JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Polisi Ngara wawafikia watoto yatima kupitia vituo vya malezi

Jeshi la Polisi Wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera, limeendelea kuwafikia wananchi na makundi mbalimbali yenye uhitaji katika jamii kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na jamii, kutoa elimu pamoja na kuwajulia hali wananchi wanaolitegemea Jeshi hilo katika ulinzi wao na…

Madaktari bingwa wafanikisha kutoa uvimbe nyuma ya shingo ya mtoto wa miaka minne

Na Andrea Kadege, WAF-Arusha Kambi ya Madaktari bingwa wa upasuaji inayoendelea katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Arusha, Mount Meru, leo Julai 24, 2026 imefanikiwa kuondoa uvimbe kwa mtoto wa kiume mwenye miaka minne ambaye alizaliwa na tatizo hilo. Akizungumza…

Makamu wa Rais afungua mkutano wa 15 wa mtandao wa watetezi wa haki za binadamu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ana dhamira ya dhati ya kuhakikisha Katiba mpya inapatikana, ndio maana suala hilo…

K aonesha picha aliyopiga na dogo janja mwaka 2010

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Diwani wa Kata ya Ngarenaro jijini Arusha, Mheshimiwa Abdulaziz Abubakar Chende, maarufu kwa jina la kisanii Janjaro (zamani Dogo Janja), akimwonesha Rais picha aliyopiga naye Ikulu Dar es…

Profesa Kabudi akagua maandalizi ya kuelea Siku ya Mashujaa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) Profesa Palamagamba Kabudi amekagua maandalizi kuelekea Siku ya Mashujaa Julai 25, 2026ambapo ameleza kuridhishwa na hatua ya kukamilika kwa maandalizi hayo. Waziri Kabudi, amekagua hii leo 24…

14 wafariki, 22 waokolewa baada ya boti kupata hitilafu baharini Mafia

Na Mawamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Timu ya Maafa ya Wilaya ya Mafia imewaokoa manusura 22, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Burundi na Visiwa vya Comoro, walionusurika kifo baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoka Comoro kuelekea Kisiwa cha…