Author: Jamhuri
Vifaru vya Israel vyaingia katika eneo kubwa la makazi la Gaza
Wakazi wa eneo la Gaza na mashuhuda wanasema makumi ya vifaru na magari ya kijeshi ya Israel yameingia katika wilaya kubwa ya makazi ya mji wa Gaza, katika siku ya pili ya mashambulizi ya ardhini ya Israel yenye lengo la…
Mgombea urais AAFP aahidi kuwachapa viboko wanaokula rushwa, aahidi kuwepo kwa uzalendo
Mgombea Urais kupitia cha cha wakulima AAFP Kunje Ngombalemwilu amesema pindi atakapopata ridhaa ya kuongoza nchi atahakikisha anajenga madarasa kwa ajili ya kufundisha uzalendo na maadili ambapo elimu hiyo itatolewa na wastaafu nchini. Hayo ameyasema leo jijini Dar es Salaam…
Dk Migiro asema mafanikio ya Samia,Dk Mwinyi yamengwa na 4R
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media,Zanzibar Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Asha-Rose Migiro, amesema mafanikio ya Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi, yamejengwa juu ya misingi imara ya falsafa ya R4, ambayo…
Samia atema cheche Zbar
Na Kulwa Karedia,JamhuriMedia-Zanzibar Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Samia Suluhu Hassan amesema muungano wa Tanngayika na Zanzibar umeimarika zaidi tofauti na miaka yote. Amesema Muungano huo sasa na udugu wa damu, huku akiwanyo wale wote ambao wamejipanga…
Mgombea ubunge ACT Kawe awafariji waathirika wa moto soko la Kawe
Na Mwandishi Wetu Mgombea ubunge wa Jimbo la Kawe kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Glory Tausi Shayo, ametembelea Soko la Kawe kufuatia tukio la moto mkubwa ulioteketeza bidhaa na mali za wafanyabiashara wengi wa soko hilo. Katika ziara hiyo iliyofanyika…