Author: Jamhuri
Rais Samia : Vijana msikubali kushawishiwa kuichoma nchi yenu
๐๐๐๐๐ฃ๐ ๐ฅ๐๐ฃ๐๐๐ฃ๐ ๐๐๐๐๐ ๐ก๐๐ฃ๐ช, l๐๐ฃ๐๐๐ฃ๐ ๐ฃ๐ ku๐๐ช๐ข๐๐จ๐๐ a๐ข๐๐ฃ๐ ๐ฎ๐ ๐ln๐๐๐ ๐ฎ๐๐ฉ๐ช. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป amewasihi Vijana kutokubali kushikiwa akili na kushawishiwa katika kuichoma na…
๐ฆerikali chini ya Rais Dk Samia kuanzisha wizara kamili ya vijana
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป amesema Serikali yake anayoiongoza ya awamu ya sita imedhamiria kuanzisha Wizara kamili itakayoshughulikia masuala yote yanayohusiana na Vijana. Akizungumza wakati akihutubia…
Rais Samia afungua Bunge la 13, aweka mkakati wa mapinduzi ya kilimo, kupitia kilimo cha umwagiliaji
๐Dodoma, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo amefungua rasmi Bunge la 13 jijini Dodoma, akitoa dira mpya ya Maendeleo ya Taifa na vipaumbe atakavyoanza navyo kupitia sekta za uzalishaji, hususan kuongeza uwekezaji katika…
Dhahabu yenye thamani ya trilioni 8.8 yachimbwa Mara
๐ธMafanikio Makubwa ya Sekta ya Madini chini ya Serikali ya Awamu ya Sita Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara MKOA wa Mara umeweka rekodi mpya katika uzalishaji wa madini baada ya kuzalisha dhahabu yenye uzito wa tani 67.41, ikiwa na thamani…





