JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Uhispania yatangaza hali ya dharura kufuatia moto wa nyika

Uhispania imetangaza hali ya dharura ya kitaifa mjini Madrid na mkoa wa Avila, karibu na mji mkuu, kufuatia milipuko kadhaa ya moto wa nyika inayoteketea bila kudhibitiwa. Uhispania imetangaza hali ya dharura ya kitaifa mjini Madrid na mkoa wa Avila,…

Iran na Marekani zazidi kutunishiana misuli

Marekani imeendelea kuishambulia Iran huku waasi wa Houthi nchini Yemen wakijiingiza katika vita hivyo kwa kuzishambulia meli za mafuta za Saudi Arabia katika Bahari ya Shamu, ambazo wanasema zilikiuka kizuizi cha majini Iran na Marekani zimetishiana hapo jana kuongeza mashambulizi…

DC Mapunda : Tamaa ya maisha ya haraka yawaingiza vijana kwenye biashara ya dawa za kulevya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sixtus Mapunda, amesema sababu kubwa inayowasukuma baadhi ya vijana kujihusisha na usafirishaji wa dawa za kulevya ni tamaa ya kuishi maisha ya kifahari yasiyolingana na kipato chao, baada ya…

Mkandarasi Bwawa la Kidunda atahadharishwa kujiandaa na mvua za El Nino

Mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa bwawa la Kidunda ametahadharishwa na uwezekano wa uwepo wa mvua za El Nino. Mwenyekiti Bodi ya Maji ya Taifa, Bwn. Suffian Ally ametahadharisha kwa mkandarasi kampuni ya Sino Hydro Corporation kuzingatia kwa karibu utabiri wa hali…

Serikali yazindua mradi wa mikopo nafuu ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta vijijini

📌 Mradi unatekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kupitia Benki ya AZANIA 📌 Lengo la Mradi ni kupunguza kwa kiwango kikubwa biashara hatarishi ya kuuza mafuta kwenye chupa za plastiki na vyombo visivyokidhi viwango vya usalama 📌 Wanufaika nane…