Author: Jamhuri
Waziri Dk Gwajima aieleza dunia mafanikio ya mapambano dhidi ya ukeketaji
Na WMMJW- New York Marekani. SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, inaendelea kuimarisha hatua za kinga na huduma kwa waathirika wa ukatili wa kijinsia na watoto kupitia utekelezaji wa Mpango wa Taifa wa…
Uwekezaji wa NSSF wa Mzizima Towers kufungua fursa mpya za biashara na italii Dar
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imesema mradi wa uwekezaji wa ujenzi wa jengo la kitega uchumi la Mzizima Towers unaotekelezwa jijini Dar es Salaam na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umefikia asilimia 91 ya utekelezaji…
Serikali yatoa maelekezo nane kuimarisha kampuni ambazo ina umiliki hisa chache kuelekea Dira 2050
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imetoa maelekezo nane ya kimkakati yanayolenga kuimarisha utendaji wa kampuni ambazo ina umiliki wa hisa chache, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuharakisha safari ya Tanzania kuelekea hadhi ya nchi ya kipato cha kati…
Mchango wa kampuni zenye umiliki mdogo wa Serikali waongezeka
Na Peter Haule, WF, Arusha Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) amesema kuwa mchango wa Kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa Hisa Chache katika Mfuko Mkuu wa Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina umeongezeka kutoka shilingi bilioni…
Makamu wa Rais akizungumza na mama Janeth Magufuli
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na Mama Janeth Magufuli ambaye ni mjane wa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, wakati alipomtembelea…
Ulega: Daraja la Mkuyuni limeanza ‘kulipa’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa ujenzi wa Daraja la Mkuyuni mkoani Mwanza tayari kumeanza kuonyesha matunda katika siku zake za awali. âAkizungumza na wananchi mara baada ya ukaguzi wa daraja hilo leo…





