JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania yatoa somo kwa nchi za SADC kuhusu usimamizi wa maafa

Na Mwandishi Wetu, Zimbabwe Tanzania imeendelea kung’ara katika ukanda wa Kusini mwa Afrika baada ya kutajwa kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa mifumo madhubuti ya usimamizi wa maafa, hatua inayozifanya nchi nyingine wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika…

TMA yaimarisha huduma za hali ya hewa, viwanja vya ndege Mpanda, Pemba vyanufaika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imeendelea kuimarisha utoaji na udhibiti wa huduma za hali ya hewa nchini kwa lengo la kuongeza usalama, ufanisi na maendeleo katika sekta mbalimbali, ikiwemo usafiri wa…

Mkuranga yajenga shule ya ghorofa Mwandege kupunguza msongamano wa wanafunzi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani HALMASHAURI ya Wilaya ya Mkuranga imeanza utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Mwandege kwa mfumo wa ghorofa tatu, hatua inayolenga kupunguza msongamano wa wanafunzi sambamba na kutekeleza sera ya matumizi bora ya…

JKCI na ALMC waandika historia Maadhimisho ya Wauguzi Duniani Arusha

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Arusha Lutheran Medical Centre (ALMC) chini ya menejimenti ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) wamekuwa wadhamini wakuu wa Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani yaliyofanyika jijini Arusha, yakihusisha shughuli mbalimbali za kijamii pamoja…

Baada ya nusu karne, Liganga na Mchuchuma sasa kuanza

Mazungumzo na Mwekezaji Yamefikia Zaidi ya Asilimia 90 Kuzalisha Tani Milioni 2.9 za Chuma Ghafi kwa Mwaka Kuzalisha Ajira Rasmi 6,500, Zisizo Rasmi 26,000 📍 Njombe Serikali ya Tanzania ndani ya kipindi cha Miezi Mitatu ijayo inatarajiwa kuanza rasmi utekelezaji…

Prof. Shemdoe asisiza suala la usafi liwe ajenda ya kudumu katika vikao vyote

Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewasisitiza washiriki wa Mkutano wa Mwaka wa Tathmini ya Afua ya Uthibiti wa Taka Ngumu na Usafi…