JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Prof. Mkenda: Serikali kuimarisha sekta ya elimu wa kutumia takwimu sahihi

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema kuwa Serikali imejipanga kuimarisha mageuzi ya sekta ya elimu kwa kuzingatia matumizi sahihi ya takwimu, upanuzi wa fursa za masomo ya juu ndani na nje ya nchi, pamoja na utekelezaji…

JKT yafungua fursa za mafunzo kwa vijana 2026

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika jitihada za kuwaandaa vijana kukabiliana na maisha, kujitegemea na kushiriki ujenzi wa taifa, Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza kuanza kwa mafunzo ya kujitolea kwa mwaka 2026, hatua inayofungua fursa kwa maelfu ya vijana…

Serikali na wadau waungana kulinda vyanzo vya maji skimu ya Mapama

📍 Mapama, Arumeru – Arusha Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kwa kushirikiana na wadau wa mazingira na maji, imezindua rasmi zoezi endelevu la upandaji miti katika Skimu ya Umwagiliaji Mapama. lengo la jitihada hizo za pamoja ni kulinda…

Mama ajifungua na kutelekeza kichanga gesti

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Nzega MWANAMKE mmoja ambaye jina halijajulikana amejifungua mtoto na kumtelekeza kwenye nyumba ya kulala wageni (gesti) Wilayani Nzega mkoani Tabora na kutokomea kusikojulikana. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Mkuu wa Wilaya hiyo Naitapwak Tukai ameeleza…

Trump aapa kutekeleza asilimia 100 tishio la kutoza ushuru nchi za Ulaya 

Donald Trump ameapa asilimia 100 kutekeleza tishio lake la kutoza ushuru kwa nchi za Ulaya zinazopinga ombi lake la kuchukua udhibiti wa Greenland. Washirika wa Ulaya wameungana kuunga mkono uhuru wa Greenland. Waziri wa mambo ya nje wa Denmark alisisitiza…

Ukraine yalemewa na mashambulizi ya Urusi

Ukraine inaendelea kulemewa vibaya na mashambulizi ya Urusi kwa takribani miaka minne sasa tangu uvamizi huo bila ya dalili ya vita hivyo kupata ufumbuzi licha ya hatua kadhaa zilizochukuliwa na washirika wa Kiev. Alfajiri ya Jumanne (Januari 20), vikosi vya Urusi…