JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

NUKUU ZA WIKI

Nyerere: Nilipata ajali ya kihistoria

“Kitaaluma mimi ni mwalimu wa kufundisha darasani; lakini kwa sababu ya ajali ya kihistoria nilijikuta nikiwa kiongozi wa mapambano ya kudai uhuru na baadaye kiongozi wa nchi yetu.”

 

Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

RATIBA YA AFCON 2013

Jumanne 29 Januari, 2013 Ethiopia vs Nigeria            saa 3:00 usiku Burkina Faso vs Zambia    saa 3:00 usiku Jumatano 30 Januari, 2013 Algeria vs Ivory Coast       saa 3:00 usiku Togo vs Tunisia…

Rodgers: Suaresz haendi Anfield

Kiongozi wa Liverpool, Brendan Rodgers, amejitokeza kukanusha uvumi kwamba mchezaji Luis Suarez yuko njiani kuhamia Anfield.

Okwi awanyong’onyesha Simba

Pengo lililoachwa na mshambuliaji mahiri wa kikosi cha Simba, Emmanuel Okwi, limewanyong’onyesha mashabiki kiasi cha kupungukia matumaini ya kuona timu hiyo ikifanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka ya Vodacom Tanzania Bara, msimu huu.

Yah: Kama nikichaguliwa kuwa rais nitafanya yafuatayo

Wanangu, ningependa mpokee mawazo yangu muone,  je, kuna tija yoyote ya kuwa mbele katika mambo ambayo mimi niko nyuma kama wazee wengine wa zamani; na kwamba uzembe huo wa kutokwenda na wakati ninyi mwendao na wakati mmefanikiwa kwa kiwango gani!

Huhitaji mtaji kuanzisha biashara!

Miaka ya karibuni, dhana ya ujasiriamali imeenea kwa kasi kubwa miongoni mwa wanajamii. Kwa sasa kila kona tunasikia ujasiriamali –  kanisani, mitaani, vyuoni na katika mikutano ya kisiasa kunahubiriwa ujasiriamali. Hata hivyo, kuna kibwagizo kinachojirudia kila zinapotajwa changamoto za ujasiriamali – ukosefu wa mitaji!