JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kinana: Utekelezaji JNHPP ni matunda ya CCM

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kanali mstaafu Abdulrahman Kinana amesema ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere (JNHPP), ni utekelezaji wa Ilani ya chama hicho. Kinana amesema hayo juzi wakati akitoa salamu za CCM kwenye hafla ya…

Mwanafunzi ajinyonga baada ya wazazi wake kumzuia kutojihusisha na mapenzi

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Lasmini Kondo mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Masaki wilayani Kisarawe mkoani Pwani,amekutwa akiwa amejinyonga baada ya kukatazwa na wazazi wake kutojihusisha na mapenzi . Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Jeshi…

Rais Samia awakumbuka watoto kituo cha Madina Pwani

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Dkt.Samia Suluhu Hassan ametoa zawadi ya Sikukuu za mwisho wa mwaka ikiwa ni pamoja na vitoweo ,mchele , maharage,mafuta ya kupikia ,vinywaji na viungo vingine mbalimbali vya kupikia. Akimwakilisha rais…

Mbaroni kwa kukutwa na kichwa cha tembo kikiwa na meno yote

Na Fredy Mgunda,JamhuriMedia, Iringa JESHI la Polisi Mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na Askari wa Uhifadhi kutoka hifadhi ya Taifa Ruaha wanamshikilia Cyprian Kasula miaka 42, mkulima na mkazi wa kijiji cha Kipera kwa tuhuma za kukutwa na kichwa cha Tembo kikiwa…

Watu watatu wamefariki dunia wakiwemo wanandoa ambao ni askari polisi Mkoa wa Arusha, Noah Semfukwe (30) na Agnes Kiyeyeu (27), katika ajali ya gari iliyotokea eneo la Tanangozi, nje kidogo ya Manispaa ya Iringa siku ya Jumanne, Desemba 20, 2022….