Latest Posts
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (4)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa aya hii: “Je, unafahamu taratibu zikoje ukifika TRA hadi unakadiriwa kiwango cha kodi utakayolipa kwa mwaka? Je, unafahamu ukiishalipa hayo malipo ya TRA ni ofisi ipi nyingine unapaswa kwenda kupata leseni ya biashara? Usiikose…
Huduma ya mwendokasi ina mushkeli, irekebishwe
Namshukuru Mwenyezi Mungu kutujalia uhai na wenye afya njema. Kila siku tukiamka ni siku mpya na yenye matumaini kwa misingi kwamba zipo fursa nyingi za kutuwezesha kuyamudu maisha yetu ya kila siku hasa katika Jiji la Dar es Salaam. Wengi wetu…
Huduma ya mwendokasi ina mushkeli, irekebishwe
Namshukuru Mwenyezi Mungu kutujalia uhai na wenye afya njema. Kila siku tukiamka ni siku mpya na yenye matumaini kwa misingi kwamba zipo fursa nyingi za kutuwezesha kuyamudu maisha yetu ya kila siku hasa katika Jiji la Dar es Salaam. Wengi wetu…
Ruge Mutahaba umeondoka, umetuachia funzo
Ni wiki moja sasa tangu familia, Clouds Media Group na taifa wampoteze kijana mashuhuri, Ruge Mutahaba. Baada ya wiki moja sasa tangu kifo chake, nashindwa niandike nini? Lakini sikosi cha kuandika, maana maisha ya Ruge yalikuwa kama Msahafu ama Biblia,…
Uhaba nyumba za walimu ni janga
Ni ukweli usiopingika kuwa pamoja na jitihada za serikali katika kuhakikisha inapunguza tatizo la upungufu wa nyumba za walimu, bado kuna changamoto kubwa kwenye sekta hii nyeti (moyo wa taifa) kwa mustakabali wa taifa! Kwa mujibu wa Chama cha Walimu…
Kila zama na kitabu chake, tunaona ya Awamu ya Tano
Rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi, kati ya mambo anayohusishwa nayo ni msemo maarufu kwamba: “…kila zama na kitabu chake.” Bila shaka msemo huu kutoka kwa mzee Mwinyi unalenga kutufanya tuwe makini ili tusichanganye mambo yanayofanyika kwa sasa na yaliyofanyika wakati…


