JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kimenuka REA

Baadhi ya kampuni zilizoomba zabuni kwenye Awamu ya Tatu ya Mradi Kabambe wa Kusambaza Umeme Vijijini Awamu II, zimeghushi nyaraka. Mradi huo wenye thamani inayokaribia Sh trilioni moja, unalenga kufikisha umeme wa gridi kwenye vijiji 3,559 katika mikoa 25 ya…

Asotea mafao PPF miaka 15

Stanslaus Mlungu (78), aliyekuwa mfanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) na kustaafu kazi Desemba 31, 1991 kutokana na matatizo ya kiafya, amelalamika kwamba ameibwa fedha zake za pensheni na watumishi wa Mfuko wa Pensheni wa PPF mwaka 1992. Mlungu…

Rais Magufuli ulimchelewesha Muhongo

Mheshimiwa Rais Dk. John Magufuli shikamoo. Leo nakuandikia waraka huu mfupi kupitia safu yangu ya Sitanii. Kutoka kwenye sakafu ya moyo wangu kukupongeza na kukushukuru kwa hatua ya kudhibiti wizi wa madini yetu na pia kumwondoa aliyekuwa Waziri wa Nishati…

Buriani Mzee Kitwana Selemani Kondo ‘KK’

Jumatano Mei 24, 2017 ni siku ambayo itakumbukwa na Watanzania wengi na hasa Waislamu, kwa kuondokewa na mzee wetu, Alhaj Kitwana Selemani Kondo, maarufu KK au mzee wa mjini. Siku nne kabla ya kifo chake, mwanaye wa kiume, Adnan Kitwana…

Ndugu Rais nionyeshe hata ukurasa mmoja usio na makosa…

Ndugu Rais Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Stadi alitupiwa kitabu cha Kingereza kilichochapwa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) mezani pake kisha akaulizwa; “Nionyeshe hata ukurasa mmoja tu ambao hauna makosa katika…

Mwalimu Nyerere niliyemjua (5)

Kwa uzito wa busara kubwa iliyotumika katika salamu hizo za rambi rambi na kwa kuogopa kupotosha uzito huo nalazimika kuziwasilisha kwa lugha hiyo hiyo ya kiingereza kama ifuatavyo; “For the men and women who have served the great cause of…