JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Katibu Tawala Tanga avutiwa na sayansi ya hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Katibu tawala wa Mkoa wa Tanga, Bw. Rashid Mchatta avutiwa na sayansi ya hali ya hewa, aliyasema hayo Tarehe 06 Agosti 2026 mara baada ya kupokea elimu ya hali ya hewa iliyokuwa inatolewa na wataalamu…

EWURA: Ukaguzi wa mifumo ya umeme kila baada ya miaka mitano unaweza kuzuia majanga ya moto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imewataka wananchi kujenga utamaduni wa kukagua mifumo ya umeme majumbani kila baada ya miaka mitano, ikisema hatua hiyo inaweza kubaini mapema hitilafu zinazoweza kusababisha moto,…

BPA: Tanzania yazidi kuwa kitovu cha usambazaji wa mafuta Afrika Mashariki na Kati

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema mfumo wa uagizaji wa mafuta kwa pamoja umeifanya Tanzania kuendelea kuwa kitovu muhimu cha usambazaji wa mafuta kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati, hatua inayochochea biashara…

Londo: FCC yazidi kuwa mhimili wa biashara shindani na ulinzi wa mlaji nchini

Na.Mwandishi Wetu Tume ya Ushindani (FCC) imetajwa kuwa mdau muhimu katika kuongeza thamani ya mazao ya Watanzania kupitia elimu ya ushindani wa haki na ulinzi wa mlaji, hatua inayowasaidia wazalishaji na wafanyabiashara kuboresha ubora wa bidhaa zao na kuzifanya zishindane…

TBS yasisitiza ubora wa bidhaa kuwa chachu ya biashara na ulinzi wa mlaji

Na Mwandishi Wetu SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limehimiza wajasiriamali kuchangamkia fursa ya kuthibitisha ubora wa bidhaa wanaozalisha bure kwa gharama za Serikali, hatua ambayo itawasaidia kuondokana na vikwazo vya kiabiashara. Mbali na wito huo kwa wajasiriamali, shirika hilo limewataka…

EWURA Kanda ya kati yatoa wito kuhusu leseni za mafundi umeme maonesho ya Nanenane

Na Mwandishi Wetu Meneja Kanda ya Kati wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Bi. Hawa Lweno, ametoa wito kwa mafundi umeme kutembelea banda la Mamlaka hiyo katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya John…