JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali yaendelea kuwawezesha wananchi kupitia mikopo yenye masharti nafuu

Na Mwandishi Wetu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza dhamira yake ya kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa vitendo…

Rais Samia amejipanga kufikisha umeme vitongoji vyote

📌Bilioni 24.9 kupeleka umeme vitongoji 218 Njombe Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Njombe Imeelezwa kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kufikisha umeme kwenye vitongoji vyote vilivyobakia nchini ambavyo…

NIRC, JKT yaungana kuongeza uzalishaji kupitia umwagiliaji

📍 Mlimba, Kilombero – Morogoro Shamba la Chita JKT, lenye ukubwa wa ekari 12,000 zinazolimwa, limepangwa kuwa mfano wa ushirikiano kati ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC). Tangu mwaka 2021, Jeshi limekuwa likiendeleza…

REA yamtaka mkandarasi Nothern Engineering Mtwara kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mtwara Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtaka Mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Kusambaza umeme katika Vitongoji 150 vya Majimbo 10 Mkoani Mtwara kuongeza kasi ya ujenzi ili kukamilisha Mradi kwa wakati. Meneja wa Usimamizi wa Miradi ya…

Rais Trump apanga kufanya mazungumzo na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema anapanga kufanya mazungumzo zaidi na Iran kuhusu uwezekano wa kupata makubaliano ya nyuklia na kusema huenda asitumie nguvu ya kijeshi dhidi ya taifa hilo. Baada ya vitisho vya mara kadhaa vya kuivamia kijeshi Iran,…

Mradi wa bilioni 15. 3 kusambaza umeme vitongoji 175 wapokelewa kwa shangwe Mtwara

📌Zaidi ya Kaya 5,600 kunufaika Wananchi wa vitongoji vya Msokole na Funguni Kijiji cha Mnazi Kata ya Nalingu Mkoani Mtwara wameishukuru Serikali kwa kuwapelekea mradi wa Umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ambao wamesema unakwenda kubadili maisha yao….