sheria zetu na namna ya kukabiliana na mazoea

Nianze na salamu. Najua kwamba tumeanza mwezi wa mwisho wa mwaka huu, ni vema tukatumia fursa hii kwanza kumshukuru Mungu kwa kutufikisha hapa tulipo. Pili, kama kampuni ya gazeti, tuna kila sababu ya kuwashukuru wasomaji wetu kwa kutuunga mkono, kwa…

Heshima ya kijana ni kazi 

Kijana na Ajira ni maneno mawili yenye maana tofauti katika istilahi ya lugha ya Kiswahili. Lakini ni maneno yenye uhusiano na ushirikiano mwema katika mazingira ya kufanya kazi ambayo huleta kipato kizuri na maendeleo mema kwa kijana. Kijana anapofanya kazi…