Author: Jamhuri
Naibu Waziri aipongeza CBE kwa machapisho 148 ya kitaaluma
Na Mwandishi Wetu ,JamhuriMedia, Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kwa mageuzi makubwa yaliyofanyika chuoni hapo na amekitaka pia kuweka mipango ya kusaidia wajasiriamali wadogo na wakati kurasimisha…
Waziri Mkuu akagua mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta
Aonya wageni wanaoanzisha makampuni kwa kutumia kivuli cha wazawa WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Jumatatu (Februari 16, 2026) amekagua mradi wa bomba la mafuta ghafi kutoka Hoima (Uganda) hadi Chongoleani mkoani Tanga na amesema kuwa amefurahishwa na utekelezaji wake….
Kocha Gamondi rasmi kuinoa Stars
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda, ameweka wazi kuwa, Kocha Miguel Gamondi amesaini rasmi mkataba wa miaka miwili wa kuifundisha timu ya Taifa ya soka ya Tanzania (Taifa Stars). Waziri Makonda amesema hayo wakati akizungumza na…
Daraja la mto Pangani ni kichocheo cha uchumi – Dk Mwigulu
*Asema ameridhishwa na kiwango cha uwekezaji kilichofanywa na Rais Dkt. Samia kwenye daraja hilo_ WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa mradi wa ujenzi wa daraja la Pangani na barabara unganishi utasaidia kukuza shughuli za kiuchumi kwa wananchi wa maeneo…
Waziri Mkuu aridhishwa ujenzi daraja la Pangani
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba ameridhishwa na kasi ya ujenzi wadaraja la Pangani lenye urefu wa mita 525 ambalo ujenzi wake umefikia asilimia 64. Akizungumza alipokagua daraja hilo katika ziara yake inayoendelea mkoani Tanga…
JAB yajipanga kuendelea kutoa mafunzo kwa waandishi, wamiliki wa vyombo vya habari
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imejipanga kuendelea kutoa mafunzo kwa waandishi wa habari pamoja na wamiliki wa vyombo vya habari ili kuongeza uelewa wa sheria, maadili ya taaluma na umuhimu wa ithibati katika utendaji kazi wa kila…





