Author: Jamhuri
Rais wa Zimbabwe asaini sheria inayoongeza muda wa urais wake
Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amesaini kuwa sheria muswada unaoongeza muda wake wa kuhudumu madarakani kwa miaka miwili zaidi, hadi mwaka 2030, msemaji wa serikali Nick Mangwana amesema Jumanne. Mwezi uliopita, mabunge yote mawili ya Zimbabwe yaliidhinisha muswada huo. Katika…
Tunalipa jana ya PSSSF, imefuta machozi kwa wastaafu
Na Dk Reuben Lumbagala, JamhuriMedia, Dar es SALAAM Miongoni mwa haki za msingi za mfanyakazi serikalini au sekta binafsi ni pamoja na kulipwa mafao yake kwa wakati pindi anapostaafu utumishi wake. Mafao hayo yanatokana na michango aliyochangia katika mifuko ya…
Tanzania, Qatar kushirikiana kuendelea kufungua fursa za ajira kwa vijana
Na: OWM (KAM) – Doha, Qatar Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amesema Tanzania na Qatar zimeendelea kushiurikiana kwa karibu katika sekta mbalimbali, ikiwemo masuala ya ajira ambapo tangu nchi hizo…
Tutuba : Benki Kuu yanunua tani 28 za dhahabu zenye thamani ya trilioni 9.76
Na Benny Mwaipaja, Banjul, Gambia Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emmanuel Tutuba, amesema kwamba katika kipindi cha miezi 18 iliyopita, Benki Kuu ya Tanzania imenunua na kuhifadhi takriban tani 28 za dhahabu, zenye thamani ya dola za Marekani…
Waziri Mkuu: Tutafute mbinu mpya za kukieneza kiswahili
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuna haja ya kutafuta mbinu mpya ya kukieneza Kiswahili baada ya kuwa kimepata hadhi ya kimataifa. “Kadiri Kiswahili kinavyoendelea kupata hadhi ya kimataifa, ni muhimu sasa kuanza kutazama hatua inayofuata ya kukieneza duniani. Mataifa…





