Author: Jamhuri
Kodi zetu ni mzigo kwa wale wale
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi Nchini, chini ya Balozi Ombeni Sefue, imewasilisha ripoti yake kwa Rais Samia Suluhu Hassan wiki iliyopita. Tume imekuja na mapendekezo 284. Si madogo,…
TMA JNIA yatoa elimu kwa jamii kuadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani 2026
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Kituo cha Hali ya Hewa cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), imeadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani kwa kutoa elimu kwa wadau…
SIKU YA HALI YA HEWA DUNIANI; Huduma bora za TMA zaing’arisha Tanzania kimataifa
Na Stella Aron, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taarifa sahihi na za wakati za hali ya hewa ni nyenzo muhimu katika kufanya maamuzi ya kimkakati na kufanikisha maendeleo endelevu ya nchi yetu. Kwa kutambua umuhimu huo mkubwa katika sekta mbalimbali kama…
Tanzania yaadhimisha Siku ya Ukombozi wa Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Tanzania imeendelea kusisitiza umuhimu wa wananchi wake, hususan vijana, kutambua na kujivunia historia ya taifa pamoja na mchango wake katika ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika. Wito huo umetolewa wakati wa maadhimisho ya…
Dk Yonazi akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa TACAIDS Dk MRISHO
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dodoma Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. Jim Yonazi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) Dkt. Adam Joseph…





