Author: Jamhuri
Uzinduzi kituo kipya cha mafuta cha Orxy Karatu waongeza fursa za ajira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uzinduzi wa kituo kipya cha mafuta cha Orxy wilayani Karatu umeelezwa kuwa hatua muhimu ya kuongeza fursa za ajira, kurahisisha upatikanaji wa nishati kwa wasafirishaji na kuchochea shughuli za kiuchumi katika eneo linalotajwa…
TBS yatakiwa kushirikiana na TRA kuondoa kero za mifumo ya vibali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga (Mb), ameliagiza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kushirikiana kikamilifu na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na Taasisi nyingine husika katika kushughulikia na kuondoa kero…
Serikali yakabidhiwa mitambo kukabili uharibifu tabaka la Ozon
Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Baraka Luvanda amepokea mitambo mitatu ya utambuzi wa kemikali zinazotumika kwenye viyoyozi na majokofu pamoja na mitambo ya kusafisha kusafisha kemikali hizo na kuzichakata kwa ajili ya matumizi bila kutegemea…
Serikali, wadau waendelea kuimarisha huduma za mama na mtoto kufikia malengo ya kimataifa
Na Hassan Kimweri, WAF – Dar es Salaam Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amesema Serikali itaendelea kuhakikisha kila mama na mtoto mchanga wanapata huduma bora, salama na zenye viwango kupitia uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya nchini na…
Bingwa wa dunia wa masumbwi Crawford kuitangaza Serengeti kimataifa
Na Hance Mbena, Serengeti Katika muendelezo wa kuitangaza Tanzania duniani kupitia utalii wa michezo, leo Mei 28, 2026, bingwa wa masumbwi duniani, Terence “Bud” Crawford, amekabidhiwa rasmi ubalozi wa utalii baada ya kukutana na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt….
Dk Nchimbi awasili Chato kumwakilisha Rais mazishi ya bi Suzana Magufuli
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili Chato Mkoani Geita, ambapo anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Marehemu Bi. Suzana Magufuli…





