Bandari: Taratibu za kusafirisha mzigo ng‘ambo

Kwa siku za karibuni yamekuwapo malalamiko yasiyo rasmi juu ya wateja kucheleweshewa mizigo inayosafirishwa nje ya nchi, hasa mizigo ya mazao yanayoharibika haraka (perishable goods) kama maparachichi. Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) imeyaona malalamiko hayo kupitia vyombo vya habari ikiwemo mitandao ya kijamii. Kutokana na hali hiyo, Bandari imebaini kwamba, kwa kuwa Tanzania inaingia kwenye…

Read More

Kumbukizi miaka 20 bila Mwalimu Nyerere

Tunakosea kuwasifu wakwapuzi   Mei 16, mwaka huu Chama cha Wanataaluma Wakristo Tanzania (CPT) ambacho ni chama cha kitume ndani ya Kanisa Katoliki kiliandaa kongamano la kumbukizi ya miaka 20 ya kifo cha Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Dhamira ya kongamano ilikuwa Maendeleo Jumuishi na yenye kujali ustawi wa maisha ya wananchi. Mada mbalimbali zilijadiliwa. Mada…

Read More

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (15)

Wiki iliyopita nilihitimisha makala yangu kwa kuahidi kuwa kuanzia makala ya leo nitaanza kuzungumzia kodi na tozo mbalimbali katika biashara. Katika makala hii ya Jinsi ya Kuanzisha Biashara Tanzania, kupitia vitabu na sheria mbalimbali nilizosoma, nimebaini kuwa kuna kodi za msingi saba na ushuru wa aina tatu. Kodi hizi ni kodi ya mapato (mtu binafsi),…

Read More

Ndugu Rais uliliambia taifa vema Watanzania si wajinga

Ndugu Rais, kwa kuwapenda watu wako, uliwatahadharisha viongozi wao kuwa watambue ya kwamba Watanzania si wajinga. Wana uwezo wa ‘kuanalaizi’ na kuchambua mambo. Wakinyamazia jambo kubwa wajue mioyo yao haiko, ‘clear’. Ndugu yetu Harrison Mwakyembe Waziri wetu aliwahi kuliambia Bunge kuwa wananchi siyo mabwege. Kwa sasa katika mitandao ya kijamii na hasa kule bungeni kauli…

Read More

Elimu nzuri inajenga fikra pevu

Hadi kesho katika taifa letu la Tanzania bado hatujakubaliana ni lugha gani tutumie katika kufundishia. Wengine wanapendekeza lugha ya kigeni, Kiingereza; na wengine wanaipendekeza lugha yetu ya Kiswahili. Hii ni kasoro kubwa! Wataalamu wa falsafa wanatuambia kwamba, fikra na mawazo ya mtu au jamii yamo katika lugha yake. Kwa hiyo kukomaa kwa fikra za mtu…

Read More

Kutokujiandaa ni kujiandaa kushindwa (3)

Ukitaka kufanikiwa jifanye kama mti. Refuka uwezavyo. Usiangalie miti mingine ilivyo mifupi ama ilivyo mirefu. Nisikilize kwa umakini hapa; Iko hivi, unalo jambo la kujifunza kutoka kwa walioshindwa kufanikiwa. Jifunze. Ukifahamu kilichowafanya wasifanikiwe, utajifunza namna ya kukabiliana nacho. Lakini pia, unalo jambo kubwa la kujifunza kutoka kwa waliofanikiwa ili na wewe ufanikiwe kama wao au…

Read More