JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

‘Miujiza’ nyumba ya Serikali Mbeya

Dalali wa Mahakama, Japhet Kandonga, ameuza nyumba ya Serikali namba 162, kiwanja namba 1103 iliyoko Kitalu ‘S’ eneo la Mafiati Jijini Mbeya kwa Sh milioni 250 kwa mfanyabiashara maarufu wa Dar es Salaam, Saul Henry Amon, na kudai kwamba mnunuzi…

Mfanyabiashara amlalamikia DC Tunduru

Mfanyabiashara Steven Buhanza anailalamikia Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma, kwa kile anachodai imeuza shehena ya mbao zake ilhali kesi ikiwa haijatolewa uamuzi. Buhanza, mmiliki wa Kampuni ya Ntiyonza Company Limited ya Dar es Salaam, alikamatwa Oktoba 30, 2012…

Ndugu Rais, Tumekusikia sasa na wewe tusikilize

Ndugu Rais, kuna watu hapa nchini kazi yao ni kukosoa tu! Hata pale jambo jema linapofanyika badala angalau wakae kimya wao watatafuta namna tu mpaka wakosoe. Hata hivyo, wabaya wa mtu siyo wanaomkosoa kwa sababu hawambomoi, bali wanamjenga zaidi kuliko…

Forodha ya pamoja kukuza uchumi EAC – Nyamhanga

Serikali imejenga vituo vya kutoa huduma kwa pamoja mipakani (OSBPs) vinavyolenga kurahisisha taratibu za Forodha, Uhamiaji, usimamizi wa ubora wa bidhaa na huduma, ulinzi na usalama kwa watoa huduma hizo upande mmoja wa mpaka kwa nchi mbili husika. Katibu Mkuu…

Kuporomoka kwa maadili nini chanzo?

Nimesukumwa kuandika makala hii kutokana na ukweli kwamba hatuwezi kujenga taifa lenye maadili mema pasipokuwa na familia zenye maadili mema. Ustawi wa taifa unaanzia nyumbani. Kinyume chake ni kuporomoka kwa taifa kunakoanzia nyumbani. Uhai wa taifa unategemea uhai wa familia….

Mwafrika bado “Le Grande Enfante” (2)

Ghafla juzi juzi wakati Waziri Mkuu keshatoa hotuba yake kuomba fedha kwa ofisi yake, nikashtuka kusikia kuwa Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, badala ya kutoa hotuba mbadala wa ile ya Waziri Mkuu, eti ameongea kwa dakika chache tu…