Author: Jamhuri
RPC Morcase- Tumekamata jumla ya makosa 74,446 ya usalama barabarani, faini bilioni 2.2
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani JESHI la Polisi mkoani Pwani, kupitia kitengo cha usalama barabarani, limekamata jumla ya makosa 74,446 ya usalama barabarani na kukusanya faini za papo kwa papo zenye thamani ya Sh. bilioni 2.233. Aidha, jeshi hilo, kupitia Kitengo…
Ofisi ya Msajili wa Hazina yatwaa tuzo ya uandaaji bora wa taarifa za fedha
Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imeibuka Mshindi wa Pili – tuzo za Uandaaji Bora wa Taarifa za Fedha 2024 (Kundi la Idara za Serikali Zinazojitegemea) kutoka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na…
Rc Manyara akagua miradi, asikiliza kero na kuzitatua Hanang’
Na Ruth Kyelula, Manyara Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amefanya ziara ya ukaguzi wa muradi, kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua, ambapo ameanza ziara yake hiyo ya Kata kwa Kata, yenye kauli mbiu “tunavua buti ama hatuvui, tukutane…
CCM Pwani yasema Rais Samia ameonyesha thamani ya wazee na mwelekeo sahihi wa taifa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani kimesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameonyesha kuthamini mchango wa wazee katika Taifa kupitia ushirikishwaji wao kama nguzo muhimu ya hekima. Pia kimedai kuwa Rais ameendelea kuonesha uzalendo…
Shule za sekondari 52, Chuo cha VETA kufungiwa miundombinu ya nishati safi ya kupikia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba ya kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia kwa shule za Sekondari 52 na Chuo cha VETA kimoja hapa nchini. Hafla hiyo ya utiaji saini imeongozwa…
Chuo Kikuu Kairuki chaeleza akili mnemba ilivyorahisisha mambo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MATUMIZI makubwa ya teknolojia ya kisasa na akili mnemba yamerahisisha utoaji wa huduma za afya hususan upasuaji na kwenye kufundishia wanafunzi wanaosomea tiba. Hayo yamesemwa leo na Makamu Mkuu wa chuo Kikuu Kairuki,…





