JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ndejembi azindua mradi wa bilioni 10.5/- Mbande, kung’arisha wilaya nne

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Nishati kupitia Shirika la Umeme Tanzania TANESCO imepiga hatua nyingine katika kuimarisha miundombinu ya nishati nchini baada ya Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), kuzindua rasmi Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji…

Taasisi za umma na binafsi zahimizwa kuwajibika kwa jamii

Mwenza wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza Taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za kijamii kupitia utekelezaji wa programu za uwajibikaji kwa jamii (CSR)….

Wadau wavutiwa elimu ya vipimo maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wadau mbalimbali waliotembelea Banda la Wakala wa Vipimo (WMA) katika siku ya kwanza ya Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, Juni 16, 2026 wamekiri kuvutiwa na elimu inayotolewa na timu ya wataalamu kuhusu matumizi…

Vullu aitaka jamii kutenga muda kwa watoto badala ya kuendekeza ‘ubusy’

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Pwani, Zainab Vullu, amewasihi wazazi na walezi kuimarisha malezi ya watoto kwa kuwajenga katika misingi ya maadili, hususan watoto wa kiume ambao kwa sasa wanakabiliwa na hatari zinazotokana na mazingira…

Wadau: Afrika inapaswa kujitegemea katika chakula

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mabadiliko yanayoendelea kufanyika katika mpango wa Marekani wa Food for Peace yameibua mjadala muhimu ambao Afrika haiwezi tena kuupuuza: utegemezi wa muda mrefu wa misaada ya chakula kutoka nje ya bara. Kwa zaidi…

Waziri Nanauka kuja na Baraza la Taifa la Vijana shirikishi

Na Mwandishi Wetu Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana imeendelea na uratibu wa kukusanya maoni kwa wadau ili kuunda Baraza la Vijana la Taifa ambalo ni Shirikishi ambapo awamu hii wawakikishi kutoka kwenye jumuiya za umoja wa Vijana za vyama…