JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Mkumbo afurahishwa na ubunifu wa wanafunzi Chuo cha St Joseph

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji), Profesa Kitila Mkumbo amepongeza ubunifu ulioonyeshwa na wanafunzi wa Chuo cha St Joseph cha jijini Dar es Salaam, ambao ukiendelezwa utatatua changamoto nyingi zinazoikabili…

GGML yarejesha matumaini kwa watoto 300

*Yatoa bilioni 1.2 kutibu watoto wagonjwa wa moyo Na Mwandishi Wetu, Geita GEITA Gold Mining Limited (GGML) imetenga takribani Sh bilioni 1.2 kwa kipindi cha miaka mitatu kusaidia matibabu ya watoto 300 wenye magonjwa ya moyo nchini, ikiwa ni sehemu…

TOL Gases yaweka wazi uwezo wa Tanzania kuzalisha oksijeni ya tiba

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imeombwa kuzipa kipaumbele kampuni binafsi zenye uwezo wa kuzalisha oksijeni ya tiba kwa ajili ya matumizi hospitalini, badala ya kuwekeza zaidi katika uzalishaji wake, ili kutumia kikamilifu uwezo uliopo nchini. Ombi hilo limetolewa jijini Dar es…

Hemed: CRDB Marathon yaendelea kuokoa maisha ya Watanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, ameongoza Mbio za Hisani za CRDB Bank International Marathon zilizofanyika katika Viwanja vya Posta Kijitonyama, Dar es Salaam, kwa lengo la kusaidia…

Dawasa yawasisitizia wanawake nafasi yao katika ulinzi wa huduma za maji

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imewakumbusha Jamii juu ya umuhimu wa kulinda miundonbinu ya Maji ili kujenga jumuiya inayothamini huduma ya Maji kwa vizazi vya sasa na vizazi vijavyo. Hayo yamesemwa kwenye tukio la…

Tanzania yalenga kuwa kinara kimataifa katika uhifadhi wa mazingira

Na Benny Mwaipaja, Kizimkazi-Zanzibar Safari ya mageuzi ya kiuchumi kuelekea Dira ya Taifa 2050 imeanza kushika kasi, huku mijadala kuhusu vichocheo vya uchumi ikiendelea kupewa uzito mkubwa nchini. Miongoni mwa matukio yaliyoibua mjadala huo ni Tamasha la Kizimkazi 2026, lililofanyika…