Category: Kimataifa
Papa alazwa, hali yake yaimarika
Papa Francisko, mwenye umri wa miaka 88, amelazwa katika Hospitali ya Gemelli mjini Roma kutokana na maambukizi ya njia ya hewa yanayosababishwa na bronkiti. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Vatican, hali yake inaendelea kuimarika baada ya kupatiwa matibabu stahiki. Kwa…
Trump, Putin kumaliza vita ya Ukraine kabla ya Pasaka?
Gazeti la Financial Times limewanukuu maafisa wa ngazi ya juu wa Ukraine na Magharibi wakidai kuwa Rais wa Urusi, Vladimir Putin, na Rais wa Marekani, Donald Trump, wanajaribu kufikia makubaliano ya kusitisha vita vya Ukraine ifikapo Pasaka au Siku ya…
Mkuu wa zamani wa Google ahofia AI inaweza kutumiwa na magaidi
Mkurugenzi mkuu wa zamani wa Google anahofia kwamba taarifa za kijasusi za Akili Mnemba zinaweza kutumiwa na magaidi au ‘majimbo matapeli’ kuwadhuru watu wasio na hatia. Eric Schmidt aliiambia BBC: “Hofu halisi niliyo nayo sio ile ambayo watu wengi huzungumza…
Baadhi ya ardhi zitarudi kwa Ukraine – Trump
Wakati wa maelezo mafupi ya Rais wa Marekani Donald Trump kwa waandishi wa habari katika Ikulu ya White House hapo awali, tulimuuliza jinsi mipaka ya Ukraine inaweza kuonekana ikiwa vita vitaisha – Je ramani zingeonekana kama zilivyokuwa kabla ya 2014?…
Makanisa yatoa wito wa kusitishwa kwa mapigano Goma
Ujumbe wa makanisa ya Kikatoliki na Kiprotestanti umetoa wito wa kusitishwa mapigano mjini Goma wakati wa ziara ya viongozi wa waasi waliouteka mji huo mashariki mwa DRC. Askofu wa Kanisa Katoliki Donatien Nshole amesema makanisa yote mawili yameanza juhudi za…
Netanyahu atishia kurejesha mapigano
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ametishia kujitoa kwenye makubaliano ya kusitisha mapigano katika ukanda wa Gaza, akisema majeshi ya Israel yataanza tena mashambulizi dhidi ya Hamas ikiwa hawatarudisha mateka wa Israel kabla ya Jumamosi. Netanyahu alieleza kuwa, ikiwa Hamas…