Diamond, Nandy Bado hakijaeleweka

Msanii Naseeb Abdul maarufu Diamond Platinumz jana amewasili katika ofisi za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa ajili ya mahojiano kutokana na tuhuma za kusambaza katika mitandao ya kijamii video isiyokuwa na maadili. Msanii huyo anatuhumiwa kusambaza video inayomuonyesha akiwa katika faragha na mwanamke ambaye ni mzazi mwenzake, Hamisa Mobetto. Siku ya Jumanne, Diamond alishikiliwa…

Read More

Diamond Avunja Ukimya Kuhusu Mimba ya Tunda

Diamond akifanya mahojiano maalum na Global TV online.   HATIMAYE msanii kutoka industry ya Bongo Fleva, Diamond Platinumz ameamua kuanika kuhusu tetesi za kumapachika uzauzito Video Vixen wa Bongo, Tunda. Interview ikiendelea. Akifanya mahojiano maalum ya Global TV Online, Diamond amekanusha kumpachika mimba staa huyo na kudai kuwa hajawahi hata kutebea naye wala kuwa na…

Read More

ZARI THE BOSS LADY ANASA NYENDO ZA DIMOND PLUTNUM

  Baada ya tetesi kuzidi kuenea katika mitandao ya kijamii na watu kuzidi kusema kuwa inawezekena Tunda ana mahusiano ya kimapenzi na Diamond Platnumz kutokana tu na ukaribu walionao wawili hao. Zari the boss lady ambaye ni mzazi mwenzake Diamond Platnumz ameonekana kupata taarifa hizo kuhusiana na tetesi zinazoendelea katika mitandao ya kijamii na kuamua kuandika…

Read More