Latest Posts
Mfugale Flyover ni ukombozi
Na Deodatus Balile Kwa muda mrefu ninapokuwa safarini huangalia jambo la kurejea nalo nyumbani. Nimesafiri nchi kadhaa duniani, hivyo nashukuru Mungu kuwa kusafiri huko kumeniongezea uelewa. Katika nchi nyingi, iwe zilizoendelea au zinazoendelea, zimeweka mtazamo na msisitizo mpya katika miundombinu….
Hujuma zatawala UDART, wakamatana
Na Mwandishi Wetu Polisi wanawashikilia wafanyakazi 22 wa Kampuni ya UDA Rapid T inayomilikiwa na Mwenyekiti wa Simon Group, Simon Kisena, JAMH Wafanyakazi hao wakiwamo wasaidizi wa karibu wa Kisena wanata mbadala wa kuuza tiketi za mabasi ya mwendokasi unaoipotezea…
Wizi wa kutisha
>>Bima feki za magari zatamalaki kila kona Dar >>Mtandao wajipenyeza Bandari, TRA, SUMATRA >>Yanayopata ajali, kuua wananchi yatelekezwa >>Kamanda wa Polisi aeleza mchongo wote ulivyo DAR ES SALAAM NA MANYERERE JACKTON Mtandao wa utapeli unaowahusisha wafanyabiashara na watendaji wakuu…
‘Mwizi’ wa magari Moshi apelekwa Kenya
Na Charles Ndagulla, Moshi Mfanyabiashara Bosco Kyara na mwenzake Gabriel Mombuli, wanaotuhumiwa kujihusisha na mtandao wa wizi wa magari katika nchi za Kenya na Tanzania wamesafirishwa kwenda nchini Kenya kujibu mashtaka ya wizi wa gari. Kyara ni mkazi wa Makuyuni katika…
Asante Mahakama Mkoa wa Mwanza
Miongoni mwa habari tulizozipa kipaumbele kwenye toleo hili ni ile inayohusu uamuzi wa Mahakama ya Mkoa wa Mwanza kutupilia mbali kesi dhidi ya waandishi wa habari wawili waliobambikiwa kesi. Waandishi hao walishitakiwa kwa kile kinachodaiwa kwamba walijifanya ni maofisa wa…