JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TBS yaandaa kliniki ya viwango Kariakoo na Mwenge

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeandaa kliniki ya viwango katika maeneo ya Soko Kuu la Biashara Kariakoo na Mwenge jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kusogeza huduma za kitaalamu karibu na wafanyabiashara wa bidhaa za chakula na vipodozi ili…

Wananchi wawezeshwa ushiriki biashara ya Kaboni

Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi ili kuhakikisha wananchi wananufaika na Biashara ya Kaboni kupitia misitu ikiwemo mikoko wanayopanda katika maeneo ya pwani. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Reuben Kwagilwa ameliarifu Bunge jijini Dodoma…

Bilioni kulipa fidia kwa waathirika 996 kupisha ujenzi wa barabara za lami Rungwa

Ruangwa, Lindi Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetenga kiasi cha shilingi bilioni 1.8 kwa kwa ajili ya kuwalipa fidia wananchi 996 ambao maeneo yao yameathiriwa na mradi wa ujenzi…

VETA kuendelea kugharamia ada wanafunzi wenye ulemavu

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imesema itaendelea kugharamia ada kwa wanafunzi wenye ulemavu wanaojiunga na vyuo vyake nchini, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha kundi hilo linapata fursa sawa ya…

Mfuko wa Taifa wa Maji watakiwa kutafuta vyanzo mbadala vya fedha

Mfuko wa Taifa wa Maji (NWF) umetakiwa kutumia ubunifu kupata vyanzo mbadala vya fedha kufanikisha utekelezaji wa miradi ya maji nchini. Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) katika kikao kazi na watumishi wa NWF jijini Dodoma leo Septemba 4,…

Wananchi waiomba TARURA, TANROADS kuchukua hatua kwa kuboresha miundombinu korofi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Wananchi mkoani Ruvuma wameiomba serikali kupitia Wakala wa Barabara vijijini na Mijini (TARURA) na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuona umuhimu wa kuchukua hatua za kuboresha miundombinu ya barabara ikiwa ni pamoja na kusafisha mifereji…