JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mzee Mwakilembe, Mast wainua shaba, Chunya yaongoza mageuzi

Zaidi ya Tani 810 zimezalishwa hadi sasa zenye thamani ya Bilioni 10.5, Serikali Yapokea Mil 594 Asema kuanzishwa Kiwanda Chunya, Waziri Mavunde na Uongozi wa Wizara walipambana Aiomba STAMICO kuzishawishi Taasisi za Fedha kuwakopesha wachimbaji kupitia Leseni Na Mwandishi Wetu,…

Mwenge waangaza miradi ya bilioni 30/-

Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya Mwenge wa Uhuru unepokelewa kwa shamrashamra kubwa mkoani hapa, huku ukiiangalia miradi ya shilingi Bilioni 30 za Kitanzania. Mwenge huo ulipokelewa leo Oktoba 13, 2025 katika Viwanja vya Hasanga, Uyole Mbeya, ukitokea Wilaya ya Rungwe,…

Tanzania yashiriki Kongamano la Afya Duniani jijini Berlin

Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Bw. Ismail Rumatila unashiriki Kongamano la Afya la Dunia linalofanyika kwa siku tatu jijini Berlin, Ujerumani kuanzia Oktoba 12 hadi 14, 2025. Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani. Mhe….

Shirima : Jamii ichukue tahadhari kabla ya majanga

Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMedia, Pwani Kwa lengo la kuielimisha jamii juu ya tahadhari dhidi ya majanga na namna ya kuyapunguza, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoa wa Pwani limeungana na Shirika la Msalaba Mwekundu kuadhimisha Siku ya Kupunguza Majanga Duniani,…

DC Temeke Sixtus Mapunda afungua kongamano la miaka 25 ya Pass Trust

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri lMedia,Dar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sixtus Mapunda ameipongeza Serikali kwa Miaka minne ameongeza bajeti ya kilimo kwa viwango kikubwa hadi kufikia Tsh 1.2 Trilion licha ya Kuwepo kwa Changamoto kubwaa ya uzalishaji pamoja na…