Latest Posts
Waraka kuhusu Bandari kwa Rais John Magufuli
Tanzania inazungukwa na nchi saba ambazo hazina bandari. Nazo ni Malawi, Zambia, DR-Congo, Burundi, Rwanda, Uganda na Zimbabwe. Jiografia ya Tanzania inatoa fursa kubwa sana kibiashara na ajira katika tasnia ya uchukuzi na usafirishaji wa shehena. Kwa kutumia barabara na…
Kwa Magufuli haponi mtu
Juzi Jumapili, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli alifanya mabadiliko ya ghafla kwa kumteua Balozi Mhandisi John William Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Taarifa hizo zilithibitishwa na Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, Ikulu, Gerson Msigwa. Kabla ya…
Miaka 92 ya Rais Mugabe na ndoto za kuwa bondia
Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe, amesema kwamba ana nguvu ambazo hata kama akipanda ulingo wa ndondi anaweza kumpiga mpinzani wake. Rais Mugabe, ambaye hivi karibuni alitimiza miaka 92, akiwa ni kiongozi pekee barani Afrika aliyekaa madarakani kwa muda mrefu, alikwishatoa…
Tunazuia sukari kutoka nje kwa maslahi ya nani?
Februari 18, mwaka huu Rais John Magufuli alitangaza kupigwa marufuku kwa uagizaji wa sukari kutoka nje. Akasema kama kuna haja ya kutoa kibali, basi ni yeye ndiye atakayetoa. Alisema sababu ya hatua hiyo ni kuwa kuna maofisa wa Serikali ambao…
Tatizo halikimbiwi, hukabiliwa (2)
Mzanzibari mwingine yeye katamka maoni yake hivi, “…endapo chama hicho cha CUF kitasusia uchaguzi huo, kitapata hasara za namna mbili. Mosi, kupoteza madaraka kwa viongozi wake wa juu na pia kuondoa ushawishi wa chama hicho kwenye maamuzi muhimu ya Zanzibar…
Ajira kuchukuliwa na Wakenya, Wahindi ni sahihi!
Yapo malalamiko mengi kutoka kwa Watanzania yanayohusu kazi walizostahili kuzifanya, kuona sasa zikifanywa na wageni. Tunawalaumu raia kutoka Kenya, China, India, Malawi, Burundi na kwingineko duniani, walioingia nchini mwetu maelfu kwa maelfu kufanya kazi mbalimbali. Malalamiko haya ya ndugu zangu…