Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 8, 2023
Habari Mpya
Rais Samia awaandalia chakula cha jioni washiriki Mkutano wa AGRF Ikulu Dar
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia awaandalia chakula cha jioni washiriki Mkutano wa AGRF Ikulu Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wageni mbalimbali wakati wa Hafla ya Chakula cha jioni alichowaandalia Viongozi pamoja na Washiriki wa Mkutano Mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Tuzo ya African Food Prize 2023 kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Pan-Afrika Bean Research Alliance (PABRA) ambaye pia ni Mkuu wa Mradi wa Maharage Dkt. Jean Claude Rubyogo kwa niaba ya Taasisi hiyo yenye Makao Makuu nchini Kenya wakati wa hafla ya Chakula cha jioni alichowaandalia Viongozi pamoja na Washiriki wa Mkutano Mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2023. Katikati ni Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa African Food Prize akishuhudia
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango kwenye hafla ya Chakula cha Jioni kwa ajili ya washiriki wa Mkutano mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2023.
Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye akiwa kwenye hafla ya Chakula cha Jioni Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Goodluck Jonathan kando ya mkutano Mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Burundi Mhe. Évariste Ndayishimiye, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Mstaafu wa Nigeria Mhe. Goodluck Jonathan, Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Mhe. Hailemariam Desalegn, viongozi wengine pamoja na mshindi wa African Food Prize 2023, Mkurugenzi wa Taasisi ya Pan-Afrika Bean Research Alliance (PABRA) ambaye pia ni Mkuu wa Mradi wa Maharage Dkt. Jean Claude Rubyogo (aliyeshika Tuzo) wakati Hafla ya Chakula cha jioni alichowaandalia Viongozi pamoja na Washiriki wa Mkutano Mkubwa wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Afrika (AGRF) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 07 Septemba, 2023.
Post Views:
301
Previous Post
Bima ya afya kwa wote suluhu ya kudumu ya matibabu kwa rika zote
Next Post
Rais Mwinyi ashiriki Swala ya Ijumaa katika Msikiti wa Salum Mmaka
Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi wa vivutio vipya vya kujazia gesi kwenye magari CNG
Rais wa Benki ya AfDB awasili nchini
Ujio wa marais 25, barabara hizi kufungwa kwa muda, bodaboda marufuku mjini
Rais wa Sierra Leone atua Dar
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Habari mpya
Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali ujenzi wa vivutio vipya vya kujazia gesi kwenye magari CNG
Rais wa Benki ya AfDB awasili nchini
Ujio wa marais 25, barabara hizi kufungwa kwa muda, bodaboda marufuku mjini
Rais wa Sierra Leone atua Dar
Rais wa Sierra Leone kutua Dar leo
Wakuu wa nchi 25 kushiriki mkutano wa nishati Afrika
JK aipa PPAA changamoto kuokoa fedha za Serikaki katika miradi
Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Mwanasheria Mkuu lakutana
Kampeni ya ‘Ubungo usiku kama mchana’ yazinduliwa
JKCI yazidi kutanua wigo wa huduma za matibabu nchini
Watatu mbaroni kwa wizi mtoto wa miezi saba, wakutwa msituni
Bashe ahimiza ushirikiano kati ya Tume ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri
Waziri Kombo akutana na Waziri wa Uchukuzi wa Czech
Polisi Arusha wapewa pikipiki 20 kuimarisha usalama
Tanzania, UN tourism zasaini makubaliano ya kongamano la kimataifa la utalii wa vyakula barani Afrika