Author: Jamhuri
Wafanyakazi ,madereva Bolt wakutana katika chakula cha mfungo wa Kwaresima
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMPUNI inayoongoza kwa huduma za usafiri mtandaoni nchini, Bolt Tanzania, imeandaa futari na chakula cha mfungo wa Kwaresima kwa zaidi ya madereva washirika 100 katika ukumbi wa Masaki Wellspring Hub, ikiwa ni hatua…
Hospitali ya Rufaa Mbeya yanufaika na msaada wa FCC
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya TUME ya Ushindani (FCC) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imeadhimisha Wiki ya Haki za Mlaji Duniani kwa kutoa msaada wa vifaa tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, ikiwa ni sehemu ya kuunga…
Dkt Mwigulu: Lipeni kabla ya kutwaa maeneo ya wananchi
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameziagiza Wizara za Kisekta, Taasisi na Mamlaka za Serika za Mitaa zihakikishe zinalipa fidia kwa wananchi wanaopisha maeneo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Serikali kabla ya kutwaliwa kwa maeneo yao kwa kuzingatia taratibu…
Yapitisha maazimio 15 kuendeleza matumizi ya AI na kuhamasisha ubunifu
Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kupitia Kamisheni ya Sayansi na Teknolojia ya Jumuiya hiyo (EASTECO), kwa kushirikiana na Baraza la Vyuo Vikuu la Afrika Mashariki (IUCEA) na wadau wa maendeleo, imetoa motisha ya kifedha kwa vijana wabunifu kama njia mojawapo…
LATRA yaonya upandishaji nauli, yaitisha kikao cha wadau haraka
Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Kibaha WAKATI bei ya mafuta ikipanda zaidi kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA), umewasihi wasafirishaji na wamiliki wa vyombo vya usafiri kutopandisha nauli. Mbali ya kuwasihi hivyo,…





