Author: Jamhuri
Baja : Hospitali Benjamin Mkapa yashika nafasi ya kwanza kwa ubora wa utoaji huduma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Kaimu Mkugenzi wa Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dkt. Abdallah Baja, amesema kuwa hospitali hiyo ni kituo muhimu cha mafunzo kwa wanafunzi wa fani mbalimbali za afya kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na vyuo vingine…
DC Temeke awataka wadau kushirikiana na FCC mapambano bidhaa bandia
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, ameitaka jamii na wadaumbalimbali kushirikiana na Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) katikamapambano dhidi ya bidhaa bandia ili kulinda afya za wananchi nauchumi wa taifa. Mapunda alitoa wito huo wakati…
Waziri Sangu awataka waajiri Kutumia fursa ya msamaha wa tozo wa NSSF
Dar es Salaam Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amewataka waajiri nchini kutumia kikamilifu fursa ya msamaha wa tozo uliotolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kulipa…
Kapinga atembelea kiwanda cha Mainland Group, apongeza juhudi za uongezaji thamani
Serikali itaendelea kushirikiana kwa karibu na wawekezaji wa sekta ya viwanda ili kutatua changamoto zinazokwamisha uzalishaji na kuweka mazingira bora yatakayochochea ukuaji wa uchumi wa viwanda nchini. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe.Judith Kapinga mara baada…
Salome Makamba afunga maonyesho ya Nishati Expo 2026
📌Apongeza juhudi za REA kusambaza Nishati Safi ya kupikia vijijini 📍Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba leo tarehe 25 Juni, 2026 amefunga rasmi Maonesho na Kongamano la Nishati Safi Expo 2026 yaliyofanyika katika ukumbi wa EACLC…
Wawili wakamatwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo
Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Kuzuia Wizi wa Mifugo (STPU), kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa wawili waliokuwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nchi jirani kwa njia ya magendo. Akitoa taarifa hiyo , Kamanda wa…





