JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kagera wahimizwa kujiepusha chokochoko zinazoweza kusababisha uvunjifu wa amani

Na Theophilida Felician, JamhuriMedia, Kagera Katika kuelekea kufanyika zoezi la uchaguzi mkuu mnamo Oktoba 29, 2025 wananchi mkoani Kagera na kwingineko nchini wameaswa kutokujihusisha na mambo yenye viashiria vya uvunjifu wa amani ili kuepukana na vurugu zinazoweza kuhatarisha usalama nchini….

Katibu Chadema Mwanza ajiunga CCM

Aliyekuwa Katibu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Mwanza, Boniphace Mkoaba ameamua kukihama chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mkoba amepokelewa na Katibu Mkuu wa CCM, Dk Asha Rose Migiro mbele ya mgombea urais wa…

Samia alivyongarisha miradi yakimkakati Mwanza, mazuri yanakuja

Na Kulwa Karedia-Jamhuri Media-Mwanza MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mkoa wa Mwanza umepata Sh trilioni 5.6 kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo. Ametoa kauli hiyo wakati akihutubia maelfu ya wananchi kwenye uwanja…

Miradi ya kusambaza umeme vitongojini kukamilika ifikapo 2030

📌Huduma ya umeme kwenye vitongoji yafikia asilimia 58📌Majiko banifu 200,000 kuuzwa kwa ruzuku ya 80% hadi 85% Tanzania bara📌Mitungi ya gesi 452,455 ya kilo 6 kuuzwa kwa ruzuku ya 50%📌Mifumo 20,000 ya umeme jua kufungwa kwa wakazi maeneo ya visiwani📌Serikali…

Kihongosi : Msikubali vijana kuingizwa kuingizwa mkenge

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Kenani Kihongosi, ametoa wito kwa Vijana wote nchini kutokubali kuingizwa mkenge na baadhi ya watu wasio na uzalendo wa Taifa letu wala kujali utu wenye…