Author: Jamhuri
NMB yatoa bilioi 12.4 kwa wafanyabiashara 6,011
………………………………….. Jumla ya Sh12.4 bilioni zimeshatolewa na Benki ya NMB kwa zaidi ya wafanyabiashara 6,011 ambapo wanufaika wamepewa Elimu ya fedha na uongozi. Takwimu hizo zimetolewa na Meneja Mwandamizi idara ya Biashara za Serikali Amanda Feruzi kwenye mkutano wa Jumuiya…
Mfumo wa kidijitali wa elimu waamsha matumaini kufikia Dira ya Maendeleo 2050
Mkurugenzi wa Idara ya Sayansi, Teknolojia na Ubunifu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Ladislaus Mnyone, amesema matumizi ya teknolojia katika sekta ya elimu ni nguzo muhimu ya kuiwezesha Tanzania kufikia malengo ya Dira ya Maendeleo 2050. Prof. Mnyone…
Rais Samia azungumza na mkuu wa WHO Kanda ya Afrika Prof. Janabi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kizungumza na Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika Profesa Mohamed Janabi, tarehe 27 Februari, 2026 Ikulu, Jijini Dar es Salaa.
Jafo aendeleza Kampeni ya ‘Kila Mtu Atibiwe Kwao’ Kisarawe
Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo, ameendelea kuonesha dhamira yake ya kuboresha huduma za afya kwa wananchi kupitia kampeni yake ya “Kila Mtu Atibiwe Kwao”, inayolenga kuhakikisha kila kijiji kinapata zahanati. Leo, akiwa katika zoezi la kushukuru wananchi…
TRA yaja na utaratihu mpya wa ukusanyaji kodi bandari ya Bagamoyo
Na Mwamvia Mwinyi, JamhiriMedia, Pwano MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Pwani inakuja na utaratibu mpya kwa wafanyabiashara wa mafuta katika Bandari ya Bagamoyo wanaosafirisha bidhaa hiyo kutoka Zanzibar, hatua itakayoanza kutekelezwa kuanzia Machi, 2026 kwa lengo la kuboresha ukusanyaji…





