Shirika la Ndege Afrika Kusini hali mbaya

Hali ya kifedha ya Shirika la Ndege la Afrika Kusini (SAA) imezidi kudorora na kulilazimisha shirika hilo kusitisha safari za ndani isipokuwa kwenda na kutoka Johannesburg na Cape Town. Hilo limetangazwa wiki iliyopita na timu maalumu ya wataalamu wa biashara iliyopewa jukumu la kuhakikisha shirika hilo halifi. Kwa mujibu wa Les Matuson na Siviwe Dongwana…

Read More

Moto wazidi kusambaa Australia

Kuongezeka kwa joto kunazidi kuleta hali ya tishio kutokana na moto mkubwa unaowaka katika maeneo mengi nchini Australia. Watabiri wa hali ya hewa wameonya kuwa ongezeko hilo la joto litaongeza ukame katika maeneo mengi, hivyo kutoa mwanya kwa moto kusambaa zaidi. Taarifa zilizopatikana mwishoni mwa wiki zinaeleza kuwa moto huo umeanza kusambaa kuelekea kwenye maeneo…

Read More

Marekani yaibana Iran, zakaribia kuanza vita

Maandamano ya vurugu yaliyotokea wiki iliyopita katika Ubalozi wa Marekani jijini Baghdad ni tukio la hivi karibuni ambalo zinazisogeza Marekani na Iran kwenye vita kamili, wachunguzi wa mambo wanaeleza. Maandamano hayo ni mwendelezo wa vurugu zilizoanza baada ya kuondolewa madarakani na kuuawa kwa kiongozi wa zamani wa Iraq, Sadam Hussein, mwaka 2003. Kuibuka kwa kundi…

Read More

Netanyahu aomba huruma ya Bunge

Waziri Mkuu wa Israel anayekabiliwa na mashitaka mahakamani, Benjamin Nentanyahu, ameliomba Bunge kumpa kinga ya kutoshitakiwa katika kesi tatu za rushwa zinazomkabili. Hii ni hatua ambayo haijawahi kuchukuliwa na kiongozi yeyote wa Israel na wanaharakati wameipinga wakisema inazuia usawa mbele ya sheria. Hatua hiyo ya kuomba kinga ni tukio la hivi karibuni katika siasa za…

Read More

Huawei yajitutumua licha ya kubanwa na vikwazo

Licha ya vikwazo inavyowekewa na Marekani, Kampuni ya vifaa vya kielektroniki ya Huawei ya China imepata mafanikio makubwa katika biashara zake mwaka uliopita. Taarifa kutoka ndani ya kampuni hiyo ambayo inajulikana kwa kutengeneza simu za mkononi, mapato yake yamekua huku ikizidi kusaini mikataba ya teknolojia ya 5G. Hata hivyo, inaelezwa kuwa kampuni hiyo inabidi ikabiliane…

Read More