JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania, Uturuki kuimarisha ushirikiano wa viwanda

Balozi wa Tanzania nchini Uturuki, Mhe. Iddi Seif Bakari amewakaribisha wamiliki wa viwanda nchini Uturuki kufanya ziara nchini kujionea fursa zilizopo kwenye sekta ya biashara na uwekezaji, na kuahidi kuwa Serikali ya Tanzania ipo tayari kufanikisha azma hiyo Balozi Bakari…

Rais Dk Samia azungumza na Katibu Mkuu wa EAC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayemaliza muda wake, Bi. Veronica Nduva, tarehe 28 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaam. Pamoja na masuala…

Ndejembi : Bomba la gesi Ntorya Madimba likamilike ifikapo Septemba 2026

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amelitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kumsimamia kikamilifu mkandarasi anayetekeleza mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha gesi asilia kutoka eneo la ugunduzi la Ntorya hadi Kiwanda cha Kuchakata Gesi Asilia cha Madimba…

Makamu wa Rais ashiriki mazishi ya Kardinali Pengo Pugu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili katika Kanisa la Hija ya Bikira Maria – Pugu Jijini Dar es Salaam, ambapo anaungana na waombolezaji kushiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya Mazishi ya Askofu…

Tanzania yamwagiwa sifa kwa kulinda haki za binadamu

GENEVA – Wakati mwenendo wa hali ya haki za binadamu katika baadhi ya mataifa duniani ukitajwa kuwa mbaya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imemwagiwa sifa kuwa na mwenendo mzuri wa kushughulikia haki za binadamu. Sifa hizo zilitolewa na Kamishna Mkuu…

Serikali yaunga mkono wawekezaji mifuko mbadala

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Serikali imesema itaendelea kuwaunga mkono na kuwatia moyo wawekezaji wa viwanda vya kuzalisha mifuko mbadala na vifungashio vyenye viwango, hatua inayosaidia jamii kuachana na mifuko ya plastiki iliyopigwa marufuku. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri…