JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kila kukicha aheri ya jana

Heri ya mwaka mpya wa 2013 wana-JAMHURI wenzangu, hongera na poleni kwa machovu yote.

Najua sana wengine ndiyo wanaangalia tena salio kwenye akaunti zao, kwenye waleti na chenji kwenye watoto wa meza nyumbani na ofisini.

Hongera SMZ, Mapinduzi Daima

Jumamosi hii Watanzania wakaazi wa Zanzibar wanasherehekea miaka 49 ya Mapinduzi yaliyofanyika Januari 12, 1964 baada ya kuwapo sintofahamu kutokana na uchaguzi uliovurundwa na mkono wa wakoloni kukandamiza wazawa wafuasi wa African Shiraz Party (ASP). Tunafahamu historia hii inafahamika vyema kwa kila Mtanzania kwenye kufuatilia historia. Tunafahamu pia malengo ya msingi ya kufanyika kwa mapinduzi haya.

Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (5)

Yuko mwandishi mashuhuri wa habari Visiwani Zanzibar, aliyewahi kuwa mwandishi wa habari wa aliyekuwa Waziri Kiongozi, Maalim Seif (huyu mimi kiutani namwita “uncle chocolate”), aliandika makala katika Tanzania Daima, “Benjamin William Mkapa ninayemjua” Jumapili tarehe 13 Machi 2008 uk. 13.

RIPOTI MAALUMU

ujangili nje nje

*Wanyamapori wanauzwa bila hofu

*Wateja wakuu ni vigogo serikalini

Kipindi cha uwindaji kinachoruhusiwa kisheria kinachoanza Julai hadi Desemba kila mwaka kimekwisha. Hii haina maana kwamba ulaji wanyamapori umekoma.

FIKRA YA HEKIMA

Tutarajie nini Mtei ‘anapobaka’ demokrasia Chadema?


Tutarajie nini mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edwin Mtei, anapofikia hatua ya ‘kubaka’ demokrasia ndani ya chama hicho kikuu cha upinzani nchini?

FASIHI FASAHA

Serikali isipuuze, udini upo, iudhibiti (6)

Katika sehemu ya nne na ya tano ya makala haya, nilieleza maana ya udini kama ilivyoainishwa na baadhi ya viongozi wa dini za Kiislamu na Kikristo.