JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TRC, JKCI Maadhimishi ya Moyo Duniani; Huduna ya vipimo vya moyo bure kwa wasafiri wa SGR

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media, Dar es Salaam Katika kuelekea Siku ya Maadhimisho ya Moyo Duniani, ambayo hufanyika kila mwaka Septemba 29, Shirika la Reli Tanzania (TRC), kwa kushirikiana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), wametangaza ushirikiano maalum utakaowawezesha…

NMB yatoa mil. 47.6/- kupunguza uhaba vifaa shuleni Kondoa, Chemba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Juhudi za kupunguza uhaba wa madawati na vifaa vya kujifunzia katika Wilaya za Kondoa na Chemba, mkoani Dodoma, zimepata msukumo baada ya Benki ya NMB kukabidhi vifaa vyenye thamani ya Sh47.6 milioni kwa shule nane…

Tanzania yaweka mkazo utabiri wa hali ya hewa unaolenga hatua

Na Stella Aron, JamhuriMedia Serikali imeanza kuimarisha matumizi ya taarifa za hali ya hewa kwa kuweka mkazo katika utabiri unaolenga hatua, unaolenga kuwasaidia wananchi na wadau kutafsiri taarifa za hali ya hewa na kuchukua hatua mapema kabla ya kutokea kwa…

TBS, Halmashauri za Njombe zaazimia Kuimarisha Udhibiti wa bidhaa

KATIBU Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji wa Mkoa wa Njombe, Gumbo Mvanda, amesisitiza kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Halmashauri za mkoa huo katika kudhibiti ubora na usalama wa chakula na vipodozi kwa ajili ya…