JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Magufuli apigwa bil. 100

Juhudi za Rais John Pombe Magufuli kuongeza makusanya ya kodi zinahujumiwa, baada ya uchunguzi wa Gazeti la JAMHURI kubaini kuwa katika wilaya moja tu ya mpakani, anapoteza zaidi ya Sh bilioni 100 kwa mwaka. Uchunguzi wa kina uliofanywa na JAMHURI…

Wafanyabiashara na TRA

493. MATATIZO YA UTARATIBU HUU NA MIANYA YA RUSHWA (i) Idara ya Upelelezi, Uzuiaji na Mashtaka Makao Makuu na Kitengo cha Ofisi za kanda kinawasaka wakwepa kodi, wafanyabiashara ya magendo na wanaolipa kodi ndogo, ikiwezekana kukamata mali zao na kuwafungulia…

Mkenya ‘kihiyo’ aongoza shule ya kimataifa Dar

Raia wa Kenya asiyekuwa na sifa za ualimu ameajiriwa kuwa Mkuu wa Shule za Kimataifa za St. Columba’s jijini Dar es Salaam; JAMHURI limebaini. Shule hizo zinazomilikiwa na Kanisa la Presbyterian Church of East Africa, lenye Makao Makuu nchini Kenya,…

Jenerali Waitara awatumia salamu majangili

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Jenerali mstaafu George Waitara, amewatumia salamu wanasiasa na viongozi wa Serikali ambao, kwa namna moja ama nyingine, wamekuwa nyuma ya wahalifu wanaojihusisha na ujangili. Waitara amewataka wote wanaojihusisha na ujangili…

Tusibishanie zika

Wiki iliyopita, baadhi ya vyombo vya habari viliripoti taarifa ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), kuhusu kuwapo kwa ugonjwa wa zika hapa nchini.  Taarifa hiyo ya utafiti wa NIMR, ilitolewa na aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu…

Dozi ya Waziri Mkuu kwa NGOs za Loliondo

Kwa miaka mingi, eneo la Loliondo katika Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha, limekuwa kama ‘jamhuri’ ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Eneo hili lenye utajiri mkubwa wa wanyamapori, limekuwa likiongozwa na asasi zisizo za serikali (NGOs) zenye nguvu za…