JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mikoa minne kupata umeme wa gridi ndani ya mwaka wa fedha 2026/2027

Serikali imesema katika mwaka wa fedha 2026/2027 itatekeleza miradi mbalimbali ya umeme ikiwemo kuunganisha mikoa ya Lindi, Mtwara, Kagera na Rukwa kwenye gridi ya taifa ya umeme ili kuhakikisha wananchi wengi zaidi wanapata huduma hiyo nchini. Akichangia makadirio ya mapato…

Serikali yabadili gia, sasa kuwa rafiki wa biashara na sio wadhibiti -Kapinga

Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dodoma Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amesema Serikali imebadili mtazamo katika kusimamia sekta ya viwanda na biashara kwa kuweka mkazo kwenye uwezeshaji badala ya udhibiti, akisisitiza kuwa taasisi zilizo chini ya wizara hiyo…

Maridhiano yaanze, tusisubiri milango ya mahakama

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katika siasa kuna wakati taifa linapaswa kujua tofauti kati ya kutafuta haki na kutafuta suluhu. Wakati mwingine njia ya mahakama ni muhimu pale panapokuwa na tuhuma za uhalifu, lakini pia kuna nyakati ambapo…

Prof. Shemdoe aelekeza bil.5.2/- za mradi wa LoCAL zitumike kwa malengo yaliyokusudiwa

Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amazielekeza Halmashauri za wilaya ya Mkinga, Mafia, Mpwapwa, Kondoa, Chamwino, Mtwara, Mtama na Manispaa ya Kigamboni…

Bandari Dar yapaa Afrika Mashariki, yaongeza ufanisi na kuibwaga Mombasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bandari ya Dar es Salaam imeibuka kinara wa ufanisi wa huduma za bandari katika ukanda wa Afrika Mashariki baada ya kupanda kwa nafasi 105 katika Ripoti ya Ufanisi wa Bandari Duniani (Container Port…