Latest Posts
Malengo ya Kazi (1)
Hotuba ya Rais Mwalimu Julius Nyerere kwenye Sherehe ya Kufungua Kiwanda cha Nguo Ubungo Dar es Salaam Julai 6, 1968
Pinda hafai kuwa Rais
Ni matumaini yangu kuwa Watanzania wenzangu hamjambo hasa wale Watanganyika walalahoi kama mimi, sizungumzii wale wanaoishi kama wapo paradiso.
Nimesoma magazeti kadhaa, karibu wiki nzima yanazungumzia habari ya ‘mtoto wa mkulima’ Mizengo Pinda eti anataka urais na wengine kuanza kumpigia debe kwamba anafaa eti kwa vile ni muadilifu, pia hana tuhuma za ufisadi.
Mheshimiwa Sitta acha kututania!
TMF yatoa ruzuku kwa vyombo vya habari 16
Mfuko wa vyombo vya habari nchini (TMF), kwa mara nyingine, umetoa ruzuku ya Sh. bilion 1.7 kwa vyombo vya habari 16.
Posho EAC kufuru
*Kila kikao mbunge analipwa Sh laki 9
Posho ya Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) ni Sh. 940,000 kwa siku. Malipo hayo ni kwa kila mbunge hata kama hakudhuria vikao vya Bunge.
Kutokana na utoro wa wabunge ambao umefikia kiwango cha kukwamisha vikao, juhudi za chini kwa chini zimeanza kufanywa na baadhi ya wabunge ili kubadili kanuni.
Mmoja wa wabunge hao ameiambia JAMHURI kuwa juhudi hizo ni pamoja na kuhakikisha kuwa mbunge ambaye hahudhurii kikao, anakosa posho.
ISIL yazidi kuitesa Marekani, Waarabu nao waingilia kati
WAPIGANAJI wa kundi la Taifa la Kiislamu la Iraq na Levant (ISIL), wanazidi kuwatesa Wamarekani, kiasi kwamba hata Shirika la Kijasusi la Marekani (CIA), limekiri kwamba mapambano dhidi ya waislamu hao ni magumu.
- Mama Salma: Njia pekee kuthamini kazi kubwa aliyofanya Dk Samia ni kumpa kura, Ridhiwan kiongozi mwenye dira
- Soma Gazeti la Jamhuri Septemba 16 – 22, 2025
- Kufufuliwa kwa reli ya TAZARA, ujenzi wa reli kusini utaleta mageuzi makubwa kiuchumi
- Trump asema yuko tayari kuiwekea vikwazo Urusi
- WHO: Chanjo ya Ebola imeanza kutolewa kusini mwa Kongo
Habari mpya
- Mama Salma: Njia pekee kuthamini kazi kubwa aliyofanya Dk Samia ni kumpa kura, Ridhiwan kiongozi mwenye dira
- Soma Gazeti la Jamhuri Septemba 16 – 22, 2025
- Kufufuliwa kwa reli ya TAZARA, ujenzi wa reli kusini utaleta mageuzi makubwa kiuchumi
- Trump asema yuko tayari kuiwekea vikwazo Urusi
- WHO: Chanjo ya Ebola imeanza kutolewa kusini mwa Kongo
- Luhaga Mpina aondolewa katika orodha ya wagombea urais 2025
- Mpina ajibu mapingamizi yake, amwekea pingamizi mgombea wa CCM Dk Samia
- Mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dk Samia atua Zanzibar,
- Mgombea udiwani Kata Tandika kwa tiketi ya CCM ahaandi kushughulikia kero ya michango shuleni
- Bilioni 51/- za mradi wa TACTIC kuongeza thamani ya Jiji la Mbeya
- Wajasiriamali waliomba dawati maalum la uwezeshaji TRA kuwa mwarobaini wa kero zao
- Kingu awaombea kura za wagombea wa CCM Jimbo la Songea Mjini
- ‘Dk Ndumbaro anapaswa kupewa mitano tena ili amalizie miradi aliyoianzisha’
- Samia ahitimisha kampeni kwa kishindo Kigoma
- Ilani ya Uchaguzi ya CCM imelitazama kipekee kundi la vijana kwa kulijengea mazingira mazuri – Wasira
Copyright 2024