Author: Jamhuri
Diamond : Usimamizi sheria ya huduma za habari unaimarisha uwekezaji kwenye sekta ya habari
Mkurugenzi Mtendaji wa Wasafi Media, Nasib Abdul maarufu Diamond Platnumz, amesema utekelezaji wa Sheria ya Huduma za Habari unaweka mazingira bora ya kukuza uwekezaji katika sekta ya habari kwa kuhakikisha vyombo vya habari vinaendeshwa kwa kuzingatia sheria, weledi na viwango…
Papa Leo XIV ampa Padre Vincent Mpwaji wadhifa wa askofu Msaidizi wa Dar es Salaam
Papa Leo XIV amemteua Padre Vincent Lawrence Mpwaji, kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu DSM. Pia amemteua kuwa Askofu wa heshima (Titular Bishop) wa jimbo la Tacarata huko Algeria. Kwa kawaida Maaskofu wasaidizi (Auxiliary Bishops) hupewa majimbo ya heshima (Titular…
TEA yapongezwa kwa kuwawezesha vijana kupata elimu ya amali
Na Emmanuel Mbatilo, Dar es Salaam MKURUGENZI wa Idara ya Elimu Mbadala na Elimu ya Watu Wazima Zanzibar, Mashavu Ahmada Fakih, ameipongeza Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwa mchango wake mkubwa katika kuimarisha sekta ya elimu nchini, huku akiwataka wadau…
TEA yawahimiza wadau wa maendeleo kuwekeza katika elimu ya amali
Na Emmanuel Mbatilo, Dar es Salaam Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imezitaka taasisi za maendeleo, sekta binafsi na wananchi wenye uwezo kujitokeza kuchangia Mfuko wa Taifa wa Elimu ili kuongeza rasilimali zitakazowezesha kuboresha miundombinu ya elimu na kuimarisha uwekezaji katika…
Sheria ina thamani pale inapobadilisha maisha ya watu – Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza S.Johari amesema kuwa, Sheria zinapaswa kutumika kama nyenzo ya kuharakisha maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa kufungua fursa, kuongeza uwajibikaji, kuvutia uwekezaji, kuongeza mapato ya Serikali, kuboresha elimu na afya. Mwanasheria Mkuu wa Serikali…
Tanzania Kinara wa Hifadhi ya Graphite Afrika, Mahitaji ya Lithium Yaendelea Kuongezeka Duniani
πDar es Salaam Mjiolojia kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Njombe, Abbas Mruma, amesema Tanzania inaendelea kujijengea nafasi muhimu duniani kutokana na kuwa na hifadhi kubwa ya madini muhimu ya kimkakati, yakiwemo graphite, lithium na rare earth…





