Latest Posts
CCM ina nia mbaya kwa makada wake?
Baada ya danadana ya muda mrefu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inayoendelea kukwamisha kumtangaza mgombea wao wa urais, sasa naamua kusema. Hii ni kwa sababu ni mwanachama wa kawaida na sina nafasi ndani ya vikao vya Kamati Kuu wala Halmashauri…
Sababu nne za ushahidi wa kuambiwa haukubaliki kortini
Ushahidi wa kuambiwa ni nini? Ushahidi wa kuambiwa ni ule unaotolewa na mtu ambaye hakuona tukio likitendeka, hakusikia tukio likitendeka, hakuhisi wala kuonja, wala kunusa jambo lililo mbele ya Mahakama kama kosa isipokuwa aliambiwa na mtu mwingine aliyeona, kusikia, kuhisi,…
Mila za Wazanaki: Mwitongo na Muhunda
Baada ya makala ya juma lililopita juu ya lugha ya Kizanaki, naendeleza makala inayofafanua mila na tamaduni za kabila la Wazanaki. Eneo la Butiama linalojulikana kama “Mwitongo” linatokana na neno la Kizanaki lenye kumaanisha “mahame”, eneo ambalo lilikuwa na wakazi…
Nguvu ya mawazo katika mafanikio kiuchumi
Kila kitu kinachoonekana duniani kilianza na mawazo. Mawazo ndiyo kiwanda kikubwa cha uumbaji wote unaoonekana duniani. Hata katika vitabu vya dini tunaelezwa kuwa Mungu aliamua (Mawazo) kuumba mbingu na nchi. Ninaposoma Biblia kuhusu habari hizi za uumbaji wa Mungu, kuna…
Kule Fellain, huku Makapu
Kuna wakati ili ufanikiwe basi ni vyema kujifunza kwa yule aliyefanikiwa. Mtu aliyefanikwa kwa kumwangalia tu matendo yake unapata funzo. Unaweza kumwangalia namna anavyoongea, anavyotembea, anavyocheka na namna anavyochagua marafiki, kusikiliza watu na kadhalika na utajikuta umepata funzo kubwa sana…
Dakika 480 za Obama Kenya
Baada ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry, kusafisha njia Kenya kwa ziara ya siku tatu aliyoifanya mwanzoni mwa mwezi huu, imethibitika kuwa Rais Obama atatua Nairobi kwa ulinzi mkali na kufanya ziara ya saa 8 tu….