Latest Posts
Rais Mwinyi azitaka manispaa Zanzibar zitafute fedha
UNGUJA Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amezitaka manispaa kubadilika na kutofanya kazi kizamani na badala yake zitafute fedha kwa ajili ya miradi katika maeneo yao hasa ya mijini. Kauli…
Nyangao waomba madaktari bingwa zaidi kutoka MOI
LINDI Na Aziza Nangwa Mganga Mkuu wa Hospitali ya St. Walburg’s Nyangao, Dk. Masanja Kasoga, anaiomba serikali na wadau kuwawezesha na kuongeza madaktari bingwa wa mifupa, ubongo na mishipa ya fahamu kutoka Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI). Uongozi wa hospitali…
Jafo awajia juu wanaotiririsha maji taka
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia WAZIRI wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt.Selemani Jafo amelitaka Jiji la Dar es Salaam kupitia kitengo cha mazingira kubaini waliounganisha mfumo wa maji taka kwenye mfumo wa maji ya mvua ili hatua…
Yanga, Simba, Azam usajili wa bilioni utavuna nini CAF?
DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Usajili wa Yanga, Simba na Azam msimu huu hakuna shaka klabu hizo kwa pamoja zimekwisha kutumia zaidi ya Sh bilioni moja katika kuwanasa nyota hao. Ni jambo zuri kuona klabu zetu zimeamua kuvunja benki…
Mambo matano muhimu kwa Rayvanny nje ya WCB
NA CHRISTOPHER MSEKENA Wiki iliyopita Staa wa Bongo Fleva, Rayvanny, ameteka mitandao ya kijamii baada ya kutangaza kuachana na Lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz. Hatua hiyo imekuja baada ya Rayvanny kuwa mkubwa kiasi cha kuona sasa anaweza kujisimamia…
Miaka minne ya kishindo shule za serikali
Wakati wa uongozi wa Awamu ya Kwanza chini ya Mwalimu Julius Nyerere, serikali ilijitahidi na kufanikiwa kujenga shule za msingi na sekondari kwa madhumuni ya kutoa elimu kwa vijana. Wakati huo hapakuwa na shule nyingi za binafsi kama ilivyo sasa….





