Latest Posts
Dk. Hamisi Kigwangalla akimbilia mahakamani
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla, amefungua shauri katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala akiomba amri ya mahakama kulizuia Gazeti la JAMHURI kuchapisha na kusambaza habari zinazomkashifu. Nyaraka za mahakama ambazo zimewasilishwa kwa JAMHURI zililitaka gazeti hili kufika…
Kuzimwa simu kuathiri biashara ya pesa mtandaoni
Ukiondoa mawasiliano ya kawaida, eneo jingine kubwa litakaloathirika sana kutokana na zoezi la kuzima laini za simu ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole litakapokamilika ni biashara ya pesa mtandaoni, ambayo thamani yake ilikuwa imefika zaidi ya Sh trilioni nane kwa…
Songas kuwekeza Sh bilioni 138 zaidi nchini
Kampuni ya kuchakata gesi asilia na kuzalisha umeme ya Songas inapanga kuongeza kiasi cha umeme inachozalisha nchini kwa asilimia 33 ili kuliwezesha taifa kuwa na nishati ya kutosha kwa ajili ya shughuli za kiuchumi, mkurugenzi mtendaji wake amesema. Kwa mujibu…
Kitunda wazindua Parokia
Jumapili Januari 26, 2020 waamini wa Kanisa Katoliki Tanzania, Kata ya Kitunda, Dar es Salaam wametabaruku Kanisa na Altare. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, ndiye aliyelitabaruku Kanisa hili lenye historia iliyotukuka. Mwandishi…
Bandari ya Kyela yabadili maisha
Kwa miaka mingi mikoa ya Kusini ilikuwa imesahaulika. Katika makala hii tutawaelezea nafasi ya Bandari ya Kyela katika kuleta maendeleo ya kiuchumi kwa Nyanda za Juu Kusini na nchi jirani za Malawi na Msumbiji. Bandari ya Kyela ambayo ipo katika…
Ndugu Rais na wapinzani karibuni kwangu chini ya mwembe
Ndugu Rais na wanao wapinzani karibuni mezani kwangu huku Mbagala kijijini. Chini ya mwembe huu panakumbusha mahali alipozaliwa Yesu Kristu, kwa imani ya Wakristu, mkombozi wa dunia. Alizaliwa ndani ya zizi la ng’ombe. Mwenyezi Mungu ayabariki malango yake yule mwanamwema…




