Author: Jamhuri
Kikwete ahimiza Tanzania na Japan kuimarisha ushirikiano katika usalama wa chakula na uchumi wa buluu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo amekutana na kufanya mazungumzo na Mtafiti Mkuu wa Taasisi ya Sasakawa Peace Foundation ya Japan, Bw. Masanori Kobayashi, katika ofisi…
Makamu wa Rais aagwa rasmi na Wizara ya Nishati
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameagwa rasmi na Menejimenti ya Wizara ya Nishati pamoja na Taasisi zilizo chini yake katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa Kambarage Treasury Square, Dodoma. Jumatano Septemba 09, 2026….
Tanzania yakaribisha wawekezaji na taasisi za fedha za kimataifa kuwekeza sekta ya nishati
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Saidi Othman Yakubu, amewakaribisha wawekezaji na taasisi za fedha za kimataifa kutumia fursa pana za uwekezaji zinazopatikana nchini Tanzania, hususan katika sekta za nishati, miundombinu na uzalishaji viwandani. Mhe. Balozi…
Kuuza au kununua umeme kutaongeza mapato ya taifa na kuimarisha usalama wa nishati nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Mikutano ya 67 ya Jumuiya ya Umeme ya Kusini mwa Afrika (SAPP) inayofanyika Zanzibar imefungua fursa mpya kwa Tanzania kuimarisha nafasi yake kama kitovu cha biashara ya umeme katika ukanda wa Kusini mwa Afrika, huku…





