Author: Jamhuri
TFS yatumia jogging kama sehemu ya kujiimarisha kiafya
WAFANYAKAZI wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Kanda ya Mashariki wamefanya mazoezi ya kukimbia umbali wa takribani kilomita saba katika eneo la Coco Beach jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya kujiweka katika hali nzuri ya kiafya…
Rais Samia awasili JNHPP
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi na viongozi wengine wakati alipowasili katika eneo la Mradi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP). Rais Samia atazindua rasmi…
Rais Samia kuzindua kituo cha kuzalisha umeme JNHPP, historia yaandikwa
Rais Samia kuzindua rasmi kituo cha kuzalisha umeme cha JNHPP Agosti 22 Uzinduzi huo unaashiria hatua kubwa katika safari ya Tanzania ya kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika, kuchochea shughuli za uzalishaji na kuimarisha uchumi wa Taifa. Tayari mitambo yote…
Kamati ya Bunge yaishauri Serikali kuongeza ruzuku kwa TBA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeiomba Serikali kuongeza ruzuku kwa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), ili kuwezesha kuongeza kasi ya ujenzi wa nyumba za makazi ya watumishi wa umma nchini. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo,…
Waziri wa Fedha aishukuru IMF kwa mchango wake
Na. Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, amelishukuru Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa mchango wake kwa Tanzania tangu kuanza kwa ushirikiano kati yake na Shirika hilo, akieleza kuwa ushirikiano huo umeendelea kuwa…
Prof. Shemdoe awaasa viongozi Serikali za mitaa kuepuka migogoro ili kuongeza ufanisi wa huduma kwa wananchi
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amewaasa viongozi katika Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuepuka migogoro miongoni mwao…





