JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Maporomoko ya taka yaua watu 30 Guinea

WATU 30 wamekufa baada ya mlima wa taka kuporomoka katika dampo kubwa zaidi mjini Conakry, Guinea. Mvua kubwa ilisomba taka na kufukia nyumba zilizokuwa karibu. Serikali imesema mvua kubwa iliyoanza kunyesha mwendo wa saa mbili usiku ilisomba taka katika dampo…

Papa Leo atoa wito wa kimataifa kukabili Ebola DRC

Papa Leo XIV ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua za haraka kudhibiti mlipuko wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,DRC. “Naishauri Jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua zinazowahusisha pia jamii za wenyeji katika juhudi za kuzuia Ebola, ili…

Prof. Shemdoe : Michezo kwa watumishi wa Halmashauri itumike kuimarisha mshikamano

Na: OWM – TAMISEMI, Mbeya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amezitaka Halmashauri zote nchini kutumia michezo kama nyenzo ya kuimarisha afya, ustawi, mshikamano na tija kwa…

Wanafunzi 95 waenda India kusomea AI, Uhandisi

Na Mwandishi Wetu Zaidi ya wanafunzi 95 wa Kitanzania wameondoka nchini kuelekea India kuanza masomo ya elimu ya juu katika vyuo mbalimbali, ikiwa ni kundi la kwanza kati ya wanafunzi 198 wanaotarajiwa kwenda kusoma nchini humo kupitia Global Education Link…

NMB yaweka afya ya watumishi mbele SHIMISEMITA 2026

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Benki ya NMB imeendelea kuunga mkono jitihada za Serikali za kuimarisha afya ya mwili na akili ya watumishi kupitia Mashindano ya Kitaifa ya SHIMISEMITA yanayoendelea mkoani Mbeya. Mashindano hayo yanawakutanisha zaidi ya watumishi 5,000 kutoka…

ADEM yaendesha mafunzo ya uongozi na usimamizi wa utekelezaji wa mtaala ulioboreshwa

23 Agosti 2026. | 📍Bagamoyo, Tanzania. Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) umeendelea kutoa mafunzo maalum ya siku mbili kuhusu Uongozi na Usimamizi wa Utekelezaji wa Mtaala Ulioboreshwa, yakilenga kuimarisha uwezo wa Wakuu wa Shule za Sekondari katika…