JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TBS Yaendelea kutoa elimu ya alama ya ubora ya bidhaa Nanenane Tabora

Na Mwandishi Wetu, Tabora SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeendelea kurahisisha upatikanaji wa Alama ya Ubora kwa kuanzisha mfumo wa kidijitali unaowezesha wajasiriamali na wazalishaji kuwasilisha maombi kwa njia ya mtandao, hatua inayolenga kuongeza idadi ya bidhaa zenye ubora unaokidhi…

Waziri Aweso aagiza milioni 508 zipelekwe mradi wa maji Gidas Babati

Na John Walter, Babati Waziri wa Maji, Jumaa Hamidu Aweso, ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Mradi wa Maji wa Vijiji vya Endamagay na Gidaboshka, uliopo katika Jimbo la Babati Vijijini. Mradi huo wenye thamani ya Shilingi bilioni 1.099…

Dk Msonde: TBA ni kitovu cha fusa za uwekezaji kupitia miradi ya ubia ‘PPP’

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewataka wawekezaji binafsi na taasisi mbalimbali nchini kutumia fursa zinazotolewa kupitia Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuwekeza katika ujenzi wa nyumba, majengo ya umma na makazi ya kisasa kupitia mfumo wa ubia kati ya…

Tanzania kunufaika na bilioni 10/- za biashara ya kaboni

Na Mwandishi Wetu, JmahuriMedia, Dar es Salaam Tanzania inatarajiwa kuingiza zaidi ya Sh bilioni 10 kutokana na mauzo ya biashara ya kaboni baada ya Serikali kuidhinisha miradi minne itakayouza tani milioni 4.2 za kaboni katika soko rasmi la kimataifa. Waziri…

Ridhiwani asisitiza umuhimu wa watumishi wa umma kupima afya mara kwa mara

Na Mwandishi Maalumu – Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete amewataka watumishi wa wizara hiyo kujenga utamaduni wa kupima afya zao mara kwa mara ili kujikinga na…

Waziri Kabudi: Kilosa iendelee kulinda amani, kuimarisha kilimo na ufugaji wa kisasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilosa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu,) Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (Mb), amewataka wananchi wa Jimbo la Kilosa kuendelea kudumisha amani, utulivu na mshikamano, huku wakiepuka kujihusisha na vitendo…