JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Madini yaanza kutekeleza maagizo ya Dk Samia

▪️Aelekeza Wizara kuweka mazingira ya Tanzania kuwa kitovu cha Biashara ya madini Afrika ‎▪️Watanzania kujengewa uwezo wa kimtaji kupitia mfuko wa dhamana ‎▪️Aelekeza Wataalam kukutana na Wazalishaji wa Makaa ya Mawe kutatua changamoto zao Na WM- Dodoma ‎Wizara ya Madini…

Tuongeze kasi na ukaribu zaidi na wananchi -Dk Gwajima

Na WMJJWM-Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameelekeza watumishi wa Wizara hiyo kutekeleza na kuishi kauli mbiu ya “Kazi na Utu, Tunasonga Mbele” kupitia utoaji wa huduma kwa kasi zaidi, karibu…

Wakulima mwa korosho watakiwa kutumia fedha wanazopata vizuri

Na Mwandishi Wetu Wakulima wa zao la korosho Wilayani Tunduru,wametakiwa kutumia fedha wanazopata kwenye mauzo ya korosho kufanya maandalizi ya msimu ujao,kuboresha makazi yao na kufanya maandalizi ya watoto wao wanaotakiwa kwenda shule katika muhula wa masomo 2026. Mkuu wa…

Ridhiwani Kikwete : Idara ya Kumbukumbu na nyaraka ni kiungo muhimu katika historia ya nchi yetu

Na Antonia Mbwambo-Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ametoa wito kwa Menejimenti na Watumishi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa kuendelea kukusanya taarifa, kumbukumbu, nyaraka na…

Watendaji Wizara ya Vijana Zanzibar watakiwa kuondoa urasimu

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar. Viongozi na Watendaji wa Wizara ya Vijana, Ajira na Uwekezaji Zanzibar wametakiwa kuwa wawazi ili kuondosha urasimu katika utendaji wa kazi zao. Waziri wa Wizara hiyo, Mhe. Shaaban Ali Othaman amewataka Viongozi na Watendaji wa Wizara…

Mashindano ya ‘Ladies First 2025’ kurindima Dar, viongozi watia neno kuimarika kwa wanawake

Mashindano ya Riadha ya Wanawake Ladies First 2025 yanatarajiwa kufanyika Novemba 29 na 30 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, yakihusisha wanariadha 155 kutoka mikoa 31 ya Tanzania Bara na Zanzibar. Mashindano hayo yataongozwa na Baraza…