Author: Jamhuri
CRDB yazindua huduma ya kidijitali ya ‘Tokenization’ kurahisisha upokeaji wa fedha bila akaunti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imezindua rasmi huduma mpya ya kidijitali inayojulikana kama Tokenization, itakayowawezesha Watanzania wakiwemo wale wasiokuwa na akaunti ya benki kupokea fedha kutoka kwa mawakala wa CRDB bila kutozwa gharama ya ziada….
Wachimbaji madini zaidi ya 250 wamuhakikishia Dk Samia kumpa kura
Rais wa Wachimbaji Madini, John Bina, amesema kuwa wachimbaji zaidi ya 250 wamemhakikishia kuwa watamchagua Oktoba 29 kwa sababu amewaheshimu. Aidha, amebainisha kuwa hapo zamani familia zilikuwa na hofu kwamba kijana akiwa mchimba madini anapotea. Ameyasema hayo Oktoba 13, 2025,…
Ulinzi waimarishwa kilele cha mbio za mwenge kitaifa Mbeya
Oktoba 7, 2025 Mwenge wa Uhuru uliingia katika Mkoa wa Mbeya ukitokea katika Mkoa wa Songwe ambapo mapokezi yalifanyika katika mazingira ya usalama wa hali ya juu kutokana na ushirikiano tulioupata kutoka kwa wananchi wa Jiji letu la Mbeya. Hadi…
SAU kushughulikia changamoto ya maji ikishinda uchaguzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanzaย Mgombea kiti cha Urais kupitia chama cha Sauti ya Umma(SAU),Majalio Kyara,amesema endapo chama hicho kitashika dola katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,mwaka huu,jambo la kwanza atahakikisha kila mtanzania anafikiwa na maji na huduma hiyo…
Dhamira ya Dk Samia ni kuiua utu wa kila Mtanzania- Dk Migiro
๐๐๐ฃ๐๐ฃ๐๐๐ ๐ฌ๐ ๐๐ฎ๐๐ฌ๐๐ก๐๐ข๐๐ก๐ฌ๐ ๐๐๐ข๐๐ค๐ฃ๐ ๐๐๐๐ฉ๐ ๐ฌ๐๐ข๐๐ข๐ฅ๐ค๐ ๐๐ ๐ ๐ฌ๐ ๐จ๐๐๐ฃ๐๐ฌ๐. ๐ผ๐ฉ๐ค๐ ๐จ๐๐ก๐๐ข๐ช ๐ฏ๐ ๐ช๐ฅ๐๐ฃ๐๐ค ๐ฃ๐ ๐ช๐๐๐ค ๐ฌ๐ ๐ฟ๐ ๐ฉ. ๐๐๐ข๐๐. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, amewasili na kupokelewa na Viongozi mbalimbali wa Chama na Jumuiya, Viongozi mbalimbali…
Kwenye suala la kutafuta hatucheki na yeyote, ilani, sera na ahadi zinajitosheleza
Na ili kuthibitisha kuwa Ilani yetu (2025/30), sera zetu na ahadi zetu zimegusa matakwa na matarajio ya watanzania, ndiyo maana unaona nyomi kama hizi zimekuwa kila pahala ambapo Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia…