JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Medeye afichua siri migogoro ya ardhi Arumeru

Mbunge wa Arumeru Magharibi, Gooluck ole Medeye (CCM), ameibuka na kuanika siri ya migogoro ya ardhi katika Wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha.

Nchi inavyoliwa

[caption id="attachment_695" align="alignleft" width="266"]Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Galawa[/caption]Raia wa Uswisi, Dk. George Hess, anatuhumiwa kujimilikisha na kuuza ardhi ya ufukwe wa Amboni uliopo Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, kinyume cha sheria. Dk. Hess, anayeishi nchini Kenya, kupitia tovuti yake ya ambonibeach.com, amejitangazia ‘Jamhuri’ katika eneo hilo, kuwa ndiye mmiliki pekee Tanzania mwenye ufukwe, jambo ambalo ni kinyume cha Sheria ya Ardhi namba 4 ya mwaka 1999.

Sheria ya Mipango Miji namba 7 ya mwaka 2008 na Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004, inakataza mtu yeyote kumiliki ufukwe wa bahari bali fukwe zinapaswa kumilikiwa na umma. Lengo la kutungwa kwa sheria hiyo ni kuhakikisha fukwe hazihatarishi amani, ulinzi na usalama wa raia.

Lissu, Mrema, Mbowe wamsulubu Kikwete

[caption id="attachment_693" align="alignleft"]Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu[/caption]*Wasema nchi imemshinda, watapika nyongo
*Wasema Serikali inaandaa taifa la wajinga

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Freeman Mbowe, Mbunge wa  Singida Mashariki, Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Tanzania Labor Party (TLP), Agustino Mrema, wametoa tuhuma nzito kuwa nchi imemshinda Rais Jakaya Kikwete.

RATIBA YA MASHINDANO YA UEFA

Jumanne Februari 19, 2013 MUDA TIMU UWANJA 4:45 usiku Arsenal vs Bayern Munich Emirates 4:45 usiku FC Porto vs Malaga Dragao Jumatano Februari 20, 2013 4:45 usiku AC Milan vs Barcelona Giuseppe Meazza 4:45 usiku Galatasaray vs Schalke 04 Turk…

Wambura: Uongozi mbovu unaua soka Tanzania

Mdau maarufu wa soka nchini, Michael Wambura (pichani kulia), amekosoa soka la Tanzania kwamba linadumazwa na uongozi mbovu.

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Tuwe makini kuchagua viongozi “Hatari moja ya kuendelea kumchagua mtu yule yule kipindi hata kipindi huweza kuleta hofu na wasiwasi nchini.” Haya ni maneno ya Baba wa taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Gurdjief: Binadamu huwa anabadilika “Binadamu hawezi…