JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia akemea vikali wanaharakati wa nje wanaojaribu kuingilia masuala ya Tanzania na kuhatarisha amani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezielekeza Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Wizara ya Mambo ya Ndani, pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama kuchukua hatua za haraka dhidi ya…

Lissu arejeshwa Gerezani hadi Juni 2, kesi kusikilizwa kwa njia ya kawaida

– Mahakama yasema kesi kuendelea kusikilizwa kwa njia ya kawaida Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, amerejeshwa rumande hadi Juni 2, 2025, baada ya kesi yake ya uhaini na…

Wizara ya Maliasili na Utalii kununua ndege nyuki 12, kufuatilia mienendo ya wanyapori

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma WIZARA ya Maliasili na Utalii itaendelea kutumia teknolojia katika kukabiliana na wanyamapori wakali na waharibifu kwa kununua ndege nyuki (drones) 12 na mikanda maalum ya mawasiliano 50 (GPS Satellite Collars) kwa ajili ya ufuatiliaji wa…