Author: Jamhuri
Serikali yahakikisha upatikanaji wa mbolea, tani 33,000 za DAP zaanza kusambazwa nchini
Serikali kupitia Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahakikishia wakulima nchini upatikanaji wa mbolea ya kutosha kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, ikitangaza kuanza kwa usambazaji wa tani 33,000 za mbolea ya kupandia aina ya DAP zilizowasili nchini kupitia Bandari…
Waziri wa Kilimo Sudan Kusin avutiwa na mfumo wa TOSCI udhibiti ubora wa mbegu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Kilimo wa Jamhuri ya Sudani Kusini, Mhe. Clement Juma Mbugoniwia, ametembelea banda la Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) katika Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane yanayoendelea Nzuguni, mkoani Dodoma, kwa lengo…
Ushirikiano wa Tanzania na Ufilipino wazidi kuimarika
Na Prosper Makene Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa na Mashirika mengine ya Kimataifa Geneva, Balozi Dkt. Hoyce Temu, amekutana na mwenzake kutoka Jamhuri ya Ufilipino, Bw. Eric Tamoya kujadili…
Waziri Kombo amuaga Balozi wa Umoja wa Ulaya
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kuagana na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Christine Grau, kufuatia kukamilika kwa muda wake wa uwakilishi nchini. Katika mazungumzo yao, Mheshimiwa…




