JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

NMB yatoa mil. 47.6/- kupunguza uhaba vifaa shuleni Kondoa, Chemba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Juhudi za kupunguza uhaba wa madawati na vifaa vya kujifunzia katika Wilaya za Kondoa na Chemba, mkoani Dodoma, zimepata msukumo baada ya Benki ya NMB kukabidhi vifaa vyenye thamani ya Sh47.6 milioni kwa shule nane…

Tanzania yaweka mkazo utabiri wa hali ya hewa unaolenga hatua

Na Stella Aron, JamhuriMedia Serikali imeanza kuimarisha matumizi ya taarifa za hali ya hewa kwa kuweka mkazo katika utabiri unaolenga hatua, unaolenga kuwasaidia wananchi na wadau kutafsiri taarifa za hali ya hewa na kuchukua hatua mapema kabla ya kutokea kwa…

TBS, Halmashauri za Njombe zaazimia Kuimarisha Udhibiti wa bidhaa

KATIBU Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji wa Mkoa wa Njombe, Gumbo Mvanda, amesisitiza kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Halmashauri za mkoa huo katika kudhibiti ubora na usalama wa chakula na vipodozi kwa ajili ya…

Sangu aitaka TALGWU kujenga umoja kupitia Uchaguzi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu, amekitaka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU) kuendesha uchaguzi wake kwa kuzingatia Katiba, demokrasia, uwazi, haki,…