Author: Jamhuri
Usipuuze uvimbe, jua dalili za saratani ya mitoki mapema
Na Mwandishi Maalumu , JamhuriMedia,Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kutopuuza uvimbe unaodumu mwilini hususan ule usioambatana na maumivu badala yake wafike katika vituo vya afya kwa uchunguzi huku wakihimizwa kujenga utamaduni wa kutambua dalili za saratani ya mitoki mapema. Wito…
Mchora katuni gazeti la Mwananchi, King Kinya afariki dunia
Mfanyakazi wa Idara ya Habari ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Kinyagulo Tuzo, maarufu King Kinya, amefariki dunia leo, Septemba 17, 2026 baada ya kuugua kwa kipindi kifupi. Taarifa iliyotolewa Ofisi ya Rasilimali watu MCL imethibitisha kutokea kifo cha…
Mkurugenzi Mkuu TMA , Katibu Mkuu WMO wazungumzia El Nino 2026
Geneva: 15 Septemba, 2026 Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu wa Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi (IPCC), Dk Ladislaus Chang’a alikutana na Katibu Mkuu…
ETDCO yakamilisha miradi ya umeme wa bilioni 16.2 kusini
Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekamilisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovolti 132 kutoka Mtwara hadi Lindi–Mahumbika, pamoja na njia ya kilovolti 33 kutoka Masasi hadi Newala,…
TARURA yafungua barabara ya Manda – Mafurungu wilayani Chamwino, wananchi wapata nafuu ya usafiri
Chamwino, Dodoma Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wilaya ya Chamwino imefungua barabara ya Manda–Mafurungu yenye urefu wa kilomita 25 hatua ambayo imebadili hali ya usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa kijiji cha Mafurungu baada ya kukabiliwa na…
Tanzania, Ujerumani zajadili fursa za uwekezaji na ushirikiano wa kiuchumi
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, James Millya (Mb.), amekutana na ujumbe wa ujumbe wa Serikali na wafanyabiashara 30 waandamizi kutoka Ujerumani ulioongozwa na Waziri wa Masuala ya Shirikisho, Ulaya na Kimataifa Mhe. Manfred Pentz….





