JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Archives

Kosa la Dk. Magufuli ni kusimamia sheria?

Nimesoma makala ya rafiki na kaka yangu Joster Mwangulumbi, iliyokuwa na kichwa cha habari: “Yako mengi tunayopaswa kuyatafakari”. Makala hiyo fupi, lakini kali, inamhusu mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli. Aya moja inasema: “Rais Kikwete na…

Wakenya, NGOs wanavyoivuruga Loliondo

 

*Mkutano Mkuu wa Kata Oloipir watoa tamko

*Dk. Mary Nagu aandikiwa waraka maalumu

Magufuli amvimbia Pinda

Kuna kila dalili kuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli, amekataa au kushindwa kutekeleza maagizo ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na kilichoelezwa kuwa kuyatekeleza ni kuvunja sheria ya usalama barabarani na kanuni zake, hivyo yeye hayuko tayari kufanya hivyo.

Pinda: Mwanasheria anayepinda sheria

Kuna mambo mengine mtu unaweza kupata sifa hata kama huna ujuzi nayo. Wakati wa mvutano wa Chama cha Wamiliki wa Malori na Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, nilisema Waziri huyo hatafika mbali kwa uamuzi wake wa kusimamia sheria.

Malinzi: Tuelekeze nguvu Morocco vs Taifa Stars

Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Kagera, Jamal Malinzi, amewataka Watanzania kuiunga mkono  Taifa Stars iweze kushinda katika mchezo kuwania tiketi ya  kufuzu Kombe la Dunia unaotarajiwa kufanyika Machi 24, mwaka huu.

Mashindano ya Miss Tanzania yafutwe

Wakati huu wa harakati za kutoa maoni ya Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni wakati mwafaka kutafakari kama mashindano ya ‘Miss Tanzania’ yanaikosea Tanzania.  Mwaka 1964 Serikali ilipiga marufuku mashindano hayo lakini yakaibuka kinyemela mwaka 1994 kwa mfano wa Azimio la Zanzibar, lililoibuka mwaka 1992 bila mwafaka wa kitaifa, na kuathiri Azimio la Arusha lililozaliwa mwaka 1967.