JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dk Kahyoza: Kafulila anogesha mjadala wa Vyuo Vikuu kufundisha PPP

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP-Centre), David Kafulila ameahidi kufanya kila kinachowezekana kuhakikisha Chuo kikuu Cha Dodoma (UDOM) kinaanza kutoa shahada ya uzamili ya Ubia wa Sekta…

Kwagilwa aishauri TMA kushirikiana na wadau kusambaza taarifa za hali ya hewa kwa wanannchi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Reuben Nhamanilo Kwagilwa, ameitaka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kuendelea kuimarisha ushirikiano na wadau mbalimbali ili kuhakikisha taarifa za hali…

Tanzania, Qatar zafungua fursa mpya sekta ya madini

✅Al Mansour Group Yaonesha Nia Kuwekeza kwenye Uongezaji Thamani wa Dhahabu, Nikeli, Kobalti na Chuma ✅Teknolojia, Mitambo, Mafunzo na Uzalishaji wa Mbolea Vyatajwa Maeneo Muhimu ya Ushirikiano ✅Wachimbaji Wadogo Waguswa 📍 Doha, Qatar Tanzania imeendelea kupanua wigo wa ushirikiano wa…

TPSF yasifu viongozi wa BoT na TRA kwa utendaji uliotukuka

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) imesema inatambua na kuthamini uongozi na utendaji kazi wa viongozi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na kwamba ina kila sababu ya kuwapa…

MSD kuokoa bilioni 2.3 zilizokuwa zikitumika kukodisha maghala binafsi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bohari ya Dawa (MSD) inatarajia kuokoa zaidi ya Sh bilioni 2.3 kwa mwaka, ikiwa ni gharama ambazo zimekuwa zikitumika kukodisha maghala binafsi kwa ajili ya kuhifadhia bidhaa za afya. Tathimini hiyo imetolewa na…

Bei ya Petroli yashuka, Serikali yaweka ruzuku kwenye dizeli

Watumiaji wa petroli wamepata afueni mwezi Juni 2026 baada ya bei ya mafuta hayo kushuka ikilinganishwa na mwezi uliopita. Kwa Dar es Salaam, petroli sasa itauzwa kwa bei kikomo ya shilingi 4,086 kwa lita, hatua inayotarajiwa kupunguza gharama kwa watumiaji…