Mil 200/- zatafunwa ‘mradi hewa’ Geita
Shilingi milioni 200 zilizotengwa kwa ajili ya ujenzi wa skimu ya umwagiliaji katika vijiji vya Nyamboge kilichopo Kata ya Katoma; na Nzera katika Kata ya Nzera, Wilaya ya Geita mkoani, ‘zimeyeyuka’.
Shilingi milioni 200 zilizotengwa kwa ajili ya ujenzi wa skimu ya umwagiliaji katika vijiji vya Nyamboge kilichopo Kata ya Katoma; na Nzera katika Kata ya Nzera, Wilaya ya Geita mkoani, ‘zimeyeyuka’.
. Watu wanatuma mawazo bunifu kupitia Tweeter
. Washindi wazawadiwa Sh mil 1.8 kila mwezi
Katika juhudi za kutafuta ufumbuzi wa umaskini Tanzania, Mwenyekiti wa kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi, ameanzisha shindano la mawazo mapya yanayotaja mbinu bora za kutokomeza tatizo hilo.
Wakati fulani nilikuwa nikisikiliza wimbo ulioimbwa na mwanamuziki nguli, Luck Dube, na ukatokea kunivutia sana kutokana na maudhui yake. Ndani ya kibao hicho, Dube anaeleza namna wanawake wanavyopambana na maisha kupitia kujituma kuhakikisha familia zao zinastawi vizuri. Hata hivyo, Dube anaulaumu ulimwengu kwa kutomtangaza mwanamke kama shujaa, lakini pia kutompa usaidizi unaotakiwa. …
Nianze kwa kuwasalimu wasomaji wa safu hii ya Anga za Uchumi na Biashara, ambayo haikuwa hewani kwa takribani wiki saba.
Mtuhumiwa mkuu wa ujangili katika Hifadhi za Taifa za Serengeti, Tarangire na katika Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, aliyetiwa mbaroni wiki iliyopita, ametambuliwa kuwa ni Frank William (32) au maarufu kama “Ojungu”.
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limedhamiria kueneza uelewa, na kukuza matumizi ya viwango na kanuni za udhibiti wa ubora katika sekta za viwanda na biashara.