JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali yadhamiria kuibadili sura ya Sinza

Na Pendo Nguka, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 sinza ilikuwa na wakazi 40,546 lakini idadi hiyo ilipungua hadi kufikia 31,396 mwaka 2022. Licha ya kupungua kwa idadi ya wakazi bado…

Kiwanda cha kuchakata madini chumvi mbioni kukamilika Lindi

*Wadau wa chumvi kuanza kuuza chumvi iliyochakatwa *Zaidi ya tani 60 hadi 100 kuchakatwa kwa mwezi *Wazalishaji wa chumvi waipongeza serikali kwa utatuzi wa changamoto Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika juhudi za kuendeleza na kuboresha uzalishaji wa madini chumvi…

Rais Samia : Mimi ni yuleyule wa falsafa ya maridhiano 4R, ninachohitaji ni ushirikiano

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye ndiye yuleyule na hajabadilika kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakidai kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii. Amesema bado ni kiongozi anayeamini katika falsafa ya maridhiano kama ilivyokuwa…

Tume yabaini ugumu wa maisha kilikuwa kichochea cha ghasia

Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29, 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Othman Chande amesema kuwa tume hiyo imebaini kuwepo kwa tofauti kati ya chanzo na kichocheo cha ghasia zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi mkuu, ambapo…

Jaji Chande : Matukio yaliyotokea Oktoba 29 yalikuwa na uvunjifu wa amani

‎Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Oktoba 29, 2025, Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Othman Chande amesema uchambuzi wa kisheria na ushahidi uliokusanywa unaonyesha kuwa matukio yaliyotokea siku hiyo hayakuwa maandamano ya amani, bali ghasia zilizoambatana na uvunjifu wa…