Serikali itengeneze matajiri wapya

Na Deodatus Balile, Mtwara Leo naandika makala hii nikiwa mjini Mtwara. Nimefika Mtwara Ijumaa asubuhi. Ni mwaka wa tatu sasa tangu nimetoka Mtwara. Naikumbuka Mtwara ya mwaka 2015, taarifa za ugunduzi wa gesi zilipoenea kila kona. Nakumbuka magari makubwa niliyokuwa nakutana nayo katikati ya mji wa Mtwara na ghafla mji ulivyobadilika ukawa kama Dar es…

Read More
Balile

Bomu la watu laja Afrika – 4

Wiki tatu zilizotangulia kabla ya wiki iliyopita, nilichambua kitabu kinachohusu njia mbadala za kufufua uchumi wa Afrika. Nilikisitisha wiki iliyopita tu, kutoa fursa ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani. Kitabu hiki kinaitwa “Making Africa Work”. Tafsiri isiyo rasmi ya jina la kitabu hiki inamanisha “Mbinu za Afrika Kujikwamua Kiuchumi.” Kitabu hiki kimeandikwa…

Read More

Uhuru wa habari uanzie kwenye vyumba vya habari

DODOMA. EDITHA MAJURA. Serikali na Vyombo vya habari, wametuhumiana kuminya uhuru wa vyombo vya habari nchini. Wakati serikali ikituhumiwa kutofanya vizuri katika kudhibiti usalama wa wanahabari wanapotekeleza majukumu yao, serikali nayo imesema vyombo vya habari vinaminya maslahi ya wanahabari kiasi cha kusababisha washindwe kutekeleza majukumu yao kwa weledi unaohitajika. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na…

Read More
Balile

Bomu la watu laja Afrika – 3

Na Deodatus Balile Kwa wiki ya tatu sasa nafanya mapitio ya kitabu kiitwacho “Making Africa Work”. Tafsiri isiyo rasmi jina la kitabu hiki linamanisha “Mbinu za Afrika kujikwamua kiuchumi.” Kitabu hiki kimeandikwa na Greg Mills, Olusegun Obasanjo (Rais mstaafu wa Nigeria), Jeffrey Herbst na Dickie Davis. Kimechapishwa na Taasisi ya Brenthurst Foundation ya Johannesburg, Afrika…

Read More
Balile

Bomu la watu laja Afrika -2

Na Deodatus Balile Wiki iliyopita nilizungumzia wingi wa watu unaokuja duniani na hasa Bara la Afrika. Tanzania kwa sasa inakadiriwa kuwa na watu milioni 58. Mwaka 1950 nchi yetu itakuwa na watu milioni 138. Afika kwa sasa inatajwa kuwa na watu bilioni 1.2 na mwaka 2050 itakuwa na watu bilioni 2.5, huku mwaka 2100 ikiwa…

Read More