JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: ligi kuu bara

Ruvu Shooting ilistahili kushinda Mechi Yao Dhidi ya Azam FC

Kikosi cha Ruvu Shootinga kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa Mabatini, Mlandizi jana. Mchezo umepigwa jana baada ya kuahirishwa juzi Alhamis kufuatia mvua kali kunyesha iliyosababisha maji…

AZAM TV YANOGESHA ZAWADI YA MCHEZAJI BORA WA MWEZI WA VPL

Bodi ya ligi (TPLB) imetangaza maboresho katika zawadi za mchezaji bora wa mwezi wa Ligi kuu Tanzania Bara, ambapo kuanzia sasa, mchezaji bora wa kila mwezi atakuwa akipata tuzo maalum ya Kikombe, fedha taslim shilingi milioni moja pamoja na king’amuzi…