Author: Jamhuri
WHO: Chanjo ya Ebola imeanza kutolewa kusini mwa Kongo
Shirika la Afya duniani, WHO, limesema utoaji chanjo kwa watu walio kwenye hatari ya kupata maambukizi ya ugonjwa wa Ebola umeanza jana Jumapili kusini mwa jimbo la Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Mlipuko wa ugonjwa huo hatari uliripotiwa…
Mgombea udiwani Kata Tandika kwa tiketi ya CCM ahaandi kushughulikia kero ya michango shuleni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Mgombea udiwani Kata ya Tandika Uzairu Abdul Athumani kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM amewaahindi wananchi endapo watampatia ridhaa ya kumpa kura za kishindo Oktoba 29,2025 atahakikisha anatatua kero zinazowakabili ikiwemo michango sumbufu…
Bilioni 51/- za mradi wa TACTIC kuongeza thamani ya Jiji la Mbeya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Mradi wa Uendelezaji Miji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya Shilingi Bilioni 51 katika halmashauri ya jiji la Mbeya ikiwa ni uendelezaji wa jiji hilo katika eneo la miundombinu ya barabara, masoko na stendi….