Latest Posts
Soka la wanawake limenoga
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Timu ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, imetwaa ubingwa wa Michuano ya Shirikisho la Vyama vya Soka Kusini mwa Afrika (COSAFA), baada ya kuichapa Malawi 1-0 kwenye mchezo wa fainali…
Mkurugenzi MOI amfurahisha Majaliwa
LINDI Na Aziza Nangwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), Dk. Respicious Boniface, kwa kuwasogezea huduma za kibingwa wakazi wa mikoa ya kusini. Akizungumza katika ziara yake mkoani Lindi alikotembelea Hospitali ya St….
Maswali ajira Uhamiaji
*Wananchi wahoji kwa nini kazi wapewe wenye ufaulu hafifu *Ni baada ya Jeshi la Polisi kuwakata vijana wenye Divisheni I na II DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Idara ya Uhamiaji nchini imetangza nafasi 350 za ajira kwa vijana waliomaliza…
Utata wa taalamu wa kigeni kukamatwa
DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Kukinzana na kugongana kwa taratibu na sheria kati ya idara mbili nyeti za serikali kumesababisha wataalamu saba kutoka nje ya nchi kufikishwa mahakamani. Kwa mujibu wa taarifa zilizolifikia gazeti hili, wataalamu hao saba waliletwa…
Barua ya wazi kwa Rais kuhusu wamachinga
DAR ES SALAAM Na Sabatho Nyamsenda Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan, Natumaini u-buheri wa afya. Karibu tena nyumbani baada ya kutoka Marekani ulikohudhuria mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA). Natumaini umefurahi kurejea nyumbani. Shaaban Robert alighani akisema:…
Wateule wamemsusia Rais Samia mapambano ya corona
Na Deodatus Balile Tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, aitangazie dunia kwamba kwa sasa Tanzania imeamua kupambana na janga la corona, inavyoonekana kampeni hiyo inafanywa na Rais peke yake huku baadhi ya wateule wake wakiigiza. Hii…





