JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TEA yatenga Sh 1.3 bilioni kujenga hosteli IPA Pemba

Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imetenga takribani Sh1.3 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa hosteli katika Chuo cha Utawala wa Umma Zanzibar (IPA) Kampasi ya Pujini Pemba, hatua inayolenga kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia chuoni hapo. Fedha hizo zitatumika…

Nyongo asisitiza ushirikiano kutatua migogoro ya ardhi, kuinua uwekezaji Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Stanslaus Nyongo, amesisitiza ushirikiano na viongozi na watendaji katika kutatua changamoto mbalimbali, ikiwemo migogoro ya ardhi, kwa kuzingatia haki, taratibu, kanuni na sheria ili kupata suluhu za kudumu. Nyongo amesema…

JKCI, King Salman wafanikisha upasuaji wa moyo kwa Watoto 16

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watoto 16 wenye magonjwa ya moyo wamefanyiwa upasuaji wa moyo katika kambi maalumu inayoendeshwa na wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na wenzao kutoka Kituo cha King Salman Humanitarian…

Asasi za kiraia zajipanga kuongeza nguvu utekelezaji Mpango wa Taifa wa Wanawake, Amani na Usalama

 Asasi za kiraia na wadau mbalimbali wanakutana kwa ajili ya Jukwaa la Ushirikishwaji wa Asasi za Kiraia Tanzania kuhusu Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama (WPS), lenye kaulimbiu “Kuimarisha Hatua Zilizoratibiwa za Asasi za Kiraia katika Kusaidia Utekelezaji wa Mpango wa Taifa…