JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mbabe wa ulanguzi wa dawa za kulevya nchini Mexico auawa

MEXICO imethibitisha kuwa wanajeshi wamemuua mbabe wa ulanguzi wa dawa za kulevya ambaye alikuwa mmoja wa watu wanaosakwa sana nchini humo na Marekani. Nemesio Oseguera “El Mencho, alikuwa na umri wa miaka 59. Jeshi limesema Nemesio Oseguera, kiongozi mwenye umri…

Jeshi la Polisi linafuatilia kwa karibu watu wanaojiita TFF, latoa onyo

Jeshi la Polisi linapenda kujulisha kuwa, linaendelea kutekeleza majukumu yake ya msingi kama yalivyoainishwa na Sheria za nchi. Utekelezaji huo unakwenda sambamba na kushirikiana na wananchi katika kubaini, kuzuia na kutanzua uhalifu jambo ambalo limepelekea nchi yetu kuendelea kuwa shwari….

RUWASA na TANESCO wanatupa usingizi Simanjiro

Na Mwandishi wetu, Simanjiro MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wamewapongeza mamlaka ya maji na usafi wa mazingira vijijini (RUWASA) na shirika la ugavi wa nishati ya umeme (TANESCO) kwa utendaji kazi wao kwani unawapa usingizi. Hata…

Ujenzi kiwanda cha kuchakata pamba SIMCU (2018) LTD wafikia asilimia 75

Naibu Mrajis – Uhamasishaji, Consolata Kiluma, amekipongeza chama kikuu cha Ushirika SIMCU (2018) LTD, kwa usimamizi wa ujenzi wa ujenzi na ukarabati wa kiwanda cha kuchakata pamba kilichopo wilayani Maswa mkoa wa Simiyu ambacho kinatarajiwa kuanza kazi musimu huu wa…

Dk Mwigulu apanda mti wa mchungwa Kilimanjaro

WAZIRI Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 22, 2026 amepanda mti aina ya Mchungwa katika eneo la Rest House ya Polisi mkoani Kilimanjaro.  Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amemaliza ziara yake ya kikazi mkoani Kilimanjaro jana Februari 21, 2026.

Franone wajenga zahanati migodi ya Tanzanite

Na Mwandishi wetu, JahuriMedia, Mirerani KAMPUNI ya Franone Mining LTD, inajenga zahanati ndani ya ukuta unaozunguka migodi ya madini ya Tanzanite mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, hivyo wachimbaji kuondokana na changamoto ya huduma za afya.. Mkuu wa…