Latest Posts
MAIPAC yaeleza changamoto za jamii za pembezoni mkutano wa Afrika
*Kuendelea kushirikiana na Serikali , wahisani na Asasi za Kiraia Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,[email protected] Taasisi ya Wanahabari ya kusaidia Jamii za pembezoni (MAIPAC ) imeeleza changamoto za kihistoria za Jamii za pembezoni nchini na kueleza itaendelea kushirikiana na Serikali na wahisani…
Washiriki 500 wakiwemo asasi za kiraia, sekta binafsi kushiriki wiki ya AZAKI Arusha
Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia Washiriki wapatao 500 wakiwemo wadau wakuu wa maendeleo wa Asasi za kiraia pamoja na Sekta Binafsi, wanatarajiwa kushiriki katika wiki ya Asasi za Kiraia (AZAKI), itakayofanyika kuanzia Oktoba 23 hadi 27, 2023 Jijini Arusha. Mkurugenzi Mtendaji…
Maji ya SUMAJKT yatinga hadi majumbani
Na Alex Kazenga Dar es Salaam. Kampuni ya SUMAJKT Bottling Co. Ltd inayozalisha maji ya Uhuru Peak Pure Drinking Water, imetanua bidhaa hiyo na sasa kiwanda hicho kitazalisha hadi maji makubwa kwa ajili ya maofisini na majumbani. Kiwanda hicho kilichopo…
Rais Samia aweka jiwe la msingi ujenzi wa Chuo cha VETA Igunga mkoani Tabora
VYUO 64 vya Ufundi Stadi (VETA) vitajengwa nchi nzima, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mipango ya serikali kujenga vyuo hivyo kila wilaya nchini. Hayo yamesemwa leo Oktoba 17, 2023 na Rais Samia Suluhu Hassan katika hafla ya kuweka jiwe…