Lugha ni chombo cha mawasiliano

Na Angalieni MpenduĀ  0717/0787 113542 Lugha ni chombo cha mawasiliano, na kinaunganisha pande mbili katika mambo mbalimbali: kama vile elimu, mahusiano na kadhalika. Lugha pia ni mpangilio wa sauti na maneno unaoleta maana ambayo hutumika na watu kuanzia familia, taifa hadi mataifa. Lugha ikitumika vizuri hujenga umoja wa kitaifa na diplomasia kati ya taifa na…

Read More