JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Sagara: Katiba izuie wastaafu kurejeshwa kazini

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime mkoani Mara, Amos Sagara (pichani chini), amependekeza Katiba mpya izuie wastaafu kurejeshwa katika utumishi wa umma.

Utawala Bora hutokana na maadili mema (2)

 

Mara baada ya Uhuru baadhi ya wageni kwa dharau za makusudi kabisa walijaribu kuchezea uwezo wa Serikali ya Taifa letu huru. Nitoe mifano ya dharau za namna hiyo.

Tuondokane na bima za magari

Kwa wiki nzima sasa kuna mjadala unaoendelea hapa nchini juu ya mpango wa kurekebisha viwango vya malipo ya bima ifikapo Machi mosi. Mpango huu unalenga hasa bima kubwa (premiums). Wanalenga kuweka viwango vya kati ya asilimia 3.5 hadi 9 kwa kila gari. Hawakuzungumzia suala la bima ndogo (third part).

Mgodi wahatarisha afya za watu

Mamia ya wananchi wanaoishi jirani na Mgodi wa Dhahabu wa North Mara (NMGM) unaomilikiwa na African Barrick Gold (ABG), wako katika hatari ya kuugua saratani ya mapafu, damu na kuwa viziwi.

CAG akwazwa na sheria

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh ametoboa siri kwamba utendaji kazi wa ofisi yake umekuwa ukikwazwa na sheria za nchi.

Lema asiwe Mkatoliki kuliko Papa

Februari Mosi Mwaka huu, Jiji la Arusha limezindua kampeni ya kudumu ya usafi wa mazingira. Tayari baadhi ya mitaa ya jiji hilo imeanza kupendeza.

Mradi huo unaohusisha ukarabati wa barabara, mitaro, dampo, taa za barabarani na za