Latest Posts
Bodi ya Wakurugenzi TPA haina meno mbele ya Kipande
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) haina meno mbele ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya hiyo, Madeni Kipande, baada ya kubainika kuwa maelekezo mengi anayopewa na Bodi anayapuuza.
Baada ya Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, kuunda Kamati ya Mbakileki kuchunguza kinachoendelea bandarini wakati wa uongozi wa Ephraem Mgawe, Kamati ilitoa mapendekezo ambayo bodi ilimwagiza Kipande kuyatekeleza, lakini zaidi ya asilimia 90 ya mapendekezo hayo ameyapuuza.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Nyalandu apangua ‘amri’ ya Nyerere
*Aagiza wataalamu wafungue mpaka wa Bologonja
*Watalii kutoka Kenya wataingia kiulaini Serengeti
*Watafaidi vivutio, kisha fedha zote zitaishia Kenya
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameshakamilisha mipango ya kufungua mpaka wa Bologonja; jambo linalotajwa kuwa ni pigo kwa uchumi wa Taifa na kwa wadau wa tasnia ya utalii nchini.
Mpaka huo unaotenganisha Tanzania na Kenya, ulifungwa mwaka 1977 kwa amri ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, kwa kuzingatia maslahi mapana ya kiuchumi na kimazingira ya Taifa.
Taarifa zilizopatikana kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii zinasema tayari Nyalandu ameshawaagiza viongozi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na wengine katika Wizara yake, kuhakikisha mpaka huo unafunguliwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa TTB, Aloyce Nzuki, ambaye Nyalandu amemwondoa kwenye nafasi hiyo, anatajwa kuwa mmoja wa watu waliopinga mpango huo kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake. Upinzani huo unatajwa kuwa miongoni mwa sababu alizotumia Nyalandu kushinikiza Nzuki aondolewe.
Siri zavuja Bandari
Real Madrid kuivua ubingwa Bayern leo
Miamba minne ya soka barani Ulaya, wiki hii inajitupa tena katika viwanja viwili tofauti kucheza nusu fainali ya kuwania Kombe la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA). Miamba hiyo ni mabingwa watetezi wa kombe hilo, vijana wa Pep Guardiola wa Bayern Munich,…
- Asante TCRA, tusiruhusu vyombo vife
- Waziri Mkuu Mwigulu avutiwa kasi utekelezaji mradi wa EACOP, kuzalisha ajira, kukuza uchumi
- Naibu Waziri Dk Dugange atoa rai kwa watendaji kulipa umuhimu suala la uchumi wa buluu
- Mawaziri wakutana Lushoto kutafuta suluhu ya migogoro ya wananchi Tanga
- TMA yatoa tahadhari ya hali ya mbaya kwa siku tano
Habari mpya
- Asante TCRA, tusiruhusu vyombo vife
- Waziri Mkuu Mwigulu avutiwa kasi utekelezaji mradi wa EACOP, kuzalisha ajira, kukuza uchumi
- Naibu Waziri Dk Dugange atoa rai kwa watendaji kulipa umuhimu suala la uchumi wa buluu
- Mawaziri wakutana Lushoto kutafuta suluhu ya migogoro ya wananchi Tanga
- TMA yatoa tahadhari ya hali ya mbaya kwa siku tano
- Soma Gazeti la Jamhuri Februari 17 – 23, 2026
- Mkutano wa waandishi wa habari kuhusu ziara za kikazi alizofanya Rais Dkt. Samia
- Simanjiro yapitisha makisio ya bilioni 45/- ya mpango wa bajeti 2026/2027
- Uchumi wa buluu uimarishe ushirikiano Tanzania Bara, Zanzibar
- Dk Possi: Viongozi ni taswira ya taasisi na Serikali kwa jamii
- IPI yawateua wabunge 320 kuwaletea maendeleo wananchi
- Naibu Waziri aipongeza CBE kwa machapisho 148 ya kitaaluma
- Waziri Mkuu akagua mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta
- Kocha Gamondi rasmi kuinoa Stars
- Daraja la mto Pangani ni kichocheo cha uchumi – Dk Mwigulu