Latest Posts
Mjane aomba Rais Magufuli amsaidie
Mmoja wa wakurugenzi wastaafu wa idara iliyoshika moyo wa nchi (jina linahifadhiwa) ametajwa kushirikiana na baadhi ya Maofisa katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, kuandaa mpango wa kumpokonya kiwanja mkazi wa Ilala, jijini Dar es Salaam, Habiba…
Turuhusu ushindani mwendokasi
Wiki iliyopita Serikali imezindua Awamu ya Pili ya Mradi wa Mabasi ya Mwendo Kasi ( DART). Awamu hii sasa itakuwa ni ya upanuzi wa Barabara ya Kilwa kwenda Mbagala. Tanzania ni moja kati ya nchi tatu barani Afrika ambazo zina…
Mwekezaji: Rais Magufuli nisaidie
Mwekezaji wa Kampuni ya Petrofuel Tanzania Limited, amemwomba Rais John Pombe Magufuli kuingilia kati mgogoro wa kibiashara unaoipotezea Serikali mapato ya wastani wa Sh bilioni 4 kila mwezi kutokana na ubabe wa watu wachache, JAMHURI limeambiwa. Satish Kumar, ambaye ni…
Hakika Lukuvi anawezesha Watanzania
Mwaka 2004 aliyekuwa Rais wa Tanzania , Benjamin Mkapa alimleta nchini mtaalam wa uchumi, Prof. Hernando de Soto Polar (75 – sasa) kuzungumza jinsi ya kuwaondoa Watanzania katika lindi la umaskini. Nilipata fursa ya kuwapo kwenye mkutano huo uliofanyika katika…
Mgogoro wa Israel na Palestina -6
Wiki iliyopita tulishuhudia Serikali ya Uingereza ikishindwa kutekeleza ahadi zake ilizozitoa juu ya Palestina kuwa taifa. Wiki hii unaletewa sehemu ya sita ya makala hii inayosimulia mgogoro wa Israel na Palestina. Endelea… Baada ya Serikali ya Uingereza kuwa imeelemea…
RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 32
Rais, Waziri Mkuu waligawa fukwe MAPENDEKEZO 622. (i) Tatizo la Sheria zinzogongana Cap. 378, Cap. 390, Cap. 334. na Act Na. 8 ya 1982 ni la muda mrefu. Tume inapendekeza ufumbuzi upatikane haraka. Aidha sheria zinazotumika sasa ziendelee kufanyiwa…