Author: Jamhuri
Picha ya mfungwa aliyevaa hereni yazua mjadala ,Serikali yaonya matumizi mabaya ya mitandao
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imetolea ufafanuzi kuhusu picha iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha mfungwa akiwa amevaa hereni gerezani, ikielezwa kuwa picha hiyo ilitumiwa kwa namna ya kupotosha umma na kuibua tafsiri…
Kunenge ateta na watendaji kata 134 Pwani, asisitiza kuongeza mapato
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amewasisitiza watendaji wa kata mkoani humo kuwa chachu ya kuchochea maendeleo kwa kuongeza ukusanyaji wa mapato pamoja na kutatua kero za wananchi . Kunenge alitoa msisitizo na maagizo…
Wizara ya Mambo ya Ndani yaomba bajeti ya Trilioni 2.443 Kwa mwaka 2026/2027
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeomba Bunge la Tanzania kuidhinisha bajeti ya jumla ya shilingi trilioni 2.443 kwa ajili ya matumizi yake katika mwaka wa fedha 2026/2027. Bajeti hiyo imewasilishwa leo Mei 25, 2026…
REA yaandika historia Ludewa
📌Yawasha umeme ukanda wa Nyasa kitongoji cha Nkanda 📌Yapongezwa kufikisha umeme kwenye mazingira magumu Njombe 📌Bodi ya REA yasisitiza wananchi kuchangamkia fursa uwepo wa nishati ya umeme 📍Nkanda – Ludewa Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijni (REA), unaendelea kutekeleza miradi…
Uwekezaji wa NSSF Mkulazi wachochea ajira, wapunguza Nakisi ya Sukari
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu, amesema mradi wa kiwanda cha sukari Mkulazi ni mradi wa kimkakati unaotekeleza kwa vitendo maono ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan…
Madini yabadilisha maisha Ruangwa, wachimbaji watoka ‘buku buku’ hadi miradi ya maendeleo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi imeendelea kushuhudia mageuzi makubwa ya kiuchumi na kijamii kufuatia kuongezeka kwa shughuli za uchimbaji madini katika Mgodi wa Namungo unaomilikiwa na kampuni ya Elianje Limited, huku wachimbaji wadogo na wananchi…





