Latest Posts
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Pinda hafai kuwa Rais
Ni matumaini yangu kuwa Watanzania wenzangu hamjambo hasa wale Watanganyika walalahoi kama mimi, sizungumzii wale wanaoishi kama wapo paradiso.
Nimesoma magazeti kadhaa, karibu wiki nzima yanazungumzia habari ya ‘mtoto wa mkulima’ Mizengo Pinda eti anataka urais na wengine kuanza kumpigia debe kwamba anafaa eti kwa vile ni muadilifu, pia hana tuhuma za ufisadi.
Mheshimiwa Sitta acha kututania!
TMF yatoa ruzuku kwa vyombo vya habari 16
Mfuko wa vyombo vya habari nchini (TMF), kwa mara nyingine, umetoa ruzuku ya Sh. bilion 1.7 kwa vyombo vya habari 16.
Posho EAC kufuru
*Kila kikao mbunge analipwa Sh laki 9
Posho ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) ni Sh. 940,000 kwa siku. Malipo hayo ni kwa kila mbunge hata kama hakudhuria vikao vya Bunge.
Kutokana na utoro wa wabunge ambao umefikia kiwango cha kukwamisha vikao, juhudi za chini kwa chini zimeanza kufanywa na baadhi ya wabunge ili kubadili kanuni.
Mmoja wa wabunge hao ameiambia JAMHURI kuwa juhudi hizo ni pamoja na kuhakikisha kuwa mbunge ambaye hahudhurii kikao, anakosa posho.
ISIL yazidi kuitesa Marekani, Waarabu nao waingilia kati
WAPIGANAJI wa kundi la Taifa la Kiislamu la Iraq na Levant (ISIL), wanazidi kuwatesa Wamarekani, kiasi kwamba hata Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA), limekiri kwamba mapambano dhidi ya waislamu hao ni magumu.
Habari mpya
- Kim Jong Un akerwa na ajali kwenye uzinduzi wa meli ya kivita
- Trump amshambulia Ramaphosa kwa mauaji ya wazungu
- Kenya yajitenga na Karua yatetea uamuzi wa Tanzania
- Ifahamu mimea mitano inayolindwa zaidi duniani
- Iran yasisitiza haitoacha urutubishaji wa urani
- Waziri Mkuu aongoza mkutano wa kazi wa mawaziri
- Waziri Mkuu wa zamani DRC ahukumiwa kifungo cha miaka 10 jela kwa ufisadi
- DCEA yateketeza mashamba ya bangi ekari 157 Kondoa
- Tanzania yajipanga kuja na Mahakama ndani ya SGR
- Mwinyi: Mkopo wa bil 240/- kujenga skuli 23 za ghorofa
- Wanajeshi sita wa Ukraine wauawa katika shambulio la Urusi
- Tanzania yanadi fursa za uwekezaji mnyororo madini muhimu London
- Jitihada za utunzaji wa mazingira Tanzania, Norway zawekwa bayana
- Wadau wapitia mkakati wa taifa wa kupunguza uzalishaji wa gesijoto
- Rais Namibia atembelea Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Copyright 2024