Author: Jamhuri
JKCI yawapima watu 314 magonjwa ya moyo Njombe, 37 wapewa rufaa ya kibingwa
Jumla ya watu 314 wamepata huduma za uchunguzi wa magonjwa ya moyo katika Kikao Kazi cha 21 cha Maafisa Habari, Mawasiliano, Itifaki na Uhusiano Serikalini kilichomalizika hivi karibuni mjini Njombe ambacho kiliandaliwa na Idara ya Habari – Maelezo. Huduma hizo…
Viongozi Afrika na Ufaransa wajadili uwekezaji na maendeleo
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Mei 11, 2026 ameshiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa Ushirikiano kati ya Afrika na Ufaransa (Africa Forward: Africa–France Partnership for Innovation and Growth Summit) unaofanyika jijini Nairobi, Kenya. Mkutano huo umewakutanisha Wakuu wa Nchi…
Serikali Awamu ya Sita imetatua hoja 15 za muungano
Serikali ya Awamu ya Sita katika kipindi cha kwanza imetatua na kupatia ufumbuzi jumla ya hoja 15 kati ya hoja 18 za Muungano na kuondolewa kwenye orodha ya hoja za Muungano zilizokuwepo.Hatua hiyo imeonesha dhamira ya dhati katika kuuenzi, kuulinda…
Jaji Masaju awang’ata sikio vijana nchini
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, George Masaju amewataka vijana nchini kutumia vipaji, ubunifu na maarifa waliyopewa ili kuchangia maendeleo ya taifa badala ya kusubiri kuajiriwa pekee. Jaji Masaju amesema hayo jijini Dar es…
Serikali yapongeza utekelezaji wa mradi wa EACOP
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Nishati, imeeleza kuridhishwa na hatua kubwa ya maendeleo zilizofikiwa katika ujenzi wa miundombinu ya mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP). Akizungumza wakati wa ziara ya…
Wizara yaahidi kutekeleza Mradi kwa Kukuza Usawa wa Kijinsi Tanzania- PAMOJA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto imeahidi kutekeleza ushauri uliyotolewa na Benki ya Dunia (World Bank) katika utekelezaji wa Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia Tanzania- PAMOJA unaotekelezwa na Wizara hiyo kwa…





