Author: Jamhuri
Salome aibana Kampuni ya Dongfang kwa kasi isiyoridhisha mradi wa umeme Malagarasi
📌Atoa maelekezo mahsusi kwa Mkandarasi na Wasimamizi wa mradi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe.Salome Makamba leo amekagua utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa Malagarasi (MW 49.5) unaotekelezwa katika Wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma ambapo…
Vijana Mwanza walamba mabilioni, Waziri Nanauka akabidhi bilioni 7/-
*Vijana waapa kuonyesha maajabu*Watoa kongole kwa Rais Samia Na Byarugaba Innocent OR-MV, Mwanza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Mhe.Joel Arthur Nanauka leo Machi 7, 2026 amezindua program ya Jenga Kesho iliyobora (BBT) upande wa uvuvi kwa…
Wananchi zaidi ya 13,000 wanufaika na Samia Ardhi Kliniki nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo amesema jumla ya wananchi 13,550 wamejitokeza kupata huduma mbalimbali za sekta ya ardhi kupitia Samia Ardhi Kliniki iliyofanyika katika mikoa yote 26 nchini….
Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani; TRA yakabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya milioni 40
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KUELEKEA maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yanayoadhimishwa kila mwaka Machi 8, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya shilingi milioni 40 kwa ajili ya kusaidia utoaji wa huduma…
SADC yahimiza mtangamano wenye matokeo chanya katika kikanda
Mkutano wa Kamati ya Makatibu Wakuu wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza jijini Pretoria, Afrika Kusini Machi 07, 2026, chini ya Uenyekiti wa Balozi Tebogo Seokolo ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uhusiano wa Kimataifa…





