Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akutana na Wajumbe wa Bodi na Menejimenti ya Kampuni ya Mkulazi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wajumbe wa Bodi na Menejimenti ya Kampuni ya Mkulazi kupata taarifa ya maendeleo ya Uwekezaji katika uzalishaji Sukari Nchini, Ofisini kwake Mlimwa, mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wajumbe wa Bodi na Menejimenti ya Kampuni ya Mkulazi kupata taarifa ya maendeleo ya Uwekezaji katika uzalishaji Sukari Nchini, Ofisini kwake Mlimwa, mjini Dodoma.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wajumbe wa Bodi na Menejimenti ya Kampuni ya Mkulazi kupata taarifa ya maendeleo ya Uwekezaji katika uzalishaji Sukari Nchini, Ofisini kwake Mlimwa, mjini Dodoma.