Author: Jamhuri
JKCI yafanya upasuaji wa mtoto aliyezaliwa na mishipa miwili ya damu kwenye moyo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kwa mara ya kwanza watalamu wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na mwenzao kutoka Mradi wa Little Heart wa Shirika la Muntada lililopo nchini Uingereza Dkt….
Rais Samia, Nchimbi, Ndejembi na siasa za CCM
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika siasa, kuna wakati busara ya kiongozi haipimwi kwa maneno anayosema, bali kwa mambo anayochagua kutoyasema. Kuna wakati ukubwa wa kiongozi hauonekani katika namna anavyomshambulia mpinzani wake, bali katika namna anavyolinda heshima yake…
Prof. Shemdoe apongeza mpango wa Mufti Bima Foundation kuwasaidia wananchi wasio na uwezo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amekutana na Naibu Mufti na Mjumbe wa Baraza la Ulamaa na Mkurugenzi wa…
TASAC yasitisha leseni za ICD na kufungia sita
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (TASAC) imesimamisha utoaji wa leseni mpya za Bandari Kavu za Makontena (ICD) kufuatia kuongezeka kwa malalamiko ya wananchi kuhusu vituo hivyo vinavyoanzishwa katika maeneo ya mijini na kusababisha…





