JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Rais Samia aweka jiwe la msingi la skuli ya sekondari ya ufundi Kizimkazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka jiwe la msingi na kupanda mti katika Skuli ya Sekondari ya Ufundi Kizimkazi Mkunguni, Wilaya ya Kusini, Mkoa wa Kusini Unguja. Hatua hiyo ni sehemu ya jitihada…

Serikali kuendesha oparesheni maalum ya ukaguzi wa utekelezaji wa mikataba ya msaada wa kiufundi

▪️ Lengo ni kuchukua hatua kwa wanaoitumia vibaya ▪️ Waziri Mavunde aelekeza RMOs kufanya ukaguzi wa mara kwa mara ▪️ Mchango wa wachimbaji wadogo kwenye uzalishaji madini wakua ▪️ Kamati ya Bunge yaitaka Serikali kutupia jicho kwenye maabara za upimaji…

Polisi Pwani wakamata watuhumiwa 206 wa dawa za kulevya, magendo

Na Mwamvua Mwinyi, Pwani Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani limewakamata watuhumiwa 206 kwa makosa mbalimbali ya jinai katika operesheni na misako iliyofanyika kati ya Juni na Julai mwaka huu. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Salim Morcase, akizungumza na…

Naibu Waziri Nishati ahamasisha umma kupata taarifa sahihi sekta ndogo ya umeme

………………. Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Salome Makamba, amehimiza umma kupata taarifa sahihi kuhusu hali ya sekta ndogo ya umeme nchini, huku akitoa wito kwa Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuendelea kutoa elimu…

Wabunge washauri miradi ya kaboni iendelee kunufaisha wananchi

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira imeshauri kuwa miradi ya biashara ya kaboni iendelee kuwanufaisha wananchi hususani  mwananchi mmoja mmoja katika maeneo yanayotekeleza miradi hiyo. Kamati hiyo imebainisha kuwa ni vyema maeneo yanayotekeleza miradi ya Biashara ya…

Rais Dk Samia atembelea chanzo cha Maji Machomwe, aweka jiwe la msingi Skuli ya Amali Kizimkazi

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Skuli ya Sekondari ya Amali Kizimkazi katika moja ya matukio kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi,…