Latest Posts
Njia bora ya kulinda biashara yako
Wiki iliyopita niliandika makala yaliyokuwa na kichwa “Unahitaji gia ya uvumilivu kumudu biashara”. Nilieleza visa kadhaa vilivyonitokea katika harakati za kibiashara. Mamia ya wasomaji kutoka pande mbalimbali za nchi wameonesha kuguswa na yaliyowahi kunitokea.
Nchi ya usingizi na wapiga soga
Anaweza kuwa na upungufu wake, lakini ni ukweli kwamba Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, ni mmoja wa viongozi wenye uamuzi na mbinu zinazoleta nuru ya kuwapo mabadiliko katika utendaji kazi miongoni mwa watumishi wa umma.
FASIHI FASAHA
Kuchinja nyama ni sababu ya kufarakana?
Sikilizeni maneno, wasanii tunayosema, jiepusheni navyo vitendo vitakavyotutenganisha, kufarakana, kuchukiana kumeshaanza, kukamiana kutukanana sasa ni sera, Watanzania kuweni macho, Taifa linakwenda pabaya tutakuja jijutia.
FIKRA YA HEKIMA
Wengine waige Vodacom kuwajali wafanyakazi
Kampuni ya Vodacom Tanzania ni mfano mzuri wa kuigwa, katika uwasilishaji wa makato ya fedha za wafanyakazi wake kwenye Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).
Ni ujinga CHADEMA kupinga uzazi wa mpango – (3)
Fikiria maisha ya mijini, vyumba vya kupanga utaishia kulaza watoto wanne katika chumba kimoja, katika kitanda kimoja na ndani ya chandarua kimoja. Lakini pia katika maisha ya vijijini gharama zimepanda hata kama unaishi kwenye nyumba yako.
Umoja wa Tanzania ni propaganda
Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alituasa kwamba tufanye juhudi kuziba ufa mkubwa uliojitokeza katika Muungano wa Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar, na kuendelea kuainisha nyufa nyingine. Lakini ni kama hatukumsikiliza na kumjali.