Mwenyekiti CWT adanganya
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Clement Mswanyama, amewadanganya walimu na Watanzania kwa ujumla juu ya umiliki wa mali za walimu, JAMHURI linathibitisha. Hivi karibuni, Mswanyama ameitisha mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma na bila aibu akawaambia uongo kuwa Chama cha Walimu Tanzania kinamiliki hisa 99 za Kampuni ya…