JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mama mzazi wa Hayati Magufuli afariki, Rais Samia atuma salamu za rambirambi

Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, ambaye ni Suzana Magufuli, amefariki dunia mjini Chato mkoani Geita baada ya kuugua kwa muda mrefu. Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa…

Waziri Mkuu kumwakilisha Rais Mkutano wa 61 wa Mwaka wa Bodi ya Magavana wa AfDB

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameondoka nchini leo (Jumatatu, Mei 25, 2026) kwenda Brazzaville, Jamhuri ya Kongo kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye Mkutano wa 61 wa Mwaka wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)….

Mabadiliko yasababisha Marekani, Uingereza kufunga ofisi ndogo za Ubalozi Zanzibar

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amelieleza Bunge kuwa Marekani na Uingereza zilifunga Ofisi Ndogo za Ubalozi Zanzibar kutokana na mabadiliko ya kisera katika uendeshaji wa ofisi zao ndogo duniani kote…

Polisi Dar wawakamata raia wanne wa China kwa tuhuma za utekaji, wataka dola milioni 20

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwakamata raia wanne wa China wanaotuhumiwa kuhusika katika tukio la utekaji wa wafanyabiashara wenzao kutoka nchini humo, huku wakidai kiasi cha dola za Marekani milioni 20…

TMA yatabiri msimu wa kipupwe wenye baridi, baadhi ya mikoa kupata mvua za nje ya msimu

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza kuwa na msimu wa Kipupwe Juni hadi Agosti mwaka 2026 unatarajiwa kuwa na hali ya baridi katika maeneo mengi ya nchi, huku mwezi Julai ukitajwa…