JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sababu zinazochangia uchovu mara kwa mara-

Uchovu ni kitu cha kawaida katika maisha ya binadamu. Kila mwanadamu hupitia hali hii na hasa baada ya kupitia shughuli mbalimbali ambazo zilitumia nguvu sana ya mwili au hata akili pia. Ni rahisi sana kuweza kutambua sababu uchovu wa mwili…

Uchaguzi Tanzania tutavuna tunachopanda

Kwa siku za karibuni nimejipa jukumu la kusoma vitabu vitakafitu. Nasoma Biblia na Korani Tukufu. Nasoma maandiko matakatifu. Katika safu hii sitarejea Biblia wala Korani Tukufu, bali ujumbe mmoja tu kutoka vitabu hivi – MAONYO YA MAKUHANI na wengine wanaoitwa…

Ndugu rais giza nene limetanda mbele yetu!

Ndugu Rais toka tupate uhuru nchi hii imeongozwa na marais watano katika awamu tano tofauti. Rais wa awamu ya kwanza, Mwalimu Julius Nyerere ameshatangulia nyumbani kwa Baba katika mapumziko yake ya milele. Kila anayemkumbuka humwombea mapumziko ya amani. Tumekuwa tukifundishwa…

Mafanikio yoyote yana sababu (10)

Padre Dk Faustin Kamugisha Kutoa ni sababu ya mafanikio. Mtu anaweza kufilisika si kwa sababu anatoa bali kwa sababu hatoi. Asiyepoteza haokoti. Kwamba kutoa ni sababu ya mafanikio, jambo hili limethibitishwa na watu wengi. “Mtu mwenye busara haweki hazina kwa…

Serikali ichunguze e-passport

Wiki mbili zilizopita tumechapisha habari za uchunguzi juu ya mradi wa e-passport. Tumeeleza katika habari hizo kuwa kuna ufisadi unaokadriwa kufikia Sh bilioni 90, fedha ambazo waliokabidhiwa jukumu la kutafuta mzabuni kama wangetenda kwa masilahi ya taifa basi zingeokolewa. Katika…