Author: Jamhuri
Waziri Mkuu afanya ziara ya kushtukiza Hospitali ya Mwananyamala
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefanya ziara ya kushtukiza leo Jumapili, Agosti 23, 2026, katika Hospitali ya rufaa ya Mkoa Mwananyamala, jijini Dar es Salaam, kukagua hali ya utoaji wa huduma kwa wananchi. Alipowasili hospitalini hapo, Dkt. Mwigulu ametembelea wodi…
Iran yatishia kushambulia nchi itakayoisaidia Marekani
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama la Iran, Mohsen Rezaei, amesema kwamba “nchi yoyote itakayoisaidia Marekani kutekeleza vikwazo vya kiuchumi dhidi ya nchi yetu inachukuliwa kuwa adui.” Rezaei aliongeza katika taarifa kwa televisheni ya taifa: “Tunaziarifu nchi jirani na nchi…
Dk Mwigulu : Tuendelee kuliombea taifa na kudumisha amani
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania kuendelea kuliombea Taifa na kudumisha amani, akisema amani ni msingi unaowezesha wananchi, taasisi za dini na Taifa kwa ujumla kutekeleza mipango mbalimbali ya maendeleo. Amesema dunia inaendelea kushuhudia mabadiliko na mitikisiko katika maeneo…
Mwenda atoa rai kwa watumishi kufanya mazoezi
Na Peter Haule, WF, Manyara Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu wa Wizara ya Fedha, Bw. Lusius Mwenda, ametoa rai kwa watumishi wa umma na wananchi kwa ujumla kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kuimarisha…
Askari wa TAWA wamdhibiti Simba aliyezua taharuki Mkarango
📍 Msako wa Simba Mwingine Waendelea Na Mwandishi Wetu, Lindi Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imefanikiwa kumdhibiti simba mmoja dume aliyekuwa akihusishwa na matukio ya kushambulia mifugo na kuzua taharuki katika Kitongoji cha Songea, Kijiji cha Mkarango, Wilaya…
TMDA yatakiwa kutoa adhabu kali
Na Dennisi Luambano, JamhuriMedia, Babati Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, ameitaka Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) kutoa adhabu kali kwa wanaoingiza dawa bandia, duni na zisizosajiliwa na iendelee kuwaelimisha wananchi kuhusu matumizi sahihi ya dawa na…





