Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
January 30, 2024
MCHANGANYIKO
Rais Samia azindua ugawaji vizimba vya kufugia samaki na boti za kisasa kwa wavuvi Mwanza
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia azindua ugawaji vizimba vya kufugia samaki na boti za kisasa kwa wavuvi Mwanza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel Nchimbi mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwanza kwa ajili ya ziara ya Kikazi ya siku moja mkoani humo tarehe 30 Januari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwanza kwa ajili ya ziara ya Kikazi ya siku moja tarehe 30 Januari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega wakati akielekea kuzindua ugawaji wa vizimba vya kufugia Samaki na Boti za Kisasa kwa ajili ya Wavuvi wa Kanda ya Ziwa kwenye hafla fupi iliyofanyika pembezoni mwa Ziwa Victoria (Bismarck Rock) Jijini Mwanza tarehe 30 Januari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwanza kwa ajili ya ziara ya Kikazi ya siku moja mkoani humo tarehe 30 Januari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na baadhi ya Wabunge wa Mkoa wa Mwanza mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwanza kwa ajili ya ziara ya Kikazi ya siku moja mkoani humo tarehe 30 Januari, 2024.
Msanii Mrisho Mpoto akitumbuiza kwenye hafla ya uzinduzi na ugawaji wa Boti za Kisasa na vizimba kwa ajili ya Wavuvi wa Kanda ya Ziwa iliyofanyika katika uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza tarehe 30 Januari, 2024.
Msanii Dullah Makabila akitumbuiza kwenye hafla ya uzinduzi na ugawaji wa Boti za Kisasa na vizimba kwa ajili ya Wavuvi wa Kanda ya Ziwa uliofanyika katika uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza tarehe 30 Januari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Mkoa wa Mwanza mara baada ya uzinduzi wa ugawaji wa Boti za Kisasa na vizimba kwa ajili ya Wavuvi wa Kanda ya Ziwa katika uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza tarehe 30 Januari, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia vikundi vya ngoma Chapakazi kutoka Ilemela na Buyegi kutoka Kisesa Magu mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwanza kwa ajili ya ziara ya Kikazi ya siku moja mkoani humo tarehe 30 Januari, 2024.
Baadhi ya Machifu wa Mikoa ya Kanda ya Ziwa wakiwa kwenye mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan uliofanyika kwenye uwanja wa Nyamagana tarehe 30 Januari, 2024.
Baadhi ya Viongozi wa dini pamoja na wananchi wakiwa kwenye mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan uliofanyika kwenye uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza tarehe 30 Januari, 2024.
Baadhi ya wananchi wakiwa kwenye mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan uliofanyika kwenye uwanja wa Nyamagana Jijini Mwanza tarehe 30 Januari, 2024.
Post Views:
348
Previous Post
Serikali yatangaza fursa kwa wadau wa TEHAMA
Next Post
Rais Samia aitaka Wizara ya Uvuvi kuwachukulia hatua kali wavuvi wanaokiuka sheria
Waandishi watatu wa habari wa Lebanon wauawa shambulizi la Israel
Wakuu wa Polisi EAC wajadili uhalifu uliovuka mipaka
Rais Dkt. Samia ateta na Baraza la Mawaziri Zanzibar
Jenerali Mkunda awavisha nishani mbalimbali majenerali Zanzibar
Bilioni 15 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105 Simiyu
Habari mpya
Waandishi watatu wa habari wa Lebanon wauawa shambulizi la Israel
Wakuu wa Polisi EAC wajadili uhalifu uliovuka mipaka
Rais Dkt. Samia ateta na Baraza la Mawaziri Zanzibar
Jenerali Mkunda awavisha nishani mbalimbali majenerali Zanzibar
Bilioni 15 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105 Simiyu
Bwana harusi acharuka
Chad, Jamhuri ya Afrika ya Kati wataka kuunda kikosi mseto cha usalama mpakani
Kuelekea Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini 2024,
Injinia Hersi anyakua tuzo Afrika
Ujenzi bomba la mafuta ghafi la EACOP wafikia asilimia 43.5
Wadau wa kisekta watakiwa kukabiliana na athari za mvua za msimu 2024/25
DRC: M23 wadhibiti tena mji wa Kalembe, mashariki mwa nchi
Samia Kalamu Awards yasogezwa mbele hadi Oktoba 30
Bashungwa amkalia kooni mkandarasi CRSG anayetekeleza ujenzi wa barabara Nyamwage – Utete
Shule ya Kata yaweka historia katika TEHAMA