Utaratibu mpya wa kusajili kampuni

Na Bashir Yakub Tangu Aprili mwaka huu 2018, utaratibu wa kusajili kampuni umebadilika. Ni tofauti kabisa na ambavyo tulizoea. Hata hivyo, yapo mambo ambayo yamebaki vilevile kama awali, kadhalika yapo mengi pia yaliyobadilika. Tutapitia utaratibu wa awali kidogo na huu mpya. Utaratibu wa awali a) Ulikuwa unatakiwa kuandika barua kuuliza jina unalotaka kutumia kama jina…

Read More

Yah: Nadhani tumezidi unafiki

Mara nyingi nimekuwa nikishuhudia sifa nyingi sana za mtu pale ambapo ndiyo kwanza tumemaliza kutupia chepe la mwisho la mchanga katika kaburi lake. Huwa inakuwa hotuba nzuri ya kutia simanzi juu ya uwepo wake alipokuwa hai na jinsi ambavyo nafasi yake itapata tabu sana kuzibika. Ni maneno yenye faraja ambayo kama mfu angepata nafasi ya…

Read More

Kiswahili ni lugha yetu, vipi tunakibananga? (2)

Hakika Kiswahili kilipata heshima, upendo na hifadhi kubwa kutoka wenyewe na wageni kutoka nchi za nje. Wageni hawa waliamua ku katika maandishi. Yaani vitabu viliandikwa na kuchapishwa, watu w kuvitunza. Vitabu vya mwanzoni viliandikwa kwa hati za Kirumi. Wamisionari w kuendesha dini ya Ukristo Afrika ya Mashariki. Miongoni mwa waan Padri Edward Steere na Dk….

Read More

Ndugu Rais shangazi kutangulia sikupi pole

Sehemu ya kwanza, nilieleza kuwa wanahistoria wanasema hadi karne ya 17 (miaka ya 1600 AD), duniani hapakuwapo kitu kinachoitwa au kinachojulikana kama CHAMA CHA SIASA tangu enzi za Wagiriki. Endelea….   Enzi za utawala wa Warumi (The Roman Empire) kulikuwa na mfumo wao wa utawala ambao haukuwa tofauti na ule wa Wagiriki. Warumi nao walikuwa…

Read More

UJAMAA SI UBAGZI

Ujamaa hauna uhusiano na ragi, wala nchi atokayo mtu. Mtu yeyote mwenye akili, mwenye kuamini Ujamaa au asiyeamini, anafahamu kwambawako waminio Ujamaa katika nchi za Kibepari, na wanaweza kupatikana waaminio Ujamaa kutoka nchi za Kibepari. Mara nyingi watu wa namna hiyo wanakuja kufanya kazi katika nchi changa zilizo na siasa ya Ujamaa kama Tanzania, kwa…

Read More

Upinzani Kongo – DRC kusimamisha mgombea mmoja

Vyama vya upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) vinakamilisha utaratibu kumteua mgombea mmoja watakayemkabidhi jukumu la kupeperusha bendera katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika nchini humo Desemba 23, mwaka huu. Kiongozi wa Chama cha UDPS, Felix Tshisekedi, Vital Kamerhe wa UNC na Freddy Matungulu wa BISCO walikuwa miongoni mwa viongozi wakuu kutoka vyama vya…

Read More