JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bodi ya REB yaridhishwa na usambazaji umeme kisiwani Jibondo

šŸ“Œ Bilioni 8 zatumika šŸ“Œ Mradi umekamilika kwa asilimia 90 Jibondo, Mafia šŸ“ Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeeleza kuridhishwa kwake na kasi ya usambazaji wa nishati ya umeme katika vitongoji vya Kisiwa cha Jibondo, kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya…

TBS Yateketeza Tani 3.4 za Unga wa Mahindi usiokidhi viwango

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) Kanda ya Magharibi limeteketeza tani 3.4 za unga wa mahindi uliochini ya kiwango, wenye thamani ya takribani Sh. milioni 3.5, baada ya vipimo vya maabara kubaini kuwa haukidhi viwango vya usalama kwa…

NMB, Bunge kuwakutanisha zaidi ya 1,000 michezoni Dodoma

Na Mwandishi Wetu, Dodoma.ZAIDI ya washiriki 1,000 kutoka Bunge, wizara 14 na taasisi 10 wanatarajiwa kushiriki NMB Bunge Bonanza 2026 litakalofanyika Jumamosi jijini Dodoma, baada ya NMB Bank Plc kukabidhi udhamini wake wathamani ya Sh milioni 210 ikiwemo vifaa vya…

TPLB yatangaza tarehe ya kuanza kwa msimu wa NBC Premier League 2026/2027

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Dar es Salaam BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, maarufu kama NBC Premier League, kwa mwaka 2026/2027 unatarajiwa kuanza rasmi Oktoba 29, 2026 na kuhitimishwa Mei…

Ushirikiano wa NHIF na ZHSF wavutia Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Bajeti ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar imeupongeza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kazi kubwa inayofanya katika kuimarisha mifumo ya utoaji wa huduma za bima ya afya nchini,…

GCLAĀ endeleeni kuwajengea uwezo wadau wa tiba asilia

Na Mwanaheri Jazza Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dkt. Elizabeth Myema, ameipongeza Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa kutoa huduma bora kwa jamii huku akiitaka Mamlaka kuendelea kuwajengea uwezo wadau wanaojihusisha na Tiba Asili kwa kuzalisha…