Author: Jamhuri
Dk Samia aongoza Kamati Kuu Maalum na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa leo jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, aongoza Vikao Maalum vya Kamati Kuu ya CCM na Halmashauri Kuu ya CCM Vilivyoketi jijini Dar es Salaam leo, Jumatano tarehe 26…
Tunamhitaji Makamu wa Rais atakayeunganisha nchi
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jana, Agosti 25, 2026, ilikuwa siku iliyozalisha mshituko mkubwa katika taifa letu. Mshituko huo ulitokana na taarifa ya kujiuzulu kwa Makamu wa Rais, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, ambaye amesema ataondoka rasmi madarakani Septemba…
Ofisi ya Msajili wa Hazina kuimarisha ushirikiano na taasisi za umma za China
Dar es Salaam Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) iko katika hatua za mwisho za kukamilisha hati mbili za makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Tume ya Usimamizi wa Mali za Serikali za China (SASAC) pamoja na Jumuiya ya China ya…
Polisi wawili wafariki kwa kugongwa na gari kwenye kivuko Kibaha
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WATU wawili ambao ni askari wa Jeshi la Polisi wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari katika kivuko cha waenda kwa miguu eneo la Maili Moja, Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani. Ajali hiyo ilitokea…
Aweso : Wazazi Pangani pelekeni watoto wakapate chanjo ya Polio
Na Mwandishi Wetu Wazazi na walezi waishio wilayani Pangani mkoani Tanga, wamehimizwa kuwapeleka watoto wao walio chini ya umri wa miaka kumi katika vituo vya kutolea huduma ili wakapate chanjo ya ugonjwa wa Polio. Hayo yameelezwa na Mbunge wa Jimbo…
RC Makala: Uwekaji taa uwanja wa ndege Arusha umekamilika
Na Mwandishi Maalumu RS Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla ametangaza kukamilika kwa mradi wa uwekaji wa taa katika uwanja wa Ndege wa Arusha, akimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa ahadi yake…





