Author: Jamhuri
Mamia Kilimanjaro wajitokeza kupata vipimo na matibabu bila kumeza dawa wala sindano
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Mamia ya wakazi wa mkoa wa Kilimanjaro wenye changamoto za kiafya leo wamejitokeza kupata elimu, kufanyiwa vipimo na baadhi kuanza kupata tiba bila kumeza vidonge wala kuchomwa sindano. Tiba hiyo, imetolewa katika eneo la Bomang’ombe…
REA yasaini mikataba ya trilioni 1.2 ya kusambaza umeme katika vitongoji 9,009
📌Wakandarasi wazawa wapewa kipaumbele 📌Wakandarasi watakiwa kufanya kazi kwa weledi, ubora na kasi 📌Watakiwa kuepukana na vitendo vya rushwa 📌Wahimizwa kufuata Sheria, Kanuni na Taratibu za Nchi 📍Dodoma Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba 30 yenye thamani…
Watumishi wapya wa Ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa
Na Mwandishi wa OMH, Kibaha, Pwani Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), imeendesha mafunzo ya siku nne kwa watumishi wapya 20 walioajiriwa katika ofisi hiyo, kwa lengo la kuwajengea uwezo…
Rais Mwinyi awahimiza waumini kuendelea kuitafuta elimu kujijengea heshima ndani ya jamii
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza Waumini wa Dini ya Kiislamu kutenda mambo mema ili kutajwa kwa wema ndani ya jamii pale wanapotangulia mbele ya haki. Amesema hayo leo aliposhiriki Ibada…
Wawekezaji wa ndani wapewa elimu ya kuchangamkia fursa za uwekezaji nchini
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Serikali imesema imejipanga kutoa elimu maalumu kwa Watanzania kuhusu fursa za uwekezaji ili kuongeza idadi ya miradi inayomilikiwa na wazawa na kupunguza utegemezi kwa wawekezaji wa nje. Kauli hiyo imetolewa Leo January 16,2026 jijini Dar…
Kituo cha kupoza umeme Mtera kuboresha upatikanaji wa umeme Iringa na Dodoma
📌Sweden, Norway wapongezwa kuwezesha utekelezaji wa mradi huo 📌Kituo kimejengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 9.2 📌Kituo kinauwezo wa kutoa jumla ya megawati 18 📌Kamati ya Bunge ya Nishati waipongeza REA kwa utekelezaji wa miradi ya nishati vijijini kikiwemo kituo…





