Latest Posts
Idadi ya mahujaji waliofariki Saudia yafikia watu 1,301
Mamlaka nchini Saudi Arabia imetangaza kuwa idadi ya mahujaji waliokufa kutokana na joto kali wakati wa Hijjah ya mwaka huu imefika watu 1,300 na kwamba asilimia 83 ya waliokufa walikuwa mahujaji ambao hawakusajiliwa. Miongoni mwa raia wa Misri 658 waliokufa…
Wafanyabiashara Kariakoo wagoma kufungua maduka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo Juni 24, 2024 wafanyabiashara wa soko la Kariakoo wamegoma kufungua maduka wakishinikiza Serikali kutekeleza makubaliano yao waliyokubaliana mwaka jana 2023 katika kikao chao na waziri Mkuu Kassim Majaliwa. Biashara pekee zinazoendelea kufanywa…
Mamia wajitokeza kambi ya madaktari bingwa Arusha
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Kambi ya Madaktari bingwa Imeanza kuhudumia wananchi wa Mkoa wa Arusha kwenye Kliniki maalum iliyoanza leo Juni 24, 2024 ikitarajiwa kufanyika kwa siku saba Mfululizo kwenye Viwanja vya michezo vya Sheikh Amri Abeid Jijini Arusha….
GST yatumia ndege nyuki kufanya utafiti wa madini Mirerani
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Wachimbaji wadogo na wa kati wa Madini ya Tanzanite katika Mji Mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wanatarajia kunufaika baada ya Taasisi ya jiolojia na utafiti wa madini Tanzania (GST) iiyotumia ndege nyuki kufanya…
Baba aliyepoteza watoto watatu kwa kuungua moto naye afariki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Idadi ya waliofariki katika ajali ya moto iliyoua watoto watatu wa familia moja jijini Arusha imeongezeka baada ya baba wa watoto hao askari CRI wa TANAPA, Zuberi Hassan Msemo kufariki. Kaimu Kamanda wa Jeshi la…
Waziri Mkuu : Taasisi za umma zitumie mifumo ya kidijitali
Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka taasisi za umma ziweke mipango madhubuti ya kutumia mifumo ya kidijitali ambayo italeta mageuzi ya kiutendaji na kuifanya Tanzania kuendana na mapinduzi ya nne ya viwanda yanayotumia TEHAMA. Amesema kuwa mifumo hiyo…




