Latest Posts
Michezo haihitaji siasa
Wadau wa mchezo wa riadha nchini wameombwa kuja na mbinu mbadala kama kweli wana nia ya dhati ya kufufua mchezo huo kutoka ngazi ya shule za msingi, sekondari hadi vyuo vikuu kuliko kuwaachia wanasiasa wasiokuwa na ufahamu wa michezo. Wakizungumza…
Agizo la Magufuli laibua utata
Agizo la Rais John Magufuli la kuwaondoa watumishi raia katika majeshi ya ulinzi na usalama, limeanza kutekelezwa, huku Wizara ya Utumishi wa Umma ikiendelea kupitia muundo. Taarifa ambazo JAMHURI limezipata, zinasema kuwa tayari kazi hiyo imekamilika katika Jeshi la Ulinzi…
RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 12
IDARA YA UHAMIAJI 257. Uhamiaji ni idara ndani ya Wizara ya Mambo ya Ndani yenye majukumu na wajibu kama ilivyoainishwa katika Sheria ya Uhamiaji (The Immigration Act, 1995). Majukumu ya Idara ya Uhamiaji yanajumuisha kuzuia uingiaji nchini Tanzania wa watu…
Benki yakaidi amri ya Mahakama
Benki ya Biashara ya Kenya (KCB) tawi la Tanzania, imekaidi amri ya Mahakama Kuu, Kitengo cha Kazi, kwa kutomlipa aliyekuwa mfanyakazi wake fidia shilingi milioni 15, baada ya kukatisha ajira yake. Hukumu hiyo ilitolewa mwaka 2014 na Jaji Ibrahimu Mipawa,…
Dawa za kulevya bado ni janga
Matumizi ya dawa za kulevya nchini yameongezeka katika kipindi cha miaka miwili kwa asilimia 75 katika Mkoa wa Dar es Salaam. Zaidi ya wahanga 3,000 wa dawa za kulevya wanaendelea kupatiwa dawa (Methadone) katika vituo vya afya vitatu hapa nchini…