Kingunge Arudishwa Tena Muhimbili Baada ya Mazishi ya Mke Wake
Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, amerejeshwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kuendelea na matibabu. Mzee Kingunge aliruhusiwa kutoka hospitalini hapo Januari 10 ili kwenda kushiriki mazishi ya mkewe, Peras Ngombare Mwiru yaliyofanyika Alhamisi katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es salam. Mtoto wa kiume wake wa kiume, Kinjekitile Ngombare Mwiru, amekaririwa…