Author: Jamhuri
Vijana 521 waondoka kwa ajira nje ya, 45 waenda Ulaya
Na OWM-KAM, Dar es Salaam Serikali imeendelea kufungua na kuimarisha njia salama za uhamiaji wa nguvu kazi kwa kushirikiana na nchi rafiki pamoja na taasisi za kikanda na kimataifa, ikiwa ni juhudi za kuhakikisha Watanzania wanapata ajira zenye staha, kulindwa…
Tanzania na Israel zaimarisha ushirikiano katika sekta za kilimo na afya
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema Israel imekuwa mshirika muhimu katika sekta mbalimbali nchini, ikiwemo kilimo, afya, ulinzi na usalama, hali inayochangia kuimarika kwa ushirikiano wa muda mrefu kati ya nchi hizo mbili. Waziri wa Mambo ya Nje…
Waandishi wa habari wakamatwa kwa amri ya DC Arusha
Mwandishi Wetu,Karatu Watangazaji wawili wa kituo cha Lumeni Radio cha Karatu, Mkoa Arusha,Nobert Hongoli na Wolter John Mbaga (Mhariri) wamekamatwa na kuwekwa rumande kwa amri ya mkuu wilaya hiyo Lameck Karanga. Watangazaji hao wamekamatwa leo Machi 27,2026 asubuhi baada ya…
Lukuvi aagwa Dodoma, aacha kumbukumbu ya uongozi imara
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Vangimembe Lukuvi, umeagwa leo katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, huku viongozi na wananchi wakimwelezea kama nguzo muhimu ya uongozi…
Wasira awatolea uvivu walioanza mbio za urais
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewaonya wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030 kwa kuwa muda wa kufanya hivyo bado haujawadia, hivyo wanaofanya hivyo wanakiuka kanuni, miongozo na utaratibu. Amesema kuanza mapema harakati…
Serikali yachochea elimu ya ufundi, walimu 150 wapelekwa India kwa mafunzo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imeandika ukurasa mpya katika historia ya elimu ya ufundi kwa kupeleka walimu 150 wa Amali za Kihandisi nchini India. Hatua hii kubwa ya kimkakati siyo tu safari ya mafunzo, bali ni uwekezaji…





