JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Urusi : Droni za Ukraine zimeua 24 Kherson

Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi ilitaja tukio hilo kuwa “shambulio la kigaidi,” huku ikisema Rais Vladimir Putin amearifiwa. Mamlaka zilizowekwa na Urusi katika eneo la Kherson nchini Ukraine zimesema zaidi ya watu 24 wameuawa baada ya shambulio la…

Jengo la ghorofa 16 linaloendelea kujengwa laporomoka jijini Nairobi

Watu wawili wanahofiwa kukwama baada ya jengo la orofa 16 lililokuwa likijengwa kuporomoka katika eneo la South C jijini Nairobi. Operesheni ya uokoaji inayohusisha vitengo tofauti ikiwa ni pamoja na wanajeshi, polisi, huduma za dharura za kaunti ya Nairobi na…

Gabon yatimua timu nzima kufuatia matokeo mabaya ya AFCON

Waziri wa michezo wa Gabon ametangaza kupigwa marufuku kwa wachezaji wakongwe Pierre-Emerick Aubameyang na Bruno Ecuele Manga, kusimamishwa kwa timu nzima ya taifa, na kufutwa kazi kwa benchi la ukufunzi. Hii ni kufuatia matokeo mabaya ya Gabon katika Kombe la…

Rais Samia atoa zawadi za mwaka mpya kwa watoto Dodoma

Na Abdala Sifi WMJJWM – Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe, Dkt Samia Hassan Suluhu ametoa zawadi kwa Watoto wanaolelewa katika makao mbalimbali nchini kwa lengo la kuwapa faraja na upendo msimu huu wa sikukuu. Zawadi hizo…

Ofisi ya Waziri Mkuu yakabidhi vifaa vya misaada ya kibinadamu kwa waathirika wa mafuriko Kilosa

Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) kupitia Idara ya Menejimenti ya Maafa leo Tarehe 2, Januari 2026 imekabidhi vifaa mbalimbali vya misaada ya kibinadamu kwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa kwa Ajili ya waathirika wa Mafuriko…