JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bilioni 1.25 kuboresha huduma za afya Ulanga- Prof. Shemdoe

-Amshukuru Rais Samia kwa kuidhinisha fedha hizo. Na. OWM -TAMISEMI, Ulanga. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa…

Wananchi wapongeza mfumo wa NHIF wa kujihudumia kupitia simu janja

-Wasema unaongeza uwazi, ufanisi na kuokoa muda wa kupata huduma Na Grace Michael, Dar es Salaam Wananchi na wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) wamepongeza Mfumo wa Kujihudumia Binafsi (Self Service) unaowezesha wanachama kupata huduma mbalimbali…

Mbibo: Boresheni utoaji leseni za madini kupunguza migogoro

Dar es Salaam Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo, ameagiza Tume ya Madini kuboresha mfumo wa utoaji wa leseni za madini ili kuongeza ufanisi, kuimarisha uwazi na kupunguza migogoro katika shughuli za utafiti, uchimbaji na uchenjuaji wa…

Wanahabari watakiwa kujali tahadhari za kiusalama

Mwandishi wetu.Morogoro Waandishi wa habari na watangazaji wametakiwa kujali tahadhari za kiusalama wakati wakitekeleza majukumu yao,kwani hakuna habari yenye thamani zaidi ya maisha yao. Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari Tanzania(JOWUTA), Mussa Juma ameeleza hayo…

Prof. Kabudi ahamasisha wananchi kutembelea banda la ofisi ya Waziri Mkuu SABASABA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Watu Wenye Ulemavu), Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, amewahimiza Watanzania wanaotembelea Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutembelea Banda Jumuishi la Ofisi ya Waziri…

Kaimu meneja Mkuu TGDC atembelea banda la Wizara ya Nishati

Kaimu Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), Mha. Shakiru Idrissa Kajugus, ametembelea banda la Wizara ya Nishati katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (DITF) yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere,…