JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TAKUKURU yaokoa milioni 116 Tanga

Hatua madhubuti za ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo zilizochukuliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Tanga zimezaa matokeo makubwa baada ya kuokoa zaidi ya Shilingi milioni 116 ambazo zilikuwa katika hatari ya kupotea, huku miradi…

Wajane wapanda Mlima Kilimanjaro, wahimiza uandikaji wosia katika familia

Mussa Juma, [email protected] Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Nurdin Babu amehimiza familia kuandika Wosia ili kupunguza mgogoro kwenye jamii mmoja wa wanandoa hasa mwanaume anapofariki. Wajane 35 kutoka Mkoa Arusha na Kilimanjaro jana walianza Kampeni ya Kupanda mlima Kilimanjaro na lengo…

DMG yatambuliwa na forbes Afrika kwa uwezo wa ujenzi wa meli daraja la kwanza

Na Mwandishi Wetu, jamhuriMedia, Dar es Salaam Jarida la Forbes Africa limetaja Kampuni ya Kitanzania, Dar es Salaam Merchant Group – DMG, kama kampuni bora ya daraja la kwanza “Class One” katika eneo la ujenzi na ukarabati wa meli nchini…

Serikali yaingia makubaliano ya ushirikiano na DIT kuimarisha usimamizi wa maafa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) imeingia Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Taasisi ya Teknolojia ya Dar es Salaam (DIT) yenye lengo la kuimarisha usimamizi wa maafa…

Doyo awaonya wanaotamani urais 2030 mapema

Aliyekuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo, amewataka wanasiasa nchini kujikita katika masuala ya maendeleo ya wananchi badala ya kuanza kampeni za kutafuta urais wa mwaka…

Polisi Pwani yachunguza utata kubadilishwa kichanga hospitali Bagamoyo

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Bagamoyo JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani limeanza uchunguzi wa kina kufuatia malalamiko ya mwanamke mmoja mkazi wa Gongo la Mboto, Dar es Salaam, anayodai kubadilishiwa mtoto baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji katika Hospitali…