JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali kuamua mazito Lyamungo AMCOS

Serikali imesema itachukua uamuzi mgumu dhidi ya Chama cha Ushirika wa Mazao cha Lyamungo AMCOS kutokana na chama hicho kukaidi maagizo yake kuhusu kuondoa zuio mahakamani linalohusiana na shamba la kahawa la Lyamungo. Shamba hilo limekuwa kwenye mgogoro usiokwisha kwa…

Yaliyowakuta wanahabari gerezani

Hatimaye waandishi wa habari, Christopher Gamaina na wenzake wawili wa jijini Mwanza wameachiwa huru kwa dhamana ya mahakama. Wanakabiliwa na tuhuma ya unyang’anyi wa kutumia nguvu wa Sh milioni tatu, katika kesi namba 11 ya mwaka 2018. Kila mmoja amedhaminiwa…

Dhamira ya Mugabe iheshimiwe

Moja ya matukio ya kukumbukwa katika urais wa Robert Mugabe wa Zimbabwe ni lile la Julai mwaka 2017. Katika tukio hilo, Zimbabwe iliyokuwa ikiongozwa na mzee Mugabe iliuza ng’ombe wa thamani ya dola za Marekani milioni moja kwenye mnada na…

NINA NDOTO (31)

Hesabu baraka zako Ukiwa‌ ‌na‌ ‌ndoto‌ ‌si‌ ‌kila‌ ‌kitu‌ ‌unachokifanya‌ ‌kitaleta‌ ‌matokeo‌ ‌unayotarajia.‌ ‌Ni‌ ‌jambo‌ ‌jema‌ ‌kuwa‌ ‌na‌ ‌matarajio‌ ‌makubwa,‌ ‌lakini‌ ‌ni‌ ‌vema‌ ‌pia‌ ‌kuwa‌ ‌na‌ ‌moyo‌ ‌wa‌ ‌kustahimili.‌ ‌ Moyo‌ ‌wa‌ ‌ustahimilivu‌ ‌ndiyo‌ ‌huwafanya‌ ‌wenye‌ ‌ndoto‌ ‌waendelee‌ ‌kubaki‌‌ katika‌…

MAISHA NI MTIHANI (42)

Nani ataomboleza utakapoaga dunia?   Kifo ni mtihani. Kuna aliyesema dunia ni mahali pa hatari sana, hautoki ukiwa hai. Hadithi inapokuwa nzuri kwenye gazeti wanaikatisha na kuandika itaendelea toleo lijalo. Mtu anapoaga dunia ni Mungu anakatisha hadithi ya maisha yake,…

SADC imepata ‘chuma’

Jumuiya ya kimataifa pamoja na nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), wanasubiri kuona mageuzi makubwa yatakayoletwa na Rais Dk. John Magufuli, ambaye ndiye mwenyekiti mpya wa jumuiya hiyo. Tayari katika hotuba yake ya kukubali majukumu yake…