Author: Jamhuri
Mwigulu atatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa miaka 51 Rombo
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametatua mgogoro wa ardhi kati ya Parokia ya Mtimhoo ya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi na Mzee Peter Morisi wa Kijiji cha Msaranga, Wilaya ya Rombo Mkoa wa Kilimanjaro, uliodumu kwa kipindi cha miaka 51….
Je ni kweli Tanzania imeendelea kiuchumi
Taifa letu tangu Uhuru 1961 limekuwa likipitia katika nyakati tofauti za kiuchumi na kijamii hii ni kutokana na mifumo na mabadiliko ya siasa za dunia. Kati ya mwaka 1867 hadi miaka 1985 taifa likiwa na sera ya uchumi dola yaani…
Serikali, wadau kuimarisha mikakati kuboresha huduma za uuguzi, ukunga nchini
Na Zakayo Mosha, WAF – Dodoma Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI imeandaa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wauguzi Viongozi ngazi ya Mikoa, Halmashauri, Hospitali ya Taifa, Hospitali za Kanda, Hospitali za Rufaa za Mikoa,…
Wanamichezo wa kimataifa kushawishi uwekezaji nchini
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa amesema kuwa ujio wa wanamichezo wa kimataifa nchini Tanzania akiwemo Mchezaji na Nahodha wa zamani wa Klabu ya Manchester United na timu…
CCM, CPC na vyama vya ukombozi Afrika waimarisha ushirikiano wa maendeleo
CCM leo imekuwa mwenyeji wa mkutano kati ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) na Vyama Sita Rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika uliofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere (MJNLS), Kibaha. Mkutano huo chini ya wenyeji wa…
Rais Samia akutana na Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China Mhe. Liu Haixing pamoja na ujumbe wake, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Mei,…





