Author: Jamhuri
Mwenda atoa rai kwa watumishi kufanya mazoezi
Na Peter Haule, WF, Manyara Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda, ametoa rai kwa watumishi wa umma na wananchi kwa ujumla kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kuimarisha…
Askari wa TAWA wamdhibiti Simba aliyezua taharuki Mkarango
📍 Msako wa Simba Mwingine Waendelea Na Mwandishi Wetu, Lindi Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imefanikiwa kumdhibiti simba mmoja dume aliyekuwa akihusishwa na matukio ya kushambulia mifugo na kuzua taharuki katika Kitongoji cha Songea, Kijiji cha Mkarango, Wilaya…
TMDA yatakiwa kutoa adhabu kali
Na Dennisi Luambano, JamhuriMedia, Babati Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, ameitaka Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) kutoa adhabu kali kwa wanaoingiza dawa bandia, duni na zisizosajiliwa na iendelee kuwaelimisha wananchi kuhusu matumizi sahihi ya dawa na…
Rais Samia aagiza ma -RC, ma- DC kujiandaa mapema kukabiliana na athari za Elnino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Taasisi mbalimbali za serikali kujiandaa mapema kukabiliana na mvua kubwa zinazotabiriwa nchini, ili kuepusha maafa na madhara kwa wananchi….
NEMC na JNHPP: usimamizi wa mazingira katika miradi ya kimkakati
Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeshiriki kikamilifu katika uzinduzi wa Mradi wa Kufua Umeme wa Julius Nyerere (JNHPP), unaofanywa leo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni…
Rais Samia azindua rasmi kituo cha kuzalidha umeme cha Julius Nyerere
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 leo, tarehe 22 Agosti 2026, katika eneo la mradi lililopo Rufiji, mkoani Pwani….





