Latest Posts
Aunty Ezekiel atanua na Nyalandu Marekani
*Ni msanii aliyedokezwa na gazeti hili wiki iliyopita
*Mrembo akiri walikuwa pamoja kutangaza utalii
*Asisitiza sehemu kubwa ya bajeti ilitoka wizarani
*Yaelezwa ndicho kilichomkera Rais Kikwete Marekani
Man. United ipo kazi mwaka huu
Ufwiliku huu wa nini?
Septemba 18, mwaka huu wa 2014 historia ilijirudia katika nchi yetu hii. Nasema hivi kwa sababu Kiongozi Mkuu wa Upinzani Bungeni na Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini (CHADEMA), Mheshimiwa Freeman Mbowe alitiwa msukosuko wa kihistoria.
MK Group ilivyotesa miaka ya 1990
Bendi ya MK Group ilikuwa maarufu kwenye miaka 1990, iliyokuwa imejikita kupiga muziki katika hoteli za kitalii hapa nchini. Lakini kabla ya kuanzishwa kwake, kulikuwa na bendi ya mama, ya African Stars iliyoanzishwa Julai 1, 1994, katika Hoteli ya Bahari Beach Dar es Salaam.
Jifunze kuwa mteja bora
Mara nyingi tumekuwa tukieleza na kuwasisitiza wauzaji wawe na ukarimu kwa wateja (customer care), lakini tumekuwa tukiipuuza nafasi ya mteja katika kumsaidia muuzaji awe mkarimu kwake.
Unyonge wa Mwafrika – 2
Juma lililopita nilizungumzia kwa ufupi unyonge wa Mwafrika, ambao Mwalimu Julius Nyerere amesema unyonge huo uko wa aina mbili. Unyonge wa kwanza amesema ni unyonge wa MOYO, unyonge wa ROHO. Unyonge wa pili ni unyonge wa UMASKINI.
- Ado Shaibu amvaa wakili Mwambukusi
- TASAC yasisitiza usalama wa usafiri majini kama msingi wa kukuza uchumi
- GCLA yatoa elimu ya usalama wa Kemikali na afya Sabasaba, yakaribisha wanafunzi kujifunza Sayansi
- Tanzania kudumisha uhusiano wa kidugu kati yake na muungano wa visiwa vya Comoro
- Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
Habari mpya
- Ado Shaibu amvaa wakili Mwambukusi
- TASAC yasisitiza usalama wa usafiri majini kama msingi wa kukuza uchumi
- GCLA yatoa elimu ya usalama wa Kemikali na afya Sabasaba, yakaribisha wanafunzi kujifunza Sayansi
- Tanzania kudumisha uhusiano wa kidugu kati yake na muungano wa visiwa vya Comoro
- Rais Samia ahutubia viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Comoro
- Rais Samia ahudhuria sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Comoro
- AZAM FC imemtambulisha Florent Ibenge kuwa Kocha Mkuu
- Wataka mbio za Great Ruaha Marathon ziwe za kimataifa
- Rais Dk Samia akikagua Gwaride la Jeshi la Umoja wa Visiwa vya Comoro
- DCEA: Wanaotangaza au kusifia matumizi ya Dawa za Kulevya kukiona
- PPRA yawahamasisha wasanii kujisajili katika mfumo wa NeST
- Rais Samia kuhudhuria sherehe ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru Umoja wa Visiwa vya Comoro
- Hamas yakaribisha mazungumzo ya kusitisha vita
- Rais Ruto kujenga kanisa kubwa Ikulu
- Trump :Ukraine itahitaji makombora ya Patriot kujilinda