JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri Ndejembi akabidhiwa ofisi na aliyekuwa Waziri wa Nishati Dk Biteko

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi leo 20 Novemba, 2025 amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Doto Mashaka Biteko kwenye ofisi za Wizara zilizoko mtumba mkoani Dodoma, na kumshukuru Mhe. Biteko kwa…

Rais Samia azindua Tume Huru ya Uchunguzi uvunjifu wa amani Oktoba 29

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, katika hafla iliyofanyika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma…

BoT yaongeza msukumo kwenye urasimishaji wa huduma ndogo za fedha

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeendelea kuhimiza urasimishaji wa vikundi vya huduma ndogo za fedha (VICOBA) kama njia ya kuhakikisha usalama wa fedha na uwazi wa shughuli za vikundi. Wataalamu wa benki hiyo wameeleza kuwa urasimishaji unaweza…

CAF yamtunuku Dk Samia tuzo kwa mchango wake sekta ya michezo

Shiriko la Soka barani Afrika (CAF), limemtunuku Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan tuzo ya heshima kutokana na mchango mkubwa kwenye maandalizi ya uenyeji wa michuano ya CHAN 2024. Pamoja na Rais Samia, tuzo hiyo pia amekabidhiwa Rais wa Kenya,…

CRDB Al Barakah Sukuk yavutia zaidi ya wawekezaji 1,000 kukusanya shilingi bilioni 125.4 na dola milioni 32.3

*Ni mafanikio ya asilimia 646 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Benki ya CRDB imetangaza mafanikio ya kihistoria pamoja na kuiorodhesha rasmi hatifungani yake inayofuata misingi ya sharia ya dini ya Kiislamu ‘CRDB Al Barakah Sukuk’ katika Soko la Hisa…