Author: Jamhuri
Marekani yaiwekea vikwazo Rwanda
Marekani imeweka vikwazo vikali kwa jeshi la Rwanda na makamanda wake wanne wakuu, ikiwashutumu kwa kuchochea migogoro katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Wizara ya Hazina inasema Jeshi la Ulinzi la Rwanda limekuwa likitoa mafunzo, kuandaa, na kupigana pamoja na…
Ubalozi wa Marekani Saudi Arabia washambuliwa
Wizara ya Ulinzi ya Saudi Arabia imethibitisha kwamba ubalozi wa Marekani mjini Riyadh ulishambuliwa na ndege mbili zisizo na rubani, kulingana na makadirio ya awali. Katika taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa X, wizara hiyo ilisema hii ilisababisha “moto mdogo na…
Kardinali Pengo amevunja kuta za uhasama
Na Deodatus Balile, Nairobi Kifo cha Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo kimeacha simanzi nchini, lakini pia kimeacha funzo na ujumbe mzito kwa taifa letu. Tangu kutokea kwa kifo chake tumeshuhudia jambo ambalo kwa muda mrefu halijawahi kutokea – Watanzania kuungana, si…
Dk Jingu awataka wajasirimali kuongeza ubunifu kufikiasoko la kimataifa
Na WMJJWM- Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu, amewataka wajasiriamali nchini kuongeza ubunifu katika uzalishaji wa bidhaa zao ili kupanua soko na kufikia ushindani katika soko la…
Maandalizi Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi wanachama Jumuiya EAC waanza
……………………………………………. Mkutano Maalumu wa 59 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) umeanza katika Makao Makuu ya Jumuiya jijini Arusha, ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa 25 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya hiyo unaotarajiwa kufanyika…





