Category: Kitaifa
MIAKA 100 MWALIMU NYERERE Nini cha kukumbuka?
DAR ES SALAAM Na Dk. Felician Kilahama Nichukue fursa hii kwanza kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa mambo mengi anayotutendea siku hata siku, ikiwa ni pamoja na zawadi ya uhai; hivyo kila mwenye pumzi na amsifu Mungu. Tunapomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu…
Utaratibu kununua ardhi ambayo haijasajiliwa
Na Bashir Yakub 1. Mjue mtu anayekuuzia. Na hapa unapaswa kujitahidi kumjua sana, wanasema kumchimba. Unaweza kumjua kwa kuuliza majirani, kupitia aliyekutambulisha kwake na namna nyingine yoyote itakayokuwezesha kumjua zaidi. Lakini pia hakikisha unajua makazi yake. 2. Onyeshwa ardhi na…
Sensa kufanyika kidijitali
Zanzibar Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan amezindua nembo na tarehe ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022. Uzinduzi huo ulifanyika Aprili 8, mwaka huu katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar ambapo Rais alitangaza kuwa…
TCD, kikosi kazi wapewa jukumu zito
Dodoma Na Mwandishi Wetu Kikosi kazi cha kukusanya maoni ya marekebisho ya sheria ya vyama vya siasa na ile ya uchaguzi, kimetakiwa kukusanya maoni na mapendekezo ambayo hayataibua maswali kwa serikali wakati wa kuyapitisha. Agizo hilo limetolewa na Rais Samia…
Kinachowang’oa mawaziri Maliasili
NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Uteuzi uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan na kumpa Dk. Pindi Chana dhamana ya kuongoza Wizara ya Maliasili na Utalii unaifanya wizara hii iendelee kushikilia rekodi ya kuwa na mawaziri wengi ndani ya vipindi…
Mgogoro wa fedha wafukuta kwa Wasabato
DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Washiriki wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania wanawatuhumu baadhi ya viongozi wao kwa tuhuma mbalimbali ikiwamo ubadhirifu wa fedha na matumizi mabaya ya madaraka. Tuhuma hizo zimesababisha mgogoro wa muda mrefu na kusababisha washiriki…