Author: Jamhuri
Rais wa Ukraine amtimua Mkuu wa Jeshi, Oleksandr Syrskyi
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amemwondoa Mkuu wa Majeshi ya Ukraine, Oleksandr Syrskyi, kutoka wadhifa wake. Hatua hiyo imekuja siku chache tu baada ya kuondolewa kwa Waziri wa Ulinzi aliyekuwa maarufu, Mykhailo Fedorov, hatua iliyosababisha maandamano katika maeneo mbalimbali nchini…
Taasisi za umma zatakiwa kuachana na utendaji wa mazoea ili kufanikisha Dira 2050
Na Mwandishi wa OTR, Pwani Serikali imezitaka Taasisi, Mashirika ya Umma na Wakala za Serikali kuachana na utendaji wa mazoea na kujielekeza katika uongozi unaozingatia matokeo, ubunifu, uwajibikaji na ushirikiano wa karibu na sekta binafsi ili kuharakisha utekelezaji wa DIRA…
Tanzania yaongoza juhudi za Afrika kutokomeza UKIMWI na kuimarisha mifumo ya afya
Na Shaban Juma, WAF – Accra, Ghana Naibu Waziri wa Afya, Mhe. Dkt. Florence Samizi amesema nchi za Afrika zinapaswa kuimarisha mshikamano, kuongeza uwekezaji katika sekta ya afya na kuharakisha utekelezaji wa sera zinazozingatia ushahidi wa kisayansi ili kutokomeza UKIMWI…
Tanzania na OACPS wakubaliana kuinua sekta ya uvuvi na uchumi wa buluu
TANZANIA na Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS) wamekubaliana kuimarisha ushirikiano katika kuendeleza sekta ya uvuvi na uchumi wa buluu ili kuongeza mchango wake katika ukuaji wa uchumi, usalama wa chakula, ajira na ustawi wa wananchi wa…
Waziri Ndejembi amjulia hali kapteni Mstaafu George Mkuchika
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amemtembelea na kumjulia hali Kapteni Mstaafu George Huruma Mkuchika, aliyewahi kushika nafasi mbalimbali za uongozi Serikalini, ikiwemo Uwaziri katika wizara tofauti na Ubunge wa Jimbo la Newala Mjini, leo tarehe 21 Julai 2026 nyumbani…





