Author: Jamhuri
Rais Dk Mwinyi ateta na Rais wa Singapore Ikulu Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amempokea Rais wa Jamhuri ya Singapore Mhe.Tharman Shanmugaratnam,katika Ikulu ya Zanzibar, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kikazi nchini Tanzania iliyoanza Juni 8, 2026. Kikao hicho…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Slovakia awasili nchini
Na Mwandishi Wetu, Waziri wa Mambo ya Nje na Masuala ya Ulaya wa Jamhuri ya Slovakia, Mhe. Juraj Blanár, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi kuanzia Juni 10 hadi 11, 2026, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha uhusiano wa…
TANESCO Ruvuma yatoa elimu kwa wananchi umuhimu wa kulinda miundombinu ya umeme
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Mkoa wa Ruvuma limetoa elimu kwa wananchi wa Kitongoji cha Kisendema kilichopo Kata ya Msisima, Wilaya ya Namtumbo, kuhusu umuhimu wa kulinda miundombinu ya umeme ili kuhakikisha huduma hiyo inaendelea…
Watuhumiwa mauaji ya mfanyabiashara raia wa China wakamatwa
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwakamatawatuhumiwa wanne wanaohusishwa na mauaji ya mfanyabiashara raia waChina, Fauzani Lee, yaliyotokea hivi karibuni jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari,…
Mtendaji Mkuu wa ADEM, Dkt Maulid afungua mafunzo ya Uongozi wa Kimkakati kwa sekondari Shinyanga
Mtendaji Mkuu wa ADEM, Dkt Maulid J. Maulid leo umefungua Mafunzo ya Uongozi wa Kimkakati (Strategic Leadership) kwa viongozi wa shule za sekondari wa Manispaa ya Shinyanga, yakiwakutanisha washiriki 44 wakiwemo Wakuu wa Shule za Sekondari 22 na Makamu Wakuu…
Ushirikiano wa wadau ni muhimu kufikia lengo la nishati safi ya kupikia la 2034 – Salome
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba amesema Tanzania imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa agenda ya nishati safi ya kupikia, ambapo upatikanaji wa huduma hiyo umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi asilimia 28.6…





