JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

SADC yazindua mkakati wa mawasiliano wa mwaka 2025-2030

Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji wa Mwaka 2025-2030 ili kuimarisha mawasiliano, uhusiano wa kikanda na maendeleo endelevu, kwa nchi wanachama. Hafla ya Uzinduzi wa Mkakati huo imefanyika tarehe 17 Novemba, 2025 jijini…

Balozi Kombo, Manaibu wake wapokelewa ofisi za Wizara ya Mtumba

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) wamepokelewa katika Ofisi za Wizara zilizoko Mji wa Serikali Mtumba baada ya kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia…

TARURA yaboresha miundombinu kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabiachi

Belem, Brazil Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) inaendelea kuimarisha usimamizi wa mazingira kwa kujenga miundombinu thabiti ikiwemo madaraja ili kukabiliana na athari za mafuriko yanayotokana na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu,…

Waziri Aweso ahimiza matokeo kwa watumishi sekta ya maji

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amewataka watumishi wa Sekta ya Maji nchini kuthibitisha imani ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utendaji kazi wenye matokeo. Aweso ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma…

Milango ya uwekezaji nishati safi ipo wazi

Na Mwandishi Wetu Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Peter Msoffe amesema milango ya uwekezaji wa nishati safi ya kupikia ipo wazi kwa wadau wanaotaka kuwekeza. Amesema hayo ikiwa ni muendelezo wa mikutano yake na wadau…