Latest Posts
YUTONG yazindua basi la kisasa
Kampuni ya kutengeneza mabasi aina ya Yutong kwa kushirikiana na Benbros Motors Ltd, imezindua basi la kisasa lenye uwezo mkubwa ili kupunguza ajali za mara kwa mara. Akizungumza katika uzinduzi huo, Afisa Masoko, Albert Currussa, wa Benbros Motors Ltd anasema…
Magufuli ataijenga Tanzania ya viwanda chini ya mfumo upi?
Kimsingi, bado najadili kujitegemea kwenye makala mbili zilizopita. Nilibadilisha vichwa vya habari kutokana na tukio la Rais Magufuli kuwaalika wanahabari kuelezea mafanikio ya mwaka mmoja tangu aingie madarakani. Katika kueleza changamoto zinazoukabili utawala wa Rais Magufuli, nilitoa mfano wa Nabii…
Kodi kikwazo cha uchumi
Serikali imetakiwa kuboresha mipangilio ya ulipaji kodi ikiwamo kuondoa tozo zisizokuwa za ulazima, ili kutengeneza mazingira rafiki kwa wawekezaji pamoja na kuepuka kupungua kwa mzunguko wa fedha. Akifanya mahojiano maalumu na JAMHURI, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe mkoani Morogoro,…
Majaliwa asante la Makonda
Wiki iliyopita kwa mshangao mkubwa nimesoma maelezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Makonda amesema mbele ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuwa lipo kundi la watu 10 lilitaka kumhonga Sh 5,000,000 kila mmoja kwa maana ya…
Maafa ya Kagera, kilio cha wanyonge kwa Rais
Mheshimiwa Rais, kwanza nakupongeza kwa mchango wako wa hali na mali katika kusaidia wahanga wa tetemeko lililoukumba Mkoa wa Kagera mwezi uliopita kwa nafasi yako kama Rais, na pia kwako binafsi. Kutokana na uhaba wa nafasi ya makala, sitataja kila…
Mgogoro Makao Makuu ya Wilaya ya Ilongero
Kwa kipindi cha wiki tatu kumekuwa na vuguvugu la mgogoro kuhusu Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Singida (Ilongero). Mgogoro huu unahusu hasa wapi yajengwe Makao Makuu ya Wilaya ya Ilongero. Uliibuka kuanzia tarehe Oktoba 28, 2016 baada ya…