JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Tumepataje amani, tunaidumishaje?

Awali ya yote napenda nichukue fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu ambaye kwa mapenzi yake anatujaalia afya njema. Si kwamba sisi tunastahili kuliko waliokufa, bali sisi kuwapo kwetu hadi leo ni kwa rehema na neema yake tu Mwenyezi Mungu.  …

‘Drones’ zitaua uhuru wa Afrika (2)

Tanzania imebadilisha sheria za kumiliki ardhi karibu mara nane katika muda wa miaka kumi na moja ili kuruhusu wananchi kuporwa ardhi yao na wageni – “kisheria”. Uhalali wa sheria yoyote ni kutenda haki; lakini sheria zinazoidhinisha uwekezaji wa wageni katika…

Waliochota PAP wako wapi?

                                                Mgogoro wa ubia katika kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited baina ya Mechmar…

‘Naelekea bungeni’

                                                Ndugu marafiki zangu wa karibu na wa mbali, baada ya kupitia taarifa ya kamati za kiutafiti…

Matabaka katika elimu yanarudi?

Katika makala yangu, iliyotoka wiki iliyopita nilianza kujadili kurudi kwa mataba ya elimu katika jiji la Dar es Salaam ambalo ni kioo cha taifa hili. Hii ilitokana na kuonekana mabasi kadhaa yaliyoandikwa “INDIAN SCHOOL BUS” na mengine “YEMEN SCHOOL BUS”….

Mbona Oktoba inachelewa?

Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilituhumiwa kuendesha njama za kuifanya Serikali isitawalike. Sababu kuu iliyowapa nguvu wabaya wa Chadema kusema hivyo ni uamuzi wa chama hicho cha upinzani kukataa kutambua ushindi wa…