Month: September 2018
Mfanyabiashara ‘mwizi’ Moshi apelekwa Kenya
Na Charles Ndagulla, Moshi MFANYABIASHARA maarufu mkoani Kilimanjaro, Bosco Beda Kya kuwa kinara wa mtandao wa wizi wa magari katika nchi za Kenya n amepandishwa kizimbani. Kyara na wenzake wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya H wakikabiliwa na mashtaka mawili,…
Bosi Takukuru du!
*Kesi ya Singa, Rugemalira, wabunge zamtia kitanzini *Mfumo mpya kupokea, kukalia taarifa wamponza *Rais Magufuli apasua jipu, yeye ajipiga ‘kufuli’ Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam Kushindwa kupambana na rushwa kubwa, kutotengeneza mazingira rafiki kwa watoa taarifa za rushwa na…
Koffi Annan kuzikwa Ghana, Alhamisi
Mwili wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan, umewasili katika nchi Ghana. Mwili wake umewasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kotoka uliopo mjini Accra, ukisindikizwa na familia yake na maafisa wengine wa Umoja wa Mataifa….
LEO NDIYO SIKU YA MWISHO KUCHUKUA FOMU, SIMBA WATOA TAMKO
Uongozi wa Simba umesema leo ndiyo siku ya mwisho kwa wanachama wa timu hiyo kuchukua fomu kwa ajili uya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi. Kwa mujibu wa Ofisa Habari wa klabu, Haji Manara, amewasihi wanachama wa klbu kujitokeza leo Jumatatu…
MAGAZETI YA LEO JUMATATU SEPTEMBA 10, 2018
Posted by MICHUZI BLOG at Monday, September 10, 2018 Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest No comments: Post a Comment Links to this post Create a Link Older Post Home Subscribe to: Post Comments (Atom) About Matukio-Michuzi MICHUZI…