JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Vyuo vikuu vya Tanzania na Malaysia kujenga ushirikiano mpya wa elimu ya uuu

*Wazazi na Wanafunzi Wafurahia Fursa za Kusoma Malaysia. *Waliokosa fursa Serena watakiwa Kufika GEL kupata huduma kama za maonesho Na Mwandishi Wetu WAZAZI na wanafunzi nchini wamefurahishwa na maonesho ya vyuo vikuu Malaysia ambavyo vimewapa fursa mbalimbali za masomo nchini…

WFP kuendelea kushirikiana na Serikali katika masuala ya usimamizi wa maafa nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula la Duniani (World Food Programme -WFP) limesema litaendeleza mashirikiano na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuhakikisha masuala ya menejimenti ya maafa yanaendelea kutekelezwa…

Safari za Shirika la Ndege la Brussels Airlines kutoka Brussels – KIA zazinduliwa rasmi

Tanzania imeandika historia mpya katika sekta ya usafiri wa anga na utalii baada ya Shirika la Ndege la Brussels Airlines kuzindua rasmi safari zake za moja kwa moja kati ya Brussels, Ubelgiji na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro…