Author: Jamhuri
Akamatwa akiiba umeme Mkuranga
Na Dickson Bilikwija , JamhuriMedia, Pwani TIMU ya ukaguzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imemkamata mteja mmoja kwa tuhuma za kufanya uunganishaji haramu wa umeme katika eneo la Kilungule-Camp, Mtaa wa Kaikai, Wilaya ya Mkuranga, Mkoa wa Pwani. Tukio…
Mradi wa umeme Mpovu -GGM kuimarisha upatikanaji umeme, kuchochea shughuli za kiuchumi Geita – Salome
📌 Kukamilika kwa njia mpya kutatoa fursa kwa njia ya awali kuendelea kunufaisha wananchi wa mkoa wa Geita na kuchochea shughuli za kiuchumi. 📌 Serikali yawekeza takribani Shilingi bilioni 63.19 kuutekeleza Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inaendelea kuimarisha…
WMA mshindi wa kwanza Maonesho ya Biashara Afrika Mashariki
Na WMA – MWANZA Wakala wa Vipimo (WMA) umetwaa Kombe la ushindi wa kwanza katika Maonesho ya 21 ya Biashara ya Afrika Mashariki, baada ya kutangazwa kuwa taasisi bora katika kategoria ya mashirika, wakala na taasisi za umma. Ushindi huo…
TBS yaibuka mshindi wa pili katika Maonesho ya 21 ya Biashara Afrika Mashariki (MEATF)
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeibuka mshindi wa pili katika kundi la Taasisi za Udhibiti wakati wa Maonesho ya 21 ya Biashara Afrika Mashariki (MEATF), yanayofanyika katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza. Ushindi huo unaonesha namna TBS inavyoendelea kutekeleza jukumu…
Wananchi Ruvuma waiomba Serikali kuimarisha miundombinu ya barabara
Na Mwandishi wetu,Songea. Wananchi Mkoani Ruvuma wameiomba serikali kupitia Wakala wa Barabara vijijini na Mijini (TARURA) na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuona umuhimu wa kuchukua hatua za kuboresha miundombinu ya barabara ikiwa ni pamoja na kusafisha mifereji na mitaro…
Makamu wa Rais Ndejembi atoa maelekezo kuhusu bei ya sementi
Na Mwandishi Wetu MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, ametoa maeekezo kwa Wizara ya Viwanda na Biashara kukaa meza moja na wazalishaji wa saruji nchini ili kuweka mikakati ya haraka itakayohakikisha saruji inapatikana kwa wingi na bei nafuu. Ametoa…





