Author: Jamhuri
TBS Yatoa elimu ya uthibitishaji wa bidhaa kwa wajasiriamali SABASABA
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutumia Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kutoa elimu na kuwahamasisha wajasiriamali kuthibitisha ubora wa bidhaa zao ili kukidhi matakwa ya sheria za viwango na kuongeza ushindani wa…
CRDB yawapata washindi wa Kampeni ya “SimBanking Kimpango Wako”
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam CRDB Benki imeendesha droo ya kampeni ya “SimBanking Kimpango Wako” na kuwapata washindi wa zawadi mbalimbali, ikiwemo watano waliojishindia safari ya kutembelea Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, mshindi mmoja wa friji aina ya Double…
CCM, ACT- Wazalendo kimeeleweka Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, anatarajiwa kushuhudia hafla ya uwasilishaji Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa Zanzibar, itakayofanyika tarehe 09 Julai 2026, saa 4.00 asubuhi, katika viwanja vya Ikulu, Zanzibar….
Tuendelee ‘kukibidhaisha kiswahili’ kufanikisha ukuzaji uchumi
Na Dk Reuben Lumbagala, JamhuriMedia Kuna umuhimu mkubwa kwa Watanzania kubadili mtizamo kuhusiana na lugha ya Kiswahili. Hii ina maana kuwa, tusiiangalie lugha ya Kiswahili katika muktadha wa mawasiliano pekee. Hapana. Ni kwamba, twende mbele zaidi, yaani tukifanye Kiswahili kuwa…
BOT Academy Yawakaribisha Watanzania kujiunga na mafunzo ya kibenki
Na Mwandishi Wetu CHUO cha Benki Kuu ya Tanzania (BOT Academy) kimewahimiza Watanzania, hususani wahitimu wa elimu mbalimbali na watumishi wa sekta ya fedha, kujiunga na programu zake za mafunzo ya muda mrefu na muda mfupi zinazolenga kuwajengea ujuzi wa…





