JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Balozi Omar, Mkurugenzi mpya wa Afriexim bank wateta Dar es Salaam

Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema Tanzania inaiona Benki ya Afrexim kama mshirika wa kimkakati katika safari ya mageuzi ya kiuchumi ya nchi, huku…

Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yaridhishwa na maendeleo ya uzalishaji umeme Kituo cha Julius Nyerere

⁹📌Yasema Kituo kinachangia asilimia 45 ya umeme katika Gridi ya Taifa. 📌Yasisitiza ukamilishaji wa miradi ya njia za kusafirisha umeme ili kuwafikia wananchi. Yawapongeza wananchi kwa kuchangia ujenzi wa Kituo hicho kupitia kodi zao. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya…

REA Zambia yahitimisha ziara yake nchini

📌Yapongeza Maendeleo ya Umeme Vijijini Viongozi wa Mamlaka ya Umeme Vijijini (REA) kutoka nchini Zambia leo Juni 29, 2026 wamehitimisha ziara yao ya Siku 9 ya kujifunza na kubadilishana ujuzi nchini kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali ikiwamo miradi ya kufikisha…

Ndoto za masomo nje zakaribia kutimia kwa wanafunzi wa kitanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NDOTO za vijana wa Tanzania wanaotarajia kujiunga na vyuo vikuu mbalimbali nje ya nchi kwa mwaka wa masomo 2026/2027 zimeingia hatua muhimu baada ya Global Education Link kuwakutanisha wanafunzi hao pamoja na wazazi…

CP Kaganda aongoza ujumbe wa Tanzania mkutano wa wenye dhamana ya uchukuzi

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Jamhuri ya Zimbabwe, Kamishna wa Polisi (CP) Suzan Kaganda, ameongoza ujumbe wa wataalamu kutoka Tanzania kushiriki Mkutano wa Mawaziri wenye dhamana ya Uchukuzi, Ujenzi, Mawasiliano na Hali ya Hewa wa Jumuiya ya…

Wananchi wenye mahitaji maalum Idodi wapatiwa viti mwendo

Mbunge wa Jimbo la Ismani, Mheshimiwa Emmanuela Mtatifikolo, ameendelea kutekeleza ahadi yake ya kuwagusa wananchi wa kila eneo kwa kugawa viti mwendo kwa watu wenye mahitaji maalum, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuboresha maisha yao na kuwawezesha kuendelea na…