Author: Jamhuri
Maandalizi usiku wa tuzo za BMT kwa wanamichezo bora msimu wa 4 2025 yafikia asilimia 90
Maandalizi ya utoaji tuzo za wanamichezo bora waliofanya vizuri mwaka 2025 zinazotolewa na Baraza la Michezo la Taifa (BMT) yamefikia 90% ambapo shughuli hiyo itafanyika katika ukumbi wa The Super Dome Masaki, tarehe 9 Mei, 2026 kuanzia saa 12 jioni….
Ushirikiano wa kimataifa waibua matumaini kwa wagonjwa wa moyo JKCI
Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imeendelea kuimarisha huduma za matibabu kwa wagonjwa wenye matatizo ya moyo kupitia ushirikiano wa kimataifa unaolenga kubadilishana uzoefu na ujuzi na wataalamu kutoka mataifa mbalimbali yaliyobobea katika…
Bilioni 1.3/- kutekeleza miradi ya mabadiliko ya tabianchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imesema inatarajia kutekeleza mradi wa kuimarisha utayari wa Zanzibar kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi wenye thamani ya Dola za Kimarekani 500,000 (shilingi bilioni 1.3). Ilisema fedha zitakazotumika kutekeleza mradi huo ni kutokana…
Serikali yajipanga kuwafikia wanawake wengi zaidi kiuchumi
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali inachukua hatua katika kuimarisha uwezeshaji wanawake kiuchumi pamoja na kuongeza uelewa kuhusu mifuko ya maendeleo inayowanufaisha wanawake. Akizungumza juzi bungeni…





