JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: liverpool

Loris Karius: Kipa wa Liverpool atishiwa maisha baada ya makosa dhidi ya Real Madrid fainali ya ubingwa Ulaya

Polisi wa eneo la Merseyside, Uingereza wamesema wanafahamu kuhusu vitisho vya maisha ambavyo vimetolewa dhidi ya mlinda lango wa Liverpool Loris Karius baada ya kuchezwa kwa fainali ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya Jumamosi. Maafisa wamesema vitisho vyovyote vinavyotolewa kupitia…

HIVI NDIVYO AS ROMA ILIVYOKUFA 5-2 ANFIELD NA LIVERPOOL

Liverpool imeitandika AS Roma kwa Mabao 5-2 na kujiweka sehemu nzuri ya kutinga hatua ya fainali, mabao ya Liverpool yalifungwa na Mshambuliaji Mmisri Mohamed Salah aliyefunga mabao 2 dakika ya 36 na 45 Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Msenegal Sadio…

Liverpool Yaichafulia Manchester City

Liverpool imewazuia Manchester City katika jitihada zao za kumaliza msimu wa Ligi ya Uingereza bila kupoteza mchezo Jurgen Klopp amesimamisha utawala wa Pep Gurdiola Premier League, baada ya michezo 30 bila kupoteza mechi hata moja hatimaye hii leo Liverpool wamefanikiwa…