JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania ipo tayari kuelekea AFCON 2027

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Tanzania ipo tayari kwa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) ikiwa mwenyeji kwa kushirikiana na Kenya na Uganda ambapo maandalizi yamefikia hatua nzuri kwa kuzingatia viwango vya Shirikisho la Mpira wa Miguu…

JET highlights critical role of CSOs in combating desrtification ahead of UNCCD COP17

Dodoma, Tanzania The Executive Director of the Journalists’ Environmental Association of Tanzania (JET), John Chikomo, has underscored the pivotal role of civil society organizations (CSOs) in combating desertification and land degradation, saying their contribution is essential to achieving Tanzania’s environmental…

Tanzanite yang’aa Sabasaba wananchi wavutiwa na upekee wake

Waiomba Serikali kuendelea kutoa elimu kuhusu madini na fursa za uwekezaji 📍DAR ES SALAAM Madini ya Tanzanite yameendelea kuwa kivutio kikubwa katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), huku mamia ya wananchi wakifurika katika…

WRRB, Misri wajadili ushirikiano wa kibiashara kupitia mfumo wa stakabadhi ghala

Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Bw. Asangye Bangu, amekutana na kufanya mazungumzo na Afisa Biashara kutoka Ubalozi wa Misri nchini Tanzania, Bw. Wael Aref, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kibiashara kupitia Mfumo wa Stakabadhi…

Waziri Sangu : Taasisi za dini ni nguzo ya amani, malezi bora

Na: OWM (KAM), Manyoni – Singida Serikali imesema inatambua mchango mkubwa wa taasisi za dini katika kuimarisha huduma za kijamii, kudumisha amani na kukuza maadili nchini, huku ikizitaka viongozi wa dini kuendelea kushirikiana na Serikali katika kukuza malezi bora kwa…

Tanzania kung’ara kimataifa mkutano wa COP 12

â—ŹCOP 12 kufanyika Dar es Salaam Oktoba 6-9 Na Mwandishi Wetu Tanzania imechaguliwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 12 wa Nchi Wanachama wa Mkataba wa Nairobi (COP12), utakaofanyika kuanzia tarehe 6 hadi 9 Oktoba 2026. Mkutano huo utafanyika katika Kituo…