JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Kibadeni ashirikishwe kukabili rushwa Ligi Kuu

Kocha Mkuu wa timu ya Kagera Sugar ya Bukoba, King Abdallah Kibadeni (Mputa), amekuwa wa kwanza kuzungumzia hadharani tuhuma za rushwa katika michezo ya Ligi Kuu ya Vodacom, Tanzania Bara.

Drogba kustaafu soka kifua mbele?

Nahodha na mshambuliaji mahiri wa timu ya taifa ya Ivory Coast (The Elephants), Didier Drogba, amefanikiwa kupata nafasi ya mwisho ya kucheza katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (CAN) 2013, zitakazofanyika nchini Afrika Kusini.

Nyerere: Kataeni kukandamizwa

“Watanzania watakuwa ni wajinga na mataahira, kama watakubali kuendelea kukandamizwa na watu wachache katika nchi yao wenyewe….”

Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Nyerere, aliyasema hayo kuwahimiza Watanzania kupinga vitendo vya ukandamizaji ndani ya nchi yao.

Serikali ya CCM haiwezi kudhibiti rushwa

Mwaka huu, wakati Tanzania ikielekea kufanya Uchaguzi Mkuu mwaka 2015, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinachounda Serikali, kimejidhihirisha kuwa hakina ubavu wa kudhibiti tatizo la rushwa nchini.

Wajasiriamali wanavyotawala siasa za dunia

Baada ya Japan kuibuka kwa kasi kimaendeleo, iliitamanisha sana Marekani kiasi cha kuwafanya wanauchumi wengi wa Marekani kuwa na kiu ya taifa lao kuiga mfumo wa kiuchumi wa Japan.

Utaifa hauna dini (3)

Ndiyo kusema licha ya fursa kubwa kielimu walizopata watu wa mwambao siku zile kuelimisha watoto wao, jamaa hawa Waswahili hawakuzitumia.